๐๐๐ ila wew hutulii mzee wa lupatu ..!! Story yko y kuuzunisha ila imebd nicheke tu samhn lkini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐ ila wew hutulii mzee wa lupatu ..!! Story yko y kuuzunisha ila imebd nicheke tu samhn lkini.
๐๐๐๐๐๐๐ et muone.muone
Marley dollars?
Baada ya laana kukithiri polini, Mwenye (chifu) akawatangazia wanakijiji wenzie wawakataze vijana wao wasiingie polini.
Kwakua watu tulikua wengi hakuna alie jua kua wenye kijiji wametususia poli.
Laana iliendelea mpaka ulipo lipuka ule ugonjwa.
****************************************************************************************
Baada ya story hiyo kutapakaa karibu kwa kila mchimbaji, mala majadiliano yalianza.
Kwanza tulijiuliza kama ule ugonjwa ni kweli kipindu pindu mbona tulivyo fika kijijini pale na ugonjwa ulikoma?
Kulikua kuna watu walikua wanaeza habari za mzungu kutia sumu kwenye maji tuliyo kua tunatumia kwenye shughuli zetu mbali mbali.
Lakini swali likaja, kama nikweli sumu, mbona wanaokufa ni wanaume tu? ( na nikweli, kwenye kisanga hichi hakuna mwanamke alie kufa)
Tena ukizingatia walikua wanakufa wengi ni wanunua dhahabu, wafanya biashara wengine, na wanaozunguka na vingwendu.
Kumbuka watu hao wote, machimboni hunywa maji ya dukani.
Jibu likaja kua kuna masharti yamevunjwa.
Watu wakatiana moyo wa kwenda tena polini.
Ikapangwa siku, mwenye kutaka kwenda polini aungane twende.
Nikajifikilia, na mimi nikajipa ujasili wa kuungana na kikundi kitacho rudi tena polini.
Kilicho ni shawishi kikubwa niliamini kuna watu wengi walikua wamekufa na dhahabu mfukoni, hivyo niliamini lazima nirudi na dhahabu.
Pili nilikua nashauku ya kujua kama Wamisunjo alifia pale ama alitoboa mpaka kijijini?
Kulipo kucha safari ilianza.
Safari ilikua ya mtu kama 20+ hivi.
Ila kabla ya safari tulikubaliana hakuna mtu kubeba bange, sigara wala pombe.
Safari ilianza rasmi ya kuelekea polini, njiani tunapishana na maiti, upigi hatua kumi bila kukutana na maiti.
Asikuambie mtu binaadam akifa ananuka balaaa.
Yani ilikua ni mwendo wa kushikapua mpaka unataka kutapika.
Tulitembea mpaka pale tulipo muacha Wamisunjo, nikamkuta jamaa wamemjalia nzi tu, yani hata kumkalibia nilishindwa kwa huzuni.
Safari iliendelea mpaka tunafika matandani.
Tulipo fika matandani, maiti zenyewe hizo! Kama kwenye movies vile.
Kila upande zime jazana maiti tu, kuna harufu mbaya, kama huna moyo wa ujasili lazima utapike.
Tulizunguka polini pale lakini tulishindwa kufanya kazi kutokana na hali halisi.
Tukajadiliana kwamba watu kumi wafuate petrol watu wengine tubaki tukizisomba maiti na kuzi weka sehem moja kisha tuzitie moto.
Kwa wingi wa maiti zile na kuharibika vile ilikua ngumu kuzizika, hivyo wazo wa kuzichoma moto lilikua wazo zuri.
Tukatafuta sehem mbali kidogo na matandani, tukalala.
Hapo uliwashwa moto mkubwa, hapo ni story za kupeana moyo tu husu maisha, kila mtu anaongea lake mpaka asubuhi.
Kulipo kucha wale kumi walielekea kijijini kufuata petrol, na sisi wengine tukaanza kuzisogeza maiti sehem moja (zile zilezo kalibiana.
Mfano fungu moja unakuta maiti tano, fungu lingine watatu kutokana na ukaribu walipo fia.
Nakumbuka mimi na brother mmoja (huyu ni mmalawi) tuliingia ndani ya duka moja hivi, tukamkuta mwenye duka kafa kwenye kiti chake kaa tu.
Tulipekua duka lote (japo kunanuka)mara ya kwanza tuliambulia pesa tu, jamaa nilie nae akania huyu maiti alikua ananunua dhahabu pia hivyo tuwe makini katika kusachi kwetu tusije pishana na dhahabu.
Harakati za kumsachi mfukoni, tukamvua viatu, wapi?
Tukamvua nguo zote (kwa tahadhari ya hali ya juu) hapa tukamkuta na donge la dhahabu kwenye kipochi kidogo cha shingoni, ila marehem alikua kakivaa kiunoni.
Uwezi amini huyu marehem alikufa na biashara yake ikiwa imejaa.
Nakumbuka tulibeba Dragon baadhi ya kasha na kwenda kunywa mbele (hapa tuliapa hakuna mtu kugusa pombe )
Siku ilisha tukizikusanya maiti tu na kuzisachi, mwenye bahati ya kukutana na dhahabu ni ya kwake.
Tulipo gundua kua maiti nyingi zimekufa na dhahabu mikoni, kazi ya kuzikusanya haikua ngumu tena, wala kile kinyaa kikapotea.
Tukaanza kuzigombania maiti kila mtu anataka kusachi, mwisho wa siku tukaingiwa na kama wazimu hivi.
Nakumbuka kuna jamaa walizichapa (nusura wauwane ) wakiigombania maiti moja hivi.
Kuna mmoja kati yao anadai anamfaham malehemu, hivyo yeye ndie mwenye haki ya kuchua dhahabu ya marehem......
Narudi muda si mrefu.
Hata mimi najiuliza hivyo aisee.Mkuu hii ilitokea kweli? Mbona kama movie jombaa?
Mzee wa lupatuNaandika habari hii nikiwa na kumbukumbu ya kuwakumbuka marafiki zangu dogo Chiko, Wamisujo, pamoja na Topha.
Hii ilikua 2015, leo ni zaidi ya miaka 5 imepita tangu washkaji zangu hao watangulie kuzimu.
Utashangaa kwanini leo nimekaa nikawakumbuka machizi boti wangu hawa.
Leo Asbuhi nimekutana na mshikaji flani hivi ambaye tulipotea takriban miaka 5 iliyo pita, huyu mshikaji tulikuwa wote NAIROTO, tulipoteana kutokana na masahibu ninayo taka nikueleze hapo baadae.
Tulipo kutana leo kila mtu alikua akimshangaa mwenzie. Mimi ndie nilie kuwa wakwanza kumuita jina lake, alipo itika tulikumbatiana na kila mmoja kutaka kujua mwenzeke ilikua wapi baada ya tukio lile.
Kwa upande wangu nilijua mshikaji alisha kufa kwenye tukio lile.
****************************************************************************************
Nakumbuka ilikua 2015 kipindi Nanhupo madini (Ruby) yanatoka kinoma. Nakumbuka ndio mbuyuni ingali mbichi watu kila siku ni mwendo wa Dollar tu.
Mara mzungu akaongeza ulinzi porini (kukabiliana na wachimbaji) police wakawa wengi, kila askali ana mbwa, watu wakawa wanapigwa Risasi wengine wanang'atwa na mbawa.
Wachimbaji uoga ukatuingia, kila mtu akawa amepagawa, ukizingatia wengi wetu tumetoka Tanzania.
Mungu si John wala Kasim, akaonyesha makudula yake.....
Tukasiki kuna kijiji kinaitwa nairoto kuna dhahabu inatoka kwa wingi.
Kama kawaida ya wachimbaji (kuhama hama) safari zikaanza za kwenda Nairoto.
Nitarudi muda si mrefu.
Halafu wengine wanawaambia watume na yakutolea kwa sababu Wana samakiaisee kuna watu wanapambana sana kutafuta pesa
Kitoabu kwa mara nyingine tena... Mkuu nimeweka P kabisa sibandukiBaada ya laana kukithiri polini, Mwenye (chifu) akawatangazia wanakijiji wenzie wawakataze vijana wao wasiingie polini.
Kwakua watu tulikua wengi hakuna alie jua kua wenye kijiji wametususia poli.
Laana iliendelea mpaka ulipo lipuka ule ugonjwa.
****************************************************************************************
Baada ya story hiyo kutapakaa karibu kwa kila mchimbaji, mala majadiliano yalianza.
Kwanza tulijiuliza kama ule ugonjwa ni kweli kipindu pindu mbona tulivyo fika kijijini pale na ugonjwa ulikoma?
Kulikua kuna watu walikua wanaeza habari za mzungu kutia sumu kwenye maji tuliyo kua tunatumia kwenye shughuli zetu mbali mbali.
Lakini swali likaja, kama nikweli sumu, mbona wanaokufa ni wanaume tu? ( na nikweli, kwenye kisanga hichi hakuna mwanamke alie kufa)
Tena ukizingatia walikua wanakufa wengi ni wanunua dhahabu, wafanya biashara wengine, na wanaozunguka na vingwendu.
Kumbuka watu hao wote, machimboni hunywa maji ya dukani.
Jibu likaja kua kuna masharti yamevunjwa.
Watu wakatiana moyo wa kwenda tena polini.
Ikapangwa siku, mwenye kutaka kwenda polini aungane twende.
Nikajifikilia, na mimi nikajipa ujasili wa kuungana na kikundi kitacho rudi tena polini.
Kilicho ni shawishi kikubwa niliamini kuna watu wengi walikua wamekufa na dhahabu mfukoni, hivyo niliamini lazima nirudi na dhahabu.
Pili nilikua nashauku ya kujua kama Wamisunjo alifia pale ama alitoboa mpaka kijijini?
Kulipo kucha safari ilianza.
Safari ilikua ya mtu kama 20+ hivi.
Ila kabla ya safari tulikubaliana hakuna mtu kubeba bange, sigara wala pombe.
Safari ilianza rasmi ya kuelekea polini, njiani tunapishana na maiti, upigi hatua kumi bila kukutana na maiti.
Asikuambie mtu binaadam akifa ananuka balaaa.
Yani ilikua ni mwendo wa kushikapua mpaka unataka kutapika.
Tulitembea mpaka pale tulipo muacha Wamisunjo, nikamkuta jamaa wamemjalia nzi tu, yani hata kumkalibia nilishindwa kwa huzuni.
Safari iliendelea mpaka tunafika matandani.
Tulipo fika matandani, maiti zenyewe hizo! Kama kwenye movies vile.
Kila upande zime jazana maiti tu, kuna harufu mbaya, kama huna moyo wa ujasili lazima utapike.
Tulizunguka polini pale lakini tulishindwa kufanya kazi kutokana na hali halisi.
Tukajadiliana kwamba watu kumi wafuate petrol watu wengine tubaki tukizisomba maiti na kuzi weka sehem moja kisha tuzitie moto.
Kwa wingi wa maiti zile na kuharibika vile ilikua ngumu kuzizika, hivyo wazo wa kuzichoma moto lilikua wazo zuri.
Tukatafuta sehem mbali kidogo na matandani, tukalala.
Hapo uliwashwa moto mkubwa, hapo ni story za kupeana moyo tu husu maisha, kila mtu anaongea lake mpaka asubuhi.
Kulipo kucha wale kumi walielekea kijijini kufuata petrol, na sisi wengine tukaanza kuzisogeza maiti sehem moja (zile zilezo kalibiana.
Mfano fungu moja unakuta maiti tano, fungu lingine watatu kutokana na ukaribu walipo fia.
Nakumbuka mimi na brother mmoja (huyu ni mmalawi) tuliingia ndani ya duka moja hivi, tukamkuta mwenye duka kafa kwenye kiti chake kaa tu.
Tulipekua duka lote (japo kunanuka)mara ya kwanza tuliambulia pesa tu, jamaa nilie nae akania huyu maiti alikua ananunua dhahabu pia hivyo tuwe makini katika kusachi kwetu tusije pishana na dhahabu.
Harakati za kumsachi mfukoni, tukamvua viatu, wapi?
Tukamvua nguo zote (kwa tahadhari ya hali ya juu) hapa tukamkuta na donge la dhahabu kwenye kipochi kidogo cha shingoni, ila marehem alikua kakivaa kiunoni.
Uwezi amini huyu marehem alikufa na biashara yake ikiwa imejaa.
Nakumbuka tulibeba Dragon baadhi ya kasha na kwenda kunywa mbele (hapa tuliapa hakuna mtu kugusa pombe )
Siku ilisha tukizikusanya maiti tu na kuzisachi, mwenye bahati ya kukutana na dhahabu ni ya kwake.
Tulipo gundua kua maiti nyingi zimekufa na dhahabu mikoni, kazi ya kuzikusanya haikua ngumu tena, wala kile kinyaa kikapotea.
Tukaanza kuzigombania maiti kila mtu anataka kusachi, mwisho wa siku tukaingiwa na kama wazimu hivi.
Nakumbuka kuna jamaa walizichapa (nusura wauwane ) wakiigombania maiti moja hivi.
Kuna mmoja kati yao anadai anamfaham malehemu, hivyo yeye ndie mwenye haki ya kuchua dhahabu ya marehem......
Narudi muda si mrefu.