Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Kuna energy drink inaitwa dragom
 
Kama angekua msanii basi ile ya kumwekua mwekua ni nyimbo iliyo mtambulisha kwenye mziki na watu wakaikubali sana akatuliza kichwa aka achia goma jingne nairoto ndio hii nayo inakimbiza balaa by the way aya mambo yapo nimekaa ka guruwe msumbiji apo izi starehe zote zipo watu awana kinyaa aisee yani Leo demu anakaa na mshikaji mnamuita shemej kasho wanaachana na yule aliekua anamuita shemji anamchukua yeye maisha yanasonga aisee nilisha ngaa hii kitu. Mwngne anabeba demu anaenda kula mzgo wengne anashuhudia akimaliza wakitoka mwngne anapnda dau yule yule tena anaenda kupiga tundu aise binafsi sikuwai gusa mwanamke wala pombe na wala sikua mchimbaj nilikua kitengo cha wakala wa pesa kurusha madem walijileta sana ila niliepuka coz walijua watazichota tu nilikua nakaa mwez nageuka home songea Ila machimboni ndugu kuskieni tu niliwai kutna na mdada nilisoma nae primary na tulimaliza wote kafarika 2 years ago ilisemekana ngoma alikua nayo R.I.P
 
nilichogundua jamaa ana i copy mahali ana paste huku kuna mahali itakua inasimuliwa so na yeye anapata kitonga hapo hapo all in all story nzuri
Hii ni kauli mbaya sana!

Usiongee/usiandike kitu ambacho huna uhakika nacho.

Wewe unaingia kwenye kundi la kumkatisha tamaa msimulizi.

Heshimu hisia za msimuliaji basi.
 
Shamba lako likikutwa na bange Ni lako Hilo

Ila likikutwa na madini Ni la serikali automatically [emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Songea ya wapi mkuu Liza oni nn
 
Bro tulia uandike kwa utulivu ueleleweke,huo msitu uko wapi mkoa gani, huyo mzungu ni nani,mlifikaje fikaje ndo vitu ndo vitu vya msingi,maana hapo kiukiweli sijaambulia chochote zaidi ya nitarudi baada ya muda mfupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…