Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Acha kabisa, nikiona hata pete ya English gold kumbukumbu za hili tukio zinanijaa. Kuna muda mpaka nilikuwa nateseka bila kumwambia mtu yeyote lakini imefikia kipindi nilikubaliana na hali mpaka sasa zimekuwa kumbukumbu za kawaida

Acha kabisa.... Mie niliwahi kutokewa na mauzauza nyumba nilokuwa nakaa mwanzo, usiku nimelala na mtt wangu age kama one year ivi ghafla nikashtuka nimesimamiwa na dada wa kiarabu (namuona mpk leo alivokuwa katusimamia na alivovaa) sema kama kulikuwa na kagiza kdg.... baba wtt kalala chini (si unajua tena mkiwa na wtt wadogo kulala pamoja sio issue) basi nilivoshtuka yule dada akapotea, nikajiuliza mmmh ni ndoto au, jamaa yangu kalala wa juzi habari hana. Nikasema mmh wacha tu niendelee kulala labda waswas tu mana mie nna kaujasiri kdg.. Ile kufumba tu tena macho nikaanza tena kama kuweweseka nashtuka ghafla namuona tena yule dada this time keshainama tayari na mtoto kambeba yaani ile beba ya mikono miwili kwa mbele, niliinuka ghafla akapotea na kila kitu kikarudi kama kilivyo aaah hapo ikabidi nimuamshe mwenzangu kimwambia huku nalia.... yaani ilikuwa kama ndoto lkn ni uhalisia mana kila kitu nilivokionakilikuwa kama kilivyo chumbani na mtt nguo zake za pajamas ni zilezile.... hapo hatukulala tena. Yaani mpk tunahama kile chumba changu mwenyewe nilikua nakiogopa hata mchana mpk nipelekwe mara moja moja ndio najikaza. na huyu mtt ikabidi kumfanyia dawa... tuliambiwa ni kama vile yule jini alimpenda... sasa sijui hata alikuwa anataka kumpeleka wapi
 
Acha kabisa.... Mie niliwahi kutokewa na mauzauza nyumba nilokuwa nakaa mwanzo, usiku nimelala na mtt wangu age kama one year ivi ghafla nikashtuka nimesimamiwa na dada wa kiarabu (namuona mpk leo alivokuwa katusimamia na alivovaa) sema kama kulikuwa na kagiza kdg.... baba wtt kalala chini (si unajua tena mkiwa na wtt wadogo kulala pamoja sio issue) basi nilivoshtuka yule dada akapotea, nikajiuliza mmmh ni ndoto au, jamaa yangu kalala wa juzi habari hana. Nikasema mmh wacha tu niendelee kulala labda waswas tu mana mie nna kaujasiri kdg.. Ile kufumba tu tena macho nikaanza tena kama kuweweseka nashtuka ghafla namuona tena yule dada this time keshainama tayari na mtoto kambeba yaani ile beba ya mikono miwili kwa mbele, niliinuka ghafla akapotea na kila kitu kikarudi kama kilivyo aaah hapo ikabidi nimuamshe mwenzangu kimwambia huku nalia.... yaani ilikuwa kama ndoto lkn ni uhalisia mana kila kitu nilivokionakilikuwa kama kilivyo chumbani na mtt nguo zake za pajamas ni zilezile.... hapo hatukulala tena. Yaani mpk tunahama kile chumba changu mwenyewe nilikua nakiogopa hata mchana mpk nipelekwe mara moja moja ndio najikaza. na huyu mtt ikabidi kumfanyia dawa... tuliambiwa ni kama vile yule jini alimpenda... sasa sijui hata alikuwa anataka kumpeleka wapi
Aiseh pole sana mkuu, vipi lakini sasa hivi hali imetulia? Na mwanao vipi yupo salama?
 
yale mauaji ya watoto mwaka jana yametajirisha wengi sana njombe.

huyu jamaa wa madini msumbiji aseme ukweli kuhusu matumizi ya ushirikina kwenye uchimbaji wa madini msumbiji

mauaji ya watoto
vijana wasiooa
wazee
viungo vya wanawake
viungo vya albino
nywele za saluni
kucha za wale vijana wasafisha kucha
mabaki ya maji ya kuoshea maiti
kufukua makaburi

haya yote ni watu wa madini ndio chanzo na wale wasaka utajiri kishirikina

Kitoabu

Kitoabu

aseme kuhusu haya mambo na sababu sasa tunaweka ukweli tu anaweza pia kusema upande wake anatumia njia gani kiimani hapa maana HAKUNA mchimba madini au msaka RUPIA asiyehusika kwenye cycle ya mauaji au utumiaji wa ushirikina

yangu nitakuja kukiri siku moja
Duh.[emoji22]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kabisa.... Mie niliwahi kutokewa na mauzauza nyumba nilokuwa nakaa mwanzo, usiku nimelala na mtt wangu age kama one year ivi ghafla nikashtuka nimesimamiwa na dada wa kiarabu (namuona mpk leo alivokuwa katusimamia na alivovaa) sema kama kulikuwa na kagiza kdg.... baba wtt kalala chini (si unajua tena mkiwa na wtt wadogo kulala pamoja sio issue) basi nilivoshtuka yule dada akapotea, nikajiuliza mmmh ni ndoto au, jamaa yangu kalala wa juzi habari hana. Nikasema mmh wacha tu niendelee kulala labda waswas tu mana mie nna kaujasiri kdg.. Ile kufumba tu tena macho nikaanza tena kama kuweweseka nashtuka ghafla namuona tena yule dada this time keshainama tayari na mtoto kambeba yaani ile beba ya mikono miwili kwa mbele, niliinuka ghafla akapotea na kila kitu kikarudi kama kilivyo aaah hapo ikabidi nimuamshe mwenzangu kimwambia huku nalia.... yaani ilikuwa kama ndoto lkn ni uhalisia mana kila kitu nilivokionakilikuwa kama kilivyo chumbani na mtt nguo zake za pajamas ni zilezile.... hapo hatukulala tena. Yaani mpk tunahama kile chumba changu mwenyewe nilikua nakiogopa hata mchana mpk nipelekwe mara moja moja ndio najikaza. na huyu mtt ikabidi kumfanyia dawa... tuliambiwa ni kama vile yule jini alimpenda... sasa sijui hata alikuwa anataka kumpeleka wapi
Aisee..uzi juu ya uzi..sema huu wako umeisha mapema..wenzio wanaanzisha uzi halafu wanaenda kuoga...natania tu.
 
Story yako inaboa Bora ungeanzisha tu Uzi wako
 
nimerudi tena sasa baada ya kushiba sasa...


pale kibena hospital kumbe nililetwa na wanakijiji tu,kwamba imezoeleka wao wakisikia kelele toka kule msituni basi huwa wanajua lazima ni watu waliopotea pangoni sasa kuonekana kwao huwa kwa style hiyo,na baada ya hapo wengi huwa wanapata kichaa kiasi cha kushindwa kabisa elezea nini waliona kule pangoni...(mimi sikupata nitasema kwanini pia)

....nikiwa bado nauguza kidonda,hapo tayari wafanyakazi wenzangu na ndugu wameshafika,ndugu zangu ni wa njombe na wanajua habari kuhusu msitu,baada ya kuambiwa niliokotwa kule chap wakajua cha kufanya,walikuja na dawa kadhaa na MTAALAMU fulani tokea kijijini kuja kunitoa mkosi na laana zinazopatikana huko(hii huduma ndio aliikosa mangi kwa maelezo ya baadaye) ndio maana aliishia kuwa kichaa...baadae niliambiwa mambo ya mule hayapaswi simuliwa kwahiyo ukifanikiwa kutoka mzima ni aidha ufanyiwe UTAALAMU au uwe kichaa usiwe na kumbukumbu kabisa...

mguu uliendelea kutibiwa na na kuharibika kadri siku zinasonga na ule upele ukawa unazidi na nabadilika kuwa wa kijani mguu wote sasa...madaktari wakashauri unatakiwa kukatwa ili kuoza kusiendelee(hii issue ya matibabu siyo concern yangu haswa)...kwa kifupi ndio wakakata mguu ila with time nilifanikiwa kupata operesheni ya kipande bandia huwezi jua kabisa kuwa sina mguu.

nilikaa pale mwezi mzima ingawa siku za mwanzo zilikua ngumu,kumbukizi ya matukio haikua inakuja full yaani unakumbuka tu habari hadi kipindi fulani halafu hukumbuki nini kilifatia aidha unaishia kusinzia au kupata mawenge...wenge linakuja sababu ile sauti na mwanga vinakua vinaflash upya kichwani,yaani siku za mwanzo ilikua nikifika ile hatua ya mwanga na sauti ya jamaa kule chini kila kitu kinapotea hadi baadae sana ndio ikawa naweza kumbuka kila kitu na kusimulia kama hivi...

sasa turudi kuhusu wale jamaa zangu...hii habari ya jamaa kwakweli sijuagi nini kiliwapata kule,wale wawili wa chini ni mangi alifanikiwa kupata miili yao wengine haikuwahi patikana pamoja na kwamba zilifanyika mila kibao lakini wanachodai ni kwamba mtu akipotelea huko shimoni huwa ni sadaka kwa hiyo wanaita mizimu na hata msihangaike kutafuta ila ukitaka tu mabaki yake ndio kuna mahala wazee huwa wanaenda fata napo ni mifupa na hawaziki kikawaida inazikwa kimila ili kutosambaza wanachoita “tego”

mangi ndani ya ile wiki alifika hospitali na hata alikua na uwezo wa kuongea baada ya kuanza changanyikiwa na nilimuelewa mwanzoni ila kadri siku zinasonga akaacha hata kuwa anatimba kunipa gwala...natoka mimi keshakua chizi

kwa upande wake anasema alichoona kule chini ilikua ni ajabu(mangi alifanikiwa kupanda sababu anasema kwa bahati nzuri kamba yake yule jamaa wa juu alipata akili ya kuifunga kwenye mti kwa juu) kwa hiyo wakati yeye kapigwa mwanga na kuachia kamba bado mangi ilimshika sababu na yeye alikua kajifunga kiunoni akafanikiwa kupanda juu kwa kujivuta kwa ile kamba,anasema yeye alifanikiwa kutoka na pia aliokotwa na wanakijiji na ndio aliyewapa habari hadi ndugu zangu ndio kufanikiwa kunifanyizia dawa...sijui kwa mangi ziligoma labda sababu ya kuwa na damu tofauti na ya wabena,lakini sababu yeye alishawahi kuzama akatoka mzima naona akapuuza.

anasema alipigwa mwanga mkali na aliona kila kitu kule chini,kwa maelezo yake ni aliona masanduku makubwa sana yanaelea lakini sasa huko chini kuna majoka balaa,nyoka ni wengi sana(nahisi ndio hii wanayoita huku uraiani mizimu ya akina MKONGWA)...sasa huwa wanasema ukifika hatua ya kuona hawa ndio lazima ufe au uwe chizi...anasema struggle yake kutoka shimoni haikua rahisi alichoona kuhusu wake jamaa ni kwamba waliyeshuka naye alikamatwa na moja kati ya hao nyoka na kushushwa huko,pia ule mshtuko ulimvuta na aliyekua kamshikia kamba akaangukia humo,sijui kilimtokea nini yule watatu ila naye ilikuja thibitika kwamba alikufa na wazee wa mila...

nitakuja tena..
 
nimerudi tena sasa baada ya kushiba sasa...


pale kibena hospital kumbe nililetwa na wanakijiji tu,kwamba imezoeleka wao wakisikia kelele toka kule msituni basi huwa wanajua lazima ni watu waliopotea pangoni sasa kuonekana kwao huwa kwa style hiyo,na baada ya hapo wengi huwa wanapata kichaa kiasi cha kushindwa kabisa elezea nini waliona kule pangoni...(mimi sikupata nitasema kwanini pia)

....nikiwa bado nauguza kidonda,hapo tayari wafanyakazi wenzangu na ndugu wameshafika,ndugu zangu ni wa njombe na wanajua habari kuhusu msitu,baada ya kuambiwa niliokotwa kule chap wakajua cha kufanya,walikuja na dawa kadhaa na MTAALAMU fulani tokea kijijini kuja kunitoa mkosi na laana zinazopatikana huko(hii huduma ndio aliikosa mangi kwa maelezo ya baadaye) ndio maana aliishia kuwa kichaa...baadae niliambiwa mambo ya mule hayapaswi simuliwa kwahiyo ukifanikiwa kutoka mzima ni aidha ufanyiwe UTAALAMU au uwe kichaa usiwe na kumbukumbu kabisa...

mguu uliendelea kutibiwa na na kuharibika kadri siku zinasonga na ule upele ukawa unazidi na nabadilika kuwa wa kijani mguu wote sasa...madaktari wakashauri unatakiwa kukatwa ili kuoza kusiendelee(hii issue ya matibabu siyo concern yangu haswa)...kwa kifupi ndio wakakata mguu ila with time nilifanikiwa kupata operesheni ya kipande bandia huwezi jua kabisa kuwa sina mguu.

nilikaa pale mwezi mzima ingawa siku za mwanzo zilikua ngumu,kumbukizi ya matukio haikua inakuja full yaani unakumbuka tu habari hadi kipindi fulani halafu hukumbuki nini kilifatia aidha unaishia kusinzia au kupata mawenge...wenge linakuja sababu ile sauti na mwanga vinakua vinaflash upya kichwani,yaani siku za mwanzo ilikua nikifika ile hatua ya mwanga na sauti ya jamaa kule chini kila kitu kinapotea hadi baadae sana ndio ikawa naweza kumbuka kila kitu na kusimulia kama hivi...

sasa turudi kuhusu wale jamaa zangu...hii habari ya jamaa kwakweli sijuagi nini kiliwapata kule,wale wawili wa chini ni mangi alifanikiwa kupata miili yao wengine haikuwahi patikana pamoja na kwamba zilifanyika mila kibao lakini wanachodai ni kwamba mtu akipotelea huko shimoni huwa ni sadaka kwa hiyo wanaita mizimu na hata msihangaike kutafuta ila ukitaka tu mabaki yake ndio kuna mahala wazee huwa wanaenda fata napo ni mifupa na hawaziki kikawaida inazikwa kimila ili kutosambaza wanachoita “tego”

mangi ndani ya ile wiki alifika hospitali na hata alikua na uwezo wa kuongea baada ya kuanza changanyikiwa na nilimuelewa mwanzoni ila kadri siku zinasonga akaacha hata kuwa anatimba kunipa gwala...natoka mimi keshakua chizi

kwa upande wake anasema alichoona kule chini ilikua ni ajabu(mangi alifanikiwa kupanda sababu anasema kwa bahati nzuri kamba yake yule jamaa wa juu alipata akili ya kuifunga kwenye mti kwa juu) kwa hiyo wakati yeye kapigwa mwanga na kuachia kamba bado mangi ilimshika sababu na yeye alikua kajifunga kiunoni akafanikiwa kupanda juu kwa kujivuta kwa ile kamba,anasema yeye alifanikiwa kutoka na pia aliokotwa na wanakijiji na ndio aliyewapa habari hadi ndugu zangu ndio kufanikiwa kunifanyizia dawa...sijui kwa mangi ziligoma labda sababu ya kuwa na damu tofauti na ya wabena,lakini sababu yeye alishawahi kuzama akatoka mzima naona akapuuza.

anasema alipigwa mwanga mkali na aliona kila kitu kule chini,kwa maelezo yake ni aliona masanduku makubwa sana yanaelea lakini sasa huko chini kuna majoka balaa,nyoka ni wengi sana(nahisi ndio hii wanayoita huku uraiani mizimu ya akina MKONGWA)...sasa huwa wanasema ukifika hatua ya kuona hawa ndio lazima ufe au uwe chizi...anasema struggle yake kutoka shimoni haikua rahisi alichoona kuhusu wake jamaa ni kwamba waliyeshuka naye alikamatwa na moja kati ya hao nyoka na kushushwa huko,pia ule mshtuko ulimvuta na aliyekua kamshikia kamba akaangukia humo,sijui kilimtokea nini yule watatu ila naye ilikuja thibitika kwamba alikufa na wazee wa mila...

nitakuja tena..
si umesema umeshiba?

ama uko unaenda toilet?
 
Mkuu huko sikuiona vision yangu baada ya kuhitimu jkt nilitakiwa niingie tma nibebe 2stars hotels begani. Ila nikaambiwa mpaka nipitie RTS kwanza na huku wapo walioenda huko bila ya RTS na kumbuka wapo wanaotoka uraiani na kuzama huko direct tma bila ya majakata.

So nikaona sio Ishi life is not all about being in military. Pia ile lifestyle yao sikuipenda.

Ila mafunzo niliyapenda sana hata wanangu nitawapeleka wapate mafunzo ila sio kuwa wanajeshi. Sishauri
Baba yao umeshindwa jeshi hao wanao si ndio watatoroka siku ya kwanza. maana kilaza huzaa kilaza plus plus
 
Naandika habari hii nikiwa na kumbukumbu ya kuwakumbuka marafiki zangu dogo Chiko, Wamisujo, pamoja na Topha.
Hii ilikua 2015, leo ni zaidi ya miaka 5 imepita tangu washkaji zangu hao watangulie kuzimu.

Utashangaa kwanini leo nimekaa nikawakumbuka machizi boti wangu hawa.

Leo Asbuhi nimekutana na mshikaji flani hivi ambaye tulipotea takriban miaka 5 iliyo pita, huyu mshikaji tulikuwa wote NAIROTO, tulipoteana kutokana na masahibu ninayo taka nikueleze hapo baadae.

Tulipo kutana leo kila mtu alikua akimshangaa mwenzie. Mimi ndie nilie kuwa wakwanza kumuita jina lake, alipo itika tulikumbatiana na kila mmoja kutaka kujua mwenzeke ilikua wapi baada ya tukio lile.

Kwa upande wangu nilijua mshikaji alisha kufa kwenye tukio lile.

****************************************************************************************
Nakumbuka ilikua 2015 kipindi Nanhupo madini (Ruby) yanatoka kinoma. Nakumbuka ndio mbuyuni ingali mbichi watu kila siku ni mwendo wa Dollar tu.

Mara mzungu akaongeza ulinzi porini (kukabiliana na wachimbaji) police wakawa wengi, kila askali ana mbwa, watu wakawa wanapigwa Risasi wengine wanang'atwa na mbawa.

Wachimbaji uoga ukatuingia, kila mtu akawa amepagawa, ukizingatia wengi wetu tumetoka Tanzania.

Mungu si John wala Kasim, akaonyesha makudula yake.....
Tukasiki kuna kijiji kinaitwa nairoto kuna dhahabu inatoka kwa wingi.

Kama kawaida ya wachimbaji (kuhama hama) safari zikaanza za kwenda Nairoto.

Nitarudi muda si mrefu.
Ndo ushanifukuza nisiendelee kusoma...
 
Aiseh pole sana mkuu, vipi lakini sasa hivi hali imetulia? Na mwanao vipi yupo salama?

Ahsante mkuu, tulishahama ile nyumba.... ule mtaa ulikuwa hauishi vibweka..... watu wenye vichwa vizito wanoona mambo walikuwa hawaishi kuchagawa hata mchana utaskia kelele watu washachagawa wanasema kuna wanga...... mtt yuko poa now ana kama miaka 7 ivi..... na yupo vizuri tu anasoma na muelewa Alhamdulilah. Kuna dada mmoja wa kazi huyo nikikaa nae muda mrefu almost miaka mitano na yeye pia alikuwa anaonaona haya mambo.... kuna siku mida kama 6 usiku ivi mie nishalala nimeshtushwa na kelele kubwa sana.... yule dada analia mie kujua labda kimetokea msiba kapigiwa simu kumbe mume wangu alikuwa na yeye keshashtuka ndio anamtuliza kapandisha majini.....anasema mtt yupo kitandani tunamuona tu pale lkn kiuhalisia kuna watu wamemchkua wapo nae nje kwenye mti pana mti wa bilimbi nje.... bwana weeeee mwili wote ulifanya kama umepatwa na baridi kali.... ikabidi hapo kumsemesha mpk akatulia..... anasema ule mtaa mbaya tena watu majirani tu wana kazi ya kuwachezea wtt kimazingara. Yaani acha tu
 
Back
Top Bottom