Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

daah balaa kubwa...
 
hahaah mkuu pole sana sio kwa masaibu hayo..
 
mi binafsi sio muoga na nimekutana na mengi mazito....niliwahi pata pia mtihani wa kupendwa na jini wa kike though mimi hakufanya la maana sababu nafanya ibada na niko karibu na anga za juu kuliko mambo ya kidunia..
Mkuu kila unaponijibu napata swali lingine hopes hutonichoka

Naomba kuuliza, huyo jini aliku approach au wewe ndo ulimtongoza mdada kumbe n jini?
Pia ulijuaje kua ni jini? Na jini akikupenda halafu wewe usimpende vipi anaweza kukidhuru?
 
mi binafsi sio muoga na nimekutana na mengi mazito....niliwahi pata pia mtihani wa kupendwa na jini wa kike though mimi hakufanya la maana sababu nafanya ibada na niko karibu na anga za juu kuliko mambo ya kidunia..
Ww dini gani samahani lakini, nataka kujua dini gani inauwezo wa kupambana na mambo haya au imani yako tu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Hata Mimi ninajiuliza swali hilo na amesema kwamba walipo rudi porini walikuwa wakizipekua maiti na kupata madonge ya dhahabu,Sasa hizo dhahabu hazikutosha kuwatajirisha?vinginevyo hii ni hadithi ya kutunga.
Wew hujakaa machimbon naomba ukae kwa kutulia, hamna mchimbaj anaeridhka na pesa ya machimbo maana anajua kesho atapata nyingi zaidi...
 
Mim naamini kwa sasa Tanzania ni moja kati ya nchi ambazo zimeweka mazingira mazur sana kwa wachimbaji wadogo hapa Afrika, Yaan likitokea tu chimbo tayar wanaweka kituo cha polisi ila zaman ilikuwa ni kama huko msumbij mim nakumbuka mwaka 2012 lilitokea chimbo shinyanga kakora lilikuwa linaitwa nyangarata ilikuwa ni hatar full kuchinjana Mara unakuta Dem kauliwa na chupa imeingizwa kwenye K...
 

duuh aisee hii mbona kali.

yaani sipati picha ningekuwa mimi na mtoto wangu ningejiskiaje!!!
 
Divai ile ile Yesu aliyoitengeneza Harusini??
Au hii Divai ipi?Ya nyanya si zabibu?Hii mnayokunywa kama damu ya Yesu??
Au matone kidogo yana exception ya kuingia Mbinguni?
 
Malizia basi story.
Mkuu najipanga nimalizie, ukiona kimya usidhani ni makusudi bali mambo mengine yanaingiliana, pia wengine si waandishi wazuri wa kupangilia kisa(visa) inahitaji kurecall na kuiweka kisimulizi katika maandishi something different from reciting it verbally. Naahidi kumalizia usiku huu, kifupi kwa kugusa hasa yaliyojiri na ushauri wa juu ya haya mambo yakikutokea ufanye nini bhas.
 
Nilipangiwa kule 2015 kwa " Kutokusoma ni makosa, imezuiliwa" lakini niliipangua baada ya mzee Ngome kufanya mawasiliano na wa intake MMJKT.
Umeisha hiyo babaa
Hahahahaa, 'order' ikitema kuchomoka ni mtiti, labda upate mbanga kama huo. Mi ilintemaga pia kama hivyo ila nkashindwa kuruka kiunzi. Ikabidi nikaripoti Chicago, nlikaa kidogo nkapiganisha kurudi Mgulani
 
Kazakh destroyer kwanini ulimkataa uyo jini??na je ulikutana nae vp?....ebu tupe simulzi mkuu
dah mkuu majini ni viumbe tofauti na sisi wanapaswa kuoana wao kwa wao....hatufanani kwa lolote sema wao wana mapenzi na wivu wa ajabu kwa wanadamu wakikupenda.....iko siku ntahadithia mkuu ila hawezani na mimi yule na kiufupi alitaka nimtimue wife nikae nae yeye akaniletea bla bla za pete sijui na takataka gani na mimi sifananii hayo mambo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…