Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itoshe kusema wewe niUsikimbie mzeiya.
Mkuu Kitoabu tuendelee basi...
Au kama umeghairi kumaliza leo tujulishane basi
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Dah we jamaa[emoji2] [emoji2] Ushawahi kusoma stori za Chongoe yule wa Mafia?
Utakuja gundua huyu jamaa anasimulia vizuri.
Mwamba twende tu taratibu Kama Lupatu,maana hata series huwa tunasubiri miezi kadhaa.Dah, pole sana dada yangu kwa kukukera, tatizo nje ya hapa kuna watu nawao wananigoja, ili mipango iende.
Ila nakuhakikishia nitaimaliza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeanza kupozi mapema sana jomba. Utamaliza kweli stori yako kwa mwendo huu? Wenzako huwa wanavuta vuta kidogo kabla ya kuturusha roho
Nshaziona Arusha maza alienda kuziuzA minada ya Maasaini LongidoMkuu utachekwa, huku sisi tuna Dragon energy, pia kuna Frozy drang.
Inge kua mchana ning'e nunua nilipige picha kopo la dragon kisha nikutumie.
Hii inatoka kwa Madiba.
Dume ilo ohooo!Pamoja dada yangu.
Asinge weka profile ya mrembo hapo.
Au unamjua vizuri?
Kama ni kweli anisameh.
Usijali.! tupe story mzee baba, Tusahau kipondo cha october ^_^Asinge weka profile ya mrembo hapo.
Au unamjua vizuri?
Kama ni kweli anisameh.
Uropokaji gani na nani karopoka..?Achana na waropokaji!ni wakuwapuuzia
Wamisunjo ni huyo alie jishika kichwa mwenye rasta.Mara paap! wamisunjo kafufuka kawa mzimu ndani ya nairoto
huyu mwingine ni wewe?Wamisunjo ni huyo alie jishika kichwa mwenye rasta.
Unaweza shangaa mbona kwa mbele kuna ukuta umeandikwa kiswahili, hilo lilikua duka la mbongo kabla hatujatimuliwa.
Hapo ni Nanhupo.View attachment 1625136