Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
Jamaa alikuja vizuri sema mseti ulikataa sijui NDIZIMSHALE walikosana nn au sijui walikuwa wanajuana Mana ule ushaidi sio kabisa kifupi namuomba Parabora aje kivingine na ID mpya au aongee na mods wampe liaccount ambalo halitumik lililofunguliwa kitambo aje amwagike tule mastori.@NDIZIMSHALE kiboko ya Parabora [emoji23][emoji23]
Watu wanastori Ila hawazikumbuki mpaka waone kichaka nawashauri watengeneze Uzi wao nasio Uzi ndani ya Uzi Mana koment kwenye Uzi inaeza funika mwenye Uzi mfano Uzi wa tuliokaa gerezani mtoa mada alifunikwa na njemba mbili mle