Mwanakulipata
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 714
- 1,193
Mzee wa kimwikuu mwikuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2015 nilikuwa masasi vijiji vya mpakani na msumbiji,,story kama hii nadhani nilisikia sikia kuna watu wamekufa msumbiji...pole sana mkuuWakuu hii story nitaimalizia lkn nahisi sio leo.
Leo nitakua busy na swala la ajali ya mchimbaji mwenzetu kupigwa shoka na mrundi.
Chanzo cha ugonjwa wao, ni simu.
Jamaa yuko hospital ya Montepuez, hata hivyo kuna taratibu zinahitajika zifanyike mshikaji apelekwe hospital ya pemba.
Hali yake ni mbaya, sijui kama atatoboa.
Nikipata wasaa nitakua nawachungulia humu.
ukitukanwa unaanza kuita mods.
si utunge yako kwani umeletwa hapa.
point!!Hata Mimi ninajiuliza swali hilo na amesema kwamba walipo rudi porini walikuwa wakizipekua maiti na kupata madonge ya dhahabu,Sasa hizo dhahabu hazikutosha kuwatajirisha?vinginevyo hii ni hadithi ya kutunga.
Bado hujamaliza tu, kukata gogo?Naandika habari hii nikiwa na kumbukumbu ya kuwakumbuka marafiki zangu dogo Chiko, Wamisujo, pamoja na Topha.
Hii ilikua 2015, leo ni zaidi ya miaka 5 imepita tangu washkaji zangu hao watangulie kuzimu.
Utashangaa kwanini leo nimekaa nikawakumbuka machizi boti wangu hawa.
Leo Asbuhi nimekutana na mshikaji flani hivi ambaye tulipotea takriban miaka 5 iliyo pita, huyu mshikaji tulikuwa wote NAIROTO, tulipoteana kutokana na masahibu ninayo taka nikueleze hapo baadae.
Tulipo kutana leo kila mtu alikua akimshangaa mwenzie. Mimi ndie nilie kuwa wakwanza kumuita jina lake, alipo itika tulikumbatiana na kila mmoja kutaka kujua mwenzeke ilikua wapi baada ya tukio lile.
Kwa upande wangu nilijua mshikaji alisha kufa kwenye tukio lile.
****************************************************************************************
Nakumbuka ilikua 2015 kipindi Nanhupo madini (Ruby) yanatoka kinoma. Nakumbuka ndio mbuyuni ingali mbichi watu kila siku ni mwendo wa Dollar tu.
Mara mzungu akaongeza ulinzi porini (kukabiliana na wachimbaji) police wakawa wengi, kila askali ana mbwa, watu wakawa wanapigwa Risasi wengine wanang'atwa na mbawa.
Wachimbaji uoga ukatuingia, kila mtu akawa amepagawa, ukizingatia wengi wetu tumetoka Tanzania.
Mungu si John wala Kasim, akaonyesha makudula yake.....
Tukasiki kuna kijiji kinaitwa nairoto kuna dhahabu inatoka kwa wingi.
Kama kawaida ya wachimbaji (kuhama hama) safari zikaanza za kwenda Nairoto.
Nitarudi muda si mrefu.
Alafu wanazileta kwenu kiulainii😆😆aisee kuna watu wanapambana sana kutafuta pesa
Umesahau na ukimwi mzee.Haya machimbo ya kuibuka tu wanayaita RUSH..
Yani mzigo ukisoma ndani ya masaa mawili huezi amini kama lilikua pori utakuta Gest, baa, malaya washatimba, mama ntilie, soko, maduka na kila kitu....
Na ndani ya masaa kadhaa pia unaweza kupakuta peupe likiibuka chimbo jipya linalotema.... Watu wa GEITA wanayajua haya mazingira na rush ikidumu miaka minne vijiji vya pembeni kutakua nawatoto wengi balaaaaaa na hawana baba na hawa hua hawaendi shule....
Sawa mkuuNimekuelewa mkuu.
Tatizo maisha ninayo ishi ni mchaka mchaka kinoma.
Mfano jana usiku kucha tumekesha hospital, kuna mtanzania mwenzetu (mtoto wa songea) kapigwa shoka na mrundi.
Hivi ninavyo andika, mtanzania mwenzetu ishakula kwake, akipona sijui!!!
Kitacho tokea hapa, ni mapambano ya Wabongo na warundi hapo baadae, maana Wabongo wameapa kutokukubali.
Kwahiyo Kiufupi muda wa kukaa na kuandika kwa utulivu nakua sina.
Cha muhimu tuvumiliane.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumefanana mawazo[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata Mimi ninajiuliza swali hilo na amesema kwamba walipo rudi porini walikuwa wakizipekua maiti na kupata madonge ya dhahabu,Sasa hizo dhahabu hazikutosha kuwatajirisha?vinginevyo hii ni hadithi ya kutunga.
Umesahau na ukimwi mzee.
Popote palipo na machimbo ukimwi ndio nyumbani kwake.
Mkuu kwenye maisha usipende kuwa negative kiasi hikiwewe ni mbabaishaji kama wengine tu.
Mods waitwe hapa waifutilie mbali story yako hii.
Ohooo mmnaenda kuingia kwenye vita nyingine baada ya kusurvive vita vya ugonjwa (laana)?Nimekuelewa mkuu.
Tatizo maisha ninayo ishi ni mchaka mchaka kinoma.
Mfano jana usiku kucha tumekesha hospital, kuna mtanzania mwenzetu (mtoto wa songea) kapigwa shoka na mrundi.
Hivi ninavyo andika, mtanzania mwenzetu ishakula kwake, akipona sijui!!!
Kitacho tokea hapa, ni mapambano ya Wabongo na warundi hapo baadae, maana Wabongo wameapa kutokukubali.
Kwahiyo Kiufupi muda wa kukaa na kuandika kwa utulivu nakua sina.
Cha muhimu tuvumiliane.
Poleni sana. Huyo mrundi bado yupo hapo polini?Wakuu hii story nitaimalizia lkn nahisi sio leo.
Leo nitakua busy na swala la ajali ya mchimbaji mwenzetu kupigwa shoka na mrundi.
Chanzo cha ugonjwa wao, ni simu.
Jamaa yuko hospital ya Montepuez, hata hivyo kuna taratibu zinahitajika zifanyike mshikaji apelekwe hospital ya pemba.
Hali yake ni mbaya, sijui kama atatoboa.
Nikipata wasaa nitakua nawachungulia humu.
Wanagombea simu ya wizi.Duh poleni sana,alipigwa shoka kisa nini?
Mbona huko ugenini mnaishi maisha ya hatari sana.
Hivi kwa miaka yote mliyokaa huko kutafuta maisha bado hamjafanikiwa kuipata dhahabu muuze mpate pesa na kuja bongo kuwekeza biashara zenu mtulie?
Samahani lakini sijauliza kwa ubaya