Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

@NDIZIMSHALE kiboko ya Parabora [emoji23][emoji23]
Jamaa alikuja vizuri sema mseti ulikataa sijui NDIZIMSHALE walikosana nn au sijui walikuwa wanajuana Mana ule ushaidi sio kabisa kifupi namuomba Parabora aje kivingine na ID mpya au aongee na mods wampe liaccount ambalo halitumik lililofunguliwa kitambo aje amwagike tule mastori.

Watu wanastori Ila hawazikumbuki mpaka waone kichaka nawashauri watengeneze Uzi wao nasio Uzi ndani ya Uzi Mana koment kwenye Uzi inaeza funika mwenye Uzi mfano Uzi wa tuliokaa gerezani mtoa mada alifunikwa na njemba mbili mle
 
Samwel Mdodo au sijui Mdoe na yule Diehard walimficha vibaya
Tatizo ye aliongea vitu vya kawaida kabisa ambavyo mtu huhitaji jela kuvijua, wenzie wakaja na nondo, na walikuwa sahihi sababu uzi ulitaka kupeana uzoefu kwa watu waliokaa gerezani
 
Samwel Mdodo au sijui Mdoe na yule Diehard walimficha vibaya
Tatizo ye aliongea vitu vya kawaida kabisa ambavyo mtu huhitaji jela kuvijua, wenzie wakaja na nondo, na walikuwa sahihi sababu uzi ulitaka kupeana uzoefu kwa watu waliokaa gerezani
Kweli wale jamaa walinogesha Sana ule Uzi Yan waliutendea haki
 
Mkuu story tamu sana,malizia
 
Sikumbuki jina la nyuzi zake labda wadau watasaidia,jamaa baada ya maisha kuwa tight walienda kwa mganga na mwenzie ili kupata utajiri,itafute utainjoy
Basi ngoja wadau waje labda wanaweza kutoa msaada
 
Aisee hatarii
 
Mkuu..Sio Kwamba wavuvi na Wachimbaji Wana mifumo hiyo ya maisha...wengi tu.hata walioajiriwa sekta binafsi na serekali hufanya hayo sanaaa...

Kwaiyo Ni Tabia za vijana....Ila baadae WENGINE hubadilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…