Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Kweli sikujua Dragon sio Kilevi naomba nisaidie hapo walikunywa kitu gani?

Tukamvua nguo zote (kwa tahadhari ya hali ya juu) hapa tukamkuta na donge la dhahabu kwenye kipochi kidogo cha shingoni, ila marehem alikua kakivaa kiunoni.

Uwezi amini huyu marehem alikufa na biashara yake ikiwa imejaa.

Nakumbuka tulibeba Dragon baadhi ya kasha na kwenda kunywa mbele (hapa tuliapa hakuna mtu kugusa pombe )

cc Kitoabu
View attachment 1624286
Kuna energy drink inaitwa dragom
 
Kama angekua msanii basi ile ya kumwekua mwekua ni nyimbo iliyo mtambulisha kwenye mziki na watu wakaikubali sana akatuliza kichwa aka achia goma jingne nairoto ndio hii nayo inakimbiza balaa by the way aya mambo yapo nimekaa ka guruwe msumbiji apo izi starehe zote zipo watu awana kinyaa aisee yani Leo demu anakaa na mshikaji mnamuita shemej kasho wanaachana na yule aliekua anamuita shemji anamchukua yeye maisha yanasonga aisee nilisha ngaa hii kitu. Mwngne anabeba demu anaenda kula mzgo wengne anashuhudia akimaliza wakitoka mwngne anapnda dau yule yule tena anaenda kupiga tundu aise binafsi sikuwai gusa mwanamke wala pombe na wala sikua mchimbaj nilikua kitengo cha wakala wa pesa kurusha madem walijileta sana ila niliepuka coz walijua watazichota tu nilikua nakaa mwez nageuka home songea Ila machimboni ndugu kuskieni tu niliwai kutna na mdada nilisoma nae primary na tulimaliza wote kafarika 2 years ago ilisemekana ngoma alikua nayo R.I.P
 
nilichogundua jamaa ana i copy mahali ana paste huku kuna mahali itakua inasimuliwa so na yeye anapata kitonga hapo hapo all in all story nzuri
Hii ni kauli mbaya sana!

Usiongee/usiandike kitu ambacho huna uhakika nacho.

Wewe unaingia kwenye kundi la kumkatisha tamaa msimulizi.

Heshimu hisia za msimuliaji basi.
 
Ishubya machimbo huwezi kuilewa mpaka hi uwe karibu na hayo maeneo hawa jamaa wanapata hela sanaaa.....

Sasa kuna muda mlio unatokea kwenye shamba la mtu unakuta hata heka 50 ni ya mtu anaamua watu wafanye yao na wana mmpa %kadhaa kwa kila kiwango fulani cha mawe (kesi ya dhahabu naongelea hapa)
Sasa hapa unakuta eneo lote lina maduara kama 15 active na yanatoa mzigo wa maana ila utamkuta mwenye shamba kalewa kuanzia asubuhi mpaka jioni anasubiri share tu...

Na kipindi hiki mlio ukiita tu SERIKALI ishatia timu ni mwendo wa mirabaha tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanamaindi kinoma.
Shamba lako likikutwa na bange Ni lako Hilo

Ila likikutwa na madini Ni la serikali automatically [emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Kama angekua msanii basi ile ya kumwekua mwekua ni nyimbo iliyo mtambulisha kwenye mziki na watu wakaikubali sana akatuliza kichwa aka achia goma jingne nairoto ndio hii nayo inakimbiza balaa by the way aya mambo yapo nimekaa ka guruwe msumbiji apo izi starehe zote zipo watu awana kinyaa aisee yani Leo demu anakaa na mshikaji mnamuita shemej kasho wanaachana na yule aliekua anamuita shemji anamchukua yeye maisha yanasonga aisee nilisha ngaa hii kitu. Mwngne anabeba demu anaenda kula mzgo wengne anashuhudia akimaliza wakitoka mwngne anapnda dau yule yule tena anaenda kupiga tundu aise binafsi sikuwai gusa mwanamke wala pombe na wala sikua mchimbaj nilikua kitengo cha wakala wa pesa kurusha madem walijileta sana ila niliepuka coz walijua watazichota tu nilikua nakaa mwez nageuka home songea Ila machimboni ndugu kuskieni tu niliwai kutna na mdada nilisoma nae primary na tulimaliza wote kafarika 2 years ago ilisemekana ngoma alikua nayo R.I.P
Songea ya wapi mkuu Liza oni nn
 
Naandika habari hii nikiwa na kumbukumbu ya kuwakumbuka marafiki zangu dogo Chiko, Wamisujo, pamoja na Topha.
Hii ilikua 2015, leo ni zaidi ya miaka 5 imepita tangu washkaji zangu hao watangulie kuzimu.

Utashangaa kwanini leo nimekaa nikawakumbuka machizi boti wangu hawa.

Leo Asbuhi nimekutana na mshikaji flani hivi ambaye tulipotea takriban miaka 5 iliyo pita, huyu mshikaji tulikuwa wote NAIROTO, tulipoteana kutokana na masahibu ninayo taka nikueleze hapo baadae.

Tulipo kutana leo kila mtu alikua akimshangaa mwenzie. Mimi ndie nilie kuwa wakwanza kumuita jina lake, alipo itika tulikumbatiana na kila mmoja kutaka kujua mwenzeke ilikua wapi baada ya tukio lile.

Kwa upande wangu nilijua mshikaji alisha kufa kwenye tukio lile.

****************************************************************************************
Nakumbuka ilikua 2015 kipindi Nanhupo madini (Ruby) yanatoka kinoma. Nakumbuka ndio mbuyuni ingali mbichi watu kila siku ni mwendo wa Dollar tu.

Mara mzungu akaongeza ulinzi porini (kukabiliana na wachimbaji) police wakawa wengi, kila askali ana mbwa, watu wakawa wanapigwa Risasi wengine wanang'atwa na mbawa.

Wachimbaji uoga ukatuingia, kila mtu akawa amepagawa, ukizingatia wengi wetu tumetoka Tanzania.

Mungu si John wala Kasim, akaonyesha makudula yake.....
Tukasiki kuna kijiji kinaitwa nairoto kuna dhahabu inatoka kwa wingi.

Kama kawaida ya wachimbaji (kuhama hama) safari zikaanza za kwenda Nairoto.

Nitarudi muda si mrefu.
Bro tulia uandike kwa utulivu ueleleweke,huo msitu uko wapi mkoa gani, huyo mzungu ni nani,mlifikaje fikaje ndo vitu ndo vitu vya msingi,maana hapo kiukiweli sijaambulia chochote zaidi ya nitarudi baada ya muda mfupi
 
Back
Top Bottom