Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Kweli sikujua Dragon sio Kilevi naomba nisaidie hapo walikunywa kitu gani?

Tukamvua nguo zote (kwa tahadhari ya hali ya juu) hapa tukamkuta na donge la dhahabu kwenye kipochi kidogo cha shingoni, ila marehem alikua kakivaa kiunoni.

Uwezi amini huyu marehem alikufa na biashara yake ikiwa imejaa.

Nakumbuka tulibeba Dragon baadhi ya kasha na kwenda kunywa mbele (hapa tuliapa hakuna mtu kugusa pombe )

cc Kitoabu
View attachment 1624286
Nyie ndo mnasababisha chama tawala kila uchaguzi kinashinda kwa kishindo..
 
Kweli sikujua Dragon sio Kilevi naomba nisaidie hapo walikunywa kitu gani?

Tukamvua nguo zote (kwa tahadhari ya hali ya juu) hapa tukamkuta na donge la dhahabu kwenye kipochi kidogo cha shingoni, ila marehem alikua kakivaa kiunoni.

Uwezi amini huyu marehem alikufa na biashara yake ikiwa imejaa.

Nakumbuka tulibeba Dragon baadhi ya kasha na kwenda kunywa mbele (hapa tuliapa hakuna mtu kugusa pombe )

cc Kitoabu
View attachment 1624286
Nyie ndo mnasababisha chama tawala kila uchaguzi kinashinda kwa kishindo..
 
Bro tulia uandike kwa utulivu ueleleweke,huo msitu uko wapi mkoa gani, huyo mzungu ni nani,mlifikaje fikaje ndo vitu ndo vitu vya msingi,maana hapo kiukiweli sijaambulia chochote zaidi ya nitarudi baada ya muda mfupi
Mleta Mada mbona keshaleweka? Mkoa na vijiji alivyovitaja ni kweli vipo kabisa huko Msumbiji, fuatilia kwa utulivu, na Nairoto utaipata,
labda sasa ni hicho kipindupindu cha 2015
lkn story zake zina uhalisia hata ile ya kibao cha uchawi wa kumwekamweka
1605185151315.png
 
Kweli sikujua Dragon sio Kilevi naomba nisaidie hapo walikunywa kitu gani?

Tukamvua nguo zote (kwa tahadhari ya hali ya juu) hapa tukamkuta na donge la dhahabu kwenye kipochi kidogo cha shingoni, ila marehem alikua kakivaa kiunoni.

Uwezi amini huyu marehem alikufa na biashara yake ikiwa imejaa.

Nakumbuka tulibeba Dragon baadhi ya kasha na kwenda kunywa mbele (hapa tuliapa hakuna mtu kugusa pombe )

cc Kitoabu
View attachment 1624286
Ahhh Kuna energy zingine ni non alcoholic mkuu
 
Ahhh Kuna energy zingine ni non alcoholic mkuu
Mkuu mm nakunywa Pombe ya Dragon na spirit yake ipo pia
ndio maana uliponishtua kuwa kuna walioitengenezea energy nikakubali
karibu mm ntaelekea huko Moza-mbiki nikatalii, nasikia Al Shabab wapo njiani, mambo ya Kigoma au Namanga nabadili sasa nataka uchawi wa Mzee Lupatu
 
Mkuu mm nakunywa Pombe ya Dragon na spirit yake ipo pia
ndio maana uliponishtua kuwa kuna walioitengenezea energy nikakubali
karibu mm ntaelekea huko Moza-mbiki nikatalii, nasikia Al Shabab wapo njiani, mambo ya Kigoma au Namanga nabadili sasa nataka uchawi wa Mzee Lupatu
mi ntaenda huko kuchukua ndagu ya nyoka nimtupie kwa bakhersa pale uwele uwe unamiminika kwenye akaunti yangu
 
Mchimbaji maisha yake anatembea na sururu ndogo tu wanaita MOKO hivyo akiambiwa ahame au Kuna machimbo mapya yanatema dhahabu wala hana cha kubeba zaid ya sururu yake na kusepa, wengi wao hawajarudi nyumban kwao kwa miaka mingi sana maisha yao yamekua ni ya kuhama hama kwenda machimbo mapya sehem anaposikia dhahabu imetema.

Mchimbaji akipata hela huwa anaitumia kwa fujo kunywa pombe, kulala na wanawake tofautitofauti wanaojiuza maeneo ambayo yako pemben na machimbo ambapo huwa wanaanzisha mji wa dharura ambapo panapatikana kila kitu, gesti za mabati,bar za mabati zenye mziki mzito kama upo town kumbe uko porini , na migahawa kwaajili ya chakula maeneo wanapo pata huduma hizo ndo hayo wao wanaita MATANDA .

Ukikuta Hawa jamaa wanakula pesa zao we waache tu wale wanazipata kwa mateso makubwa sana, mfano... Kuna maeneo ya shinyanga watu walifunikwa na udongo wakiwa ndan ya mashimo walikaa siku 42 wakiwa ndan ya ardhi lakin baadhi wengi walifariki na walipona watatu tu baada ya kuchimba kwa siku 41 ndo wakapata maiti na watu wa3 waliokua kwenye Hali mbaya Sana, wao wanasema walikua wanakula mende na baadhi ya wadudu kwa muda huo wote, lakin baadhi ya story inasemekana ilifika hatua wakaanza kula nyama za wenzao waliokufa ili wasife, nafikiri habri ya watu kufukiwa shinyanga ipo hadi YouTube..

Story za machimbo ukiambiwa unaweza kudhani ni movie au unadanganywa ila watu wanapambana sana na maisha
Hilo tukia lilitokea mwaka 2015 Mgodi wa nyangarata, niliangalia interview yao yote, waliingia kipindi kampeni zinaishia rais akiwa kikwete, walitoka rais akiwa Magufuli, Mmoja alifia mgodini, wengine walifia hospitali, hawakufa wote,

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom