Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Mkuu tunashukuru mungu, jana tuliyamaliza kwa vizuri tu (labda kwa wenye chuki tangu zamani)

Mwenyekiti wetu wa Watanzania alikutana na mwenzie wa warundi na mambo kuzungumzwa na kuisha kwa amani.

Tumekubaliana jamaa (warundi) wamtibu jamaa mpaka apone.

Huduma zote kwa muda wote wa kuuguza wao ndio watahusika.

Warundi wamekubali na kuahidi kuyatekeleza.

Lakini mwenye mavi yake (mtuhumiwa)
Kakimbia.

Mgonjwa wetu mpaka asubuhi ya leo nasikia anaendelea vizuri.
Ohooo mmnaenda kuingia kwenye vita nyingine baada ya kusurvive vita vya ugonjwa (laana)?
Aisee angalia tusije kukosa mwendelezo wa story. Hivi hakuna vituo vya ulinzi na usalama hilo eneo?
 
Mkuu tunashukuru mungu, jana tuliyamaliza kwa vizuri tu (labda kwa wenye chuki tangu zamani)

Mwenyekiti wetu wa Watanzania alikutana na mwenzie wa warundi na mambo kuzungumzwa na kuisha kwa amani.

Tumekubaliana jamaa (warundi) wamtibu jamaa mpaka apone.

Huduma zote kwa muda wote wa kuuguza wao ndio watahusika.

Warundi wamekubali na kuahidi kuyatekeleza.

Lakini mwenye mavi yake (mtuhumiwa)
Kakimbia.

Mgonjwa wetu mpaka asubuhi ya leo nasikia anaendelea vizuri.
Mungu amjalie afya nyema mpambanaji, maana akitusua tutafaidi na sisi akija kuwekeza kwetu, hata akija kutanua na kula bata hapa tz tutafaidiaka kwa namna moja ama nyingine
 
Ila ukumbuke kua hii story haikutokea hapa nilipo kwasasa!?
Namaanisha haikutokea Tete.

Hii ilitokea Cabo del Gado, welaya ya Montepuez kijiji cha Nairoto.
Hapana sitaki kuchimba,
Ila wakati mwingine unapoambiwa Mahali sahihi,inaleta uhalisia.
Pengine wengine walishawahi kua hapo ni rahisi kuthibitisha kile unachosimulia.
Maana dunia ni pana lkn kwa teknojia tunakutana.
 
Tatizo mgodini watu tanageana imani (kwa story ama kuona) kua tutavunja pesa nyingi.

Mfano, mwezi ulio pita kuna dogo wa kisuma alipata gram 4 point 7 Ruby, yeye na wenzie lakini aliwakaanga wenzie (kuwatoroka)

Dini lile limeuzwa 200,000 dollars.

Yeye kama mchimbaji katoka na Dollar 165,000 huku madalali wakiondoka na Dollar 35,000.

Sasa 200,000 ( laki mbili ) kwa sasa kibongo bongo tunazungumzia Milioni mianne na uchafu.

Unadhani nani atakae rudi nyumbani hapo?
Hapo ndio kwanza umemuongezea hasira mponcha.

Chengine, wachimbaji tushazoea matumizi, sasa bila kua na pesa si tutawaibieni ndugu zetu mutuue bule ama mutufunge jela.

Sasa si bora jela hii niliyo ichagua mwenyewe!?
Mfano mimi bila 50,000 dollars, bongo muni sameh tu, tena ukizingatia ndugu walisha nikalia matanga!
Maisha ya uchimbaji madini ukishaingia kutoka ni ngumu mno,nina jamaa yangu aliwahi ishi Mererani 10yrs anasema walikuwa wanapata madini ya pesa nyingi lakini wakishauza wanakwenda kutumbua mpaka hela inaisha then wanaanza moja,alikaa huko mpaka akili ilipomrudia akaamua kuachana na hizo shughuli na pia alitoka akiwa amechoka vibaya kiuchumi...
 
Huwezi kuelewa haya mambo mpaka aidha usimuliwe au uwe ushayafanya

Huko kwenye machimbo sio kwamba hatupati hela. Hii migao ya mil 10, mil 20 au 30 ya kutosha tu. Ukiwa mjanja unarudi home unafanya maendeleo kidogo nyingine unaisambaza kwa bats baada ya muda unarudi tena kuchimba

Yaan inakua in mzunguko huo ni wa chache wameweza kuacha kabisa kuchimba na kukomaa home na biashara kwakua unajua kabisa ukienda kule utapata hela nyingi kwa mkupuo. Na kuzitumia pia zinatumika hivyo hivyo kwa mkupuo. Sio kwamba anatunga na sidhani kama hajawahi kupata chenji chenji za mil 10 huko kwenye rubi kwa miaka yote hii anasema toka 2013
Mkuu, nipenda koment yako.
Kwanza niseme nimefuhi kusoma comment ya mtu anae nielewa ninacho kiongea.
Pili nimefurahi kukutana na mponcha mwenzangu, bab kubwa.

Asie kwenda mgodini, anadhani sisi tunatafuta mtaji, hapana.

Kuchimba ni moja ya kazi inayo kuletea pesa nyingi kwa wakati mmoja.
Hivyo hii ni kazi kama kazi zengine.

Kuhusu mgawo wangu mgodini ni 35,000 dollars.
Hii ilikua mwaka 2016, kipindi hicho dollar ipo 2,300.

Hizi chenji mbuzi usiongee.
Tatizo ukiwapa ndugu waziendeleze kuzifanyia biashara nawao wanazilia bata.
Yani sijui wanatuona mafala.

Nimeapa situmi shilling 10, zaidi ya kumtumia mama yangu pesa ndogo ndogo tu, mpaka nipate 50,000 dollars hapo narudi home.
 
Mkuu, nipenda koment yako.
Kwanza niseme nimefuhi kusoma comment ya mtu anae nielewa ninacho kiongea.
Pili nimefurahi kukutana na mponcha mwenzangu, bab kubwa.

Asie kwenda mgodini, anadhani sisi tunatafuta mtaji, hapana.

Kuchimba ni moja ya kazi inayo kuletea pesa nyingi kwa wakati mmoja.
Hivyo hii ni kazi kama kazi zengine.

Kuhusu mgawo wangu mgodini ni 35,000 dollars.
Hii ilikua mwaka 2016, kipindi hicho dollar ipo 2,300.

Hizi chenji mbuzi usiongee.
Tatizo ukiwapa ndugu waziendeleze kuzifanyia biashara nawao wanazilia bata.
Yani sijui wanatuona mafala.

Nimeapa situmi shilling 10, zaidi ya kumtumia mama yangu pesa ndogo ndogo tu, mpaka nipate 50,000 dollars hapo narudi home.
Mpak Sahiz unamiliki dollar ngp??
 
Mkuu, nipenda koment yako.
Kwanza niseme nimefuhi kusoma comment ya mtu anae nielewa ninacho kiongea.
Pili nimefurahi kukutana na mponcha mwenzangu, bab kubwa.

Asie kwenda mgodini, anadhani sisi tunatafuta mtaji, hapana.

Kuchimba ni moja ya kazi inayo kuletea pesa nyingi kwa wakati mmoja.
Hivyo hii ni kazi kama kazi zengine.

Kuhusu mgawo wangu mgodini ni 35,000 dollars.
Hii ilikua mwaka 2016, kipindi hicho dollar ipo 2,300.

Hizi chenji mbuzi usiongee.
Tatizo ukiwapa ndugu waziendeleze kuzifanyia biashara nawao wanazilia bata.
Yani sijui wanatuona mafala.

Nimeapa situmi shilling 10, zaidi ya kumtumia mama yangu pesa ndogo ndogo tu, mpaka nipate 50,000 dollars hapo narudi home.
aluta continua kamanda hakuna kuludi nyuma lieutenant
 
Back
Top Bottom