Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Mkuu umeahidiwa mbunye ikabidi uwe mpole[emoji23][emoji23][emoji23]
 
yale mauaji ya watoto mwaka jana yametajirisha wengi sana njombe.

huyu jamaa wa madini msumbiji aseme ukweli kuhusu matumizi ya ushirikina kwenye uchimbaji wa madini msumbiji

mauaji ya watoto
vijana wasiooa
wazee
viungo vya wanawake
viungo vya albino
nywele za saluni
kucha za wale vijana wasafisha kucha
mabaki ya maji ya kuoshea maiti
kufukua makaburi

haya yote ni watu wa madini ndio chanzo na wale wasaka utajiri kishirikina

Kitoabu

Kitoabu

aseme kuhusu haya mambo na sababu sasa tunaweka ukweli tu anaweza pia kusema upande wake anatumia njia gani kiimani hapa maana HAKUNA mchimba madini au msaka RUPIA asiyehusika kwenye cycle ya mauaji au utumiaji wa ushirikina

yangu nitakuja kukiri siku moja
 
Hii ya mwaka Jana Njombe pia imezimisha ndoto za utajiri na kuishi kikawaida was jamaa wengi sana. Kuna jamaa yangu wa Makambako ameishia kukaa rumande hadi leo na alikuwa na maisha safi tu.
 
Aisee kuishi kwingi kuona mengi! kumbe yale mauaji ya watoto kule njombe ilikua ni dili la utajiri!!
 
Part III
 
Yaani ninavyosimulia hapa, picha kamili inanijia kichwani kwasababu nakumbuka Kila kitu mpaka sura yake ingawa ilikuwa usiku. Mkuu acha kabisa kuonana na viumbe hivi

Ddduuuh mtihani, wakati mwengine ukihadithiwa mikasa kama hii unaona kama story tu, lkn kwa yaliyompata ndio anajua effect yake. Phobia, naona mpk dhahabu huna hamu nayo.....
 
@kitoabu
 
Ddduuuh mtihani, wakati mwengine ukihadithiwa mikasa kama hii unaona kama story tu, lkn kwa yaliyompata ndio anajua effect yake. Phobia, naona mpk dhahabu huna hamu nayo.....
Acha kabisa, nikiona hata pete ya English gold kumbukumbu za hili tukio zinanijaa. Kuna muda mpaka nilikuwa nateseka bila kumwambia mtu yeyote lakini imefikia kipindi nilikubaliana na hali mpaka sasa zimekuwa kumbukumbu za kawaida
 
Uchawi na Ukimwi ni vitu vya kawaida sana

Kijana anajulikana kabisa huyu kaua mama yake au kafanya msukule mdogo wake halafu fresh tu ingawa yapo sehemu nyingi lakini kule ni kawaida yaani haishtui kama watu wa maeneo mengine wanashtuka kusikia habari za tajiri fulani

Ukimwi kawaida tu watu hawashtuki juu ya ngoma, yaani kawaida kabisa

Mkuu stori yako imenisisimua sana ikiisha nikaribishe inbox

Nimeishi mkoa ule miaka kumi lakini nasikia tu kwa watu haya unayoandika
 
Sisi wenye upara vipi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…