Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Nyie ndo mnasababisha chama tawala kila uchaguzi kinashinda kwa kishindo..
 
Nyie ndo mnasababisha chama tawala kila uchaguzi kinashinda kwa kishindo..
 
Bro tulia uandike kwa utulivu ueleleweke,huo msitu uko wapi mkoa gani, huyo mzungu ni nani,mlifikaje fikaje ndo vitu ndo vitu vya msingi,maana hapo kiukiweli sijaambulia chochote zaidi ya nitarudi baada ya muda mfupi
Mleta Mada mbona keshaleweka? Mkoa na vijiji alivyovitaja ni kweli vipo kabisa huko Msumbiji, fuatilia kwa utulivu, na Nairoto utaipata,
labda sasa ni hicho kipindupindu cha 2015
lkn story zake zina uhalisia hata ile ya kibao cha uchawi wa kumwekamweka
 
Ahhh Kuna energy zingine ni non alcoholic mkuu
 
Ahhh Kuna energy zingine ni non alcoholic mkuu
Mkuu mm nakunywa Pombe ya Dragon na spirit yake ipo pia
ndio maana uliponishtua kuwa kuna walioitengenezea energy nikakubali
karibu mm ntaelekea huko Moza-mbiki nikatalii, nasikia Al Shabab wapo njiani, mambo ya Kigoma au Namanga nabadili sasa nataka uchawi wa Mzee Lupatu
 
mi ntaenda huko kuchukua ndagu ya nyoka nimtupie kwa bakhersa pale uwele uwe unamiminika kwenye akaunti yangu
 
Hilo tukia lilitokea mwaka 2015 Mgodi wa nyangarata, niliangalia interview yao yote, waliingia kipindi kampeni zinaishia rais akiwa kikwete, walitoka rais akiwa Magufuli, Mmoja alifia mgodini, wengine walifia hospitali, hawakufa wote,

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…