T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
NimeelewaGest ni mabati yanagawanywa vyumba yani kila kitu kinabebeka mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NimeelewaGest ni mabati yanagawanywa vyumba yani kila kitu kinabebeka mkuu
Yeah nakumbuka mkuu, tunajifunza mengi kuhusu uchimbaji mdogo mdogo wa madini na maswahibu yake. Kama huna moyo wa kiume huwezi kumaliza mwezi eneo kama hilo bila kunyosha mikono juu.Uzuri Kitoabu huwa anamalizia stori zake hata kama zitachukua muda
Hiyo ya vimwekumweku pia tuliivumilia hadi akamaliza
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ni tag iyo ya kimwekumweku mkuu.Uzuri Kitoabu huwa anamalizia stori zake hata kama zitachukua muda
Hiyo ya vimwekumweku pia tuliivumilia hadi akamaliza
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mkuu unataka ukafidie masalia ha ha ha haSasa likiibuka chimbo lingine pa awali pakibaki peupe zile mali zisizohamishika nini mustakabali wake
anahitaji kujua tu zile guest houses zilizokuja kujengwa kwa msimu tu msimu ukiisha zitaachwa au watabeba tofali?yaani hata mimi nilihitaji kujua piaMkuu unataka ukafidie masalia ha ha ha ha
umenikumbusha rush... ya karenge kigoma, kwenye mgodi wa dhahabu sitasahau niliyoyakuta huko, watu wengi hata kupishana ni shida, halafu niko peke yangu simjui mtu,Haya machimbo ya kuibuka tu wanayaita RUSH..
Yani mzigo ukisoma ndani ya masaa mawili huezi amini kama lilikua pori utakuta Gest, baa, malaya washatimba, mama ntilie, soko, maduka na kila kitu....
Na ndani ya masaa kadhaa pia unaweza kupakuta peupe likiibuka chimbo jipya linalotema.... Watu wa GEITA wanayajua haya mazingira na rush ikidumu miaka minne vijiji vya pembeni kutakua nawatoto wengi balaaaaaa na hawana baba na hawa hua hawaendi shule....
😂😂😂
Hata Mimi ninajiuliza swali hilo na amesema kwamba walipo rudi porini walikuwa wakizipekua maiti na kupata madonge ya dhahabu,Sasa hizo dhahabu hazikutosha kuwatajirisha?vinginevyo hii ni hadithi ya kutunga.
point!!
Nitag hiyo ya vimweku mweku
Ni tag iyo ya kimwekumweku mkuu.
Huwezi kuelewa haya mambo mpaka aidha usimuliwe au uwe ushayafanya
Huko kwenye machimbo sio kwamba hatupati hela. Hii migao ya mil 10, mil 20 au 30 ya kutosha tu. Ukiwa mjanja unarudi home unafanya maendeleo kidogo nyingine unaisambaza kwa bats baada ya muda unarudi tena kuchimba
Yaan inakua in mzunguko huo ni wa chache wameweza kuacha kabisa kuchimba na kukomaa home na biashara kwakua unajua kabisa ukienda kule utapata hela nyingi kwa mkupuo. Na kuzitumia pia zinatumika hivyo hivyo kwa mkupuo. Sio kwamba anatunga na sidhani kama hajawahi kupata chenji chenji za mil 10 huko kwenye rubi kwa miaka yote hii anasema toka 2013
Asante broLupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi
Boa tarde camaradas. Tembea uyaone, zunguka ujifunze. Hivyo ndivyo ninavyoanza kwa leo. Mara nyingi nimekua msomaji tu humu ndani, ila leo kuna topic nimeisoma humu ndani iliyo nishawishi na mimi leo niandike. Katika harakati zangu za kutafuta maisha nilijikuta naangukia Mocambique...www.jamiiforums.com
Tupe link ya vimweku mwekuUzuri Kitoabu huwa anamalizia stori zake hata kama zitachukua muda
Hiyo ya vimwekumweku pia tuliivumilia hadi akamaliza
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata Mimi ninajiuliza swali hilo na amesema kwamba walipo rudi porini walikuwa wakizipekua maiti na kupata madonge ya dhahabu,Sasa hizo dhahabu hazikutosha kuwatajirisha?vinginevyo hii ni hadithi ya kutunga.
Lakini yeye si anasimulia story ya 2015!!!? Anaandika saivi lkn ni mambo yaliotokea miaka ya nyuma................ Ila hadi sasa yupo migodini na hilo tukio la ajali ya mwenzao kupigwa shoka imetokea jana so kashindwa kutuandikia muendelezo wa story... Au mie ndio sijaelewa!!!???
Kweli sikujua Dragon sio Kilevi naomba nisaidie hapo walikunywa kitu gani?Kwani dragon ni pombe mkuu?au hujui chochote?
Hahaaa haa we jamaamkuu tukiachana na hadithi nimeupenda mwandiko wako.....na sina sababu ya msingi..