Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

usijali mkuu....hapana yeye ndo alikuja na alikosa namna ya kukutana na mimi zaidi ya kupitia kwa mtu akipanda kichwani ananipa ujumbe wake then anatoka {hope umewahi kuona watu wakipandisha mashetani} na alitaka tuonane nikamwambia sina muda huo.

inshort majini wana uwezo wa kupenya kwenye mishipa ya damu na wakatembea na kuingia kwenye mwili wa mwanadamu kisha wanadominate akili na wanashika nafasi ya mtu mpaka watoke ndo anarudishiwa akili yake....so alifanya vitimbi vingi kama kuja kusafisha nyumba, kupika n.k ili wife nimuone mzembe yeye ndo anafaa...then kuhusu madhara yes! kama si mtu wa ibada majini wanaweza kukushughulikia kirahisi sana na hawatumii nguvu nyingi.

Hata ukimkuta mtu anasema sijui haamini hayo mambo ni hayajamkuta tu.....kuhusu ukimkataa ndio unaweza kupata matatizo lakini yanatofautiana unaweza kukosa nguvu za kiume au ukakosa kuoa kama hujaoa au ukawa huna interest na wanawake au ukashindwa kushika mimba kama ni mwanamke.

Nafikiri nimekujibu mkuu wangu..

Mkuu kila unaponijibu napata swali lingine hopes hutonichoka

Naomba kuuliza, huyo jini aliku approach au wewe ndo ulimtongoza mdada kumbe n jini?
Pia ulijuaje kua ni jini? Na jini akikupenda halafu wewe usimpende vipi anaweza kukidhuru?
 
Baba yao umeshindwa jeshi hao wanao si ndio watatoroka siku ya kwanza. maana kilaza huzaa kilaza plus plus
Soma unielewe mkuu jeshini sikushindwa ila kimaisha ama future yangu hakuendena na huko. Jeshi lina masharti mpaka lifestyle. Unamjua askari nakatazwa kuishi nyumba moja na RAIA ama hulijui. Hashauriwi kuoa raia
 
Ww dini gani samahani lakini, nataka kujua dini gani inauwezo wa kupambana na mambo haya au imani yako tu?
Kwa kuwa muwazi mimi ni muislamu ninaefuata muongozo wa mitume kutoka kwa muumba wa mbingu na ardhi.....sisi tumewekewa utaratibu wa kujikinga na shari za ardhini na za mbinguni kwenye kila sekta ya maisha.

Asubuhi kuna maneno maalum tumefundishwa ukiyasoma unapata kinga ya majanga ya aina yote na usiku na wakati wa kulala au wakati wa kuvaa nguo....wakati wa kuingia chooni {maana huishi mashetani huko} wakati wa kula wakati wa kujamiiana na mke/mume inshort kila sehemu kuna maneno maalum ambayo kuyasema ni ibada na effect yake iko accurate kuliko speed ya mwanga....
kuhusu imani nyingine siwezi zungumzia mkuu..
shukran..
 
Nimeishi karibu na hapo unapopataja, ilikuwa mwaka gani mkuu maana kwa sasa kuna miti tu ya kupandwa hakuna pori
 
duuh aisee hii mbona kali.

yaani sipati picha ningekuwa mimi na mtoto wangu ningejiskiaje!!!

Acha tu mkuu, nilikaa kama nilipatwa na ganzi ya mwili wote..:. ukizingatia ni usiku kiasi na nimetoka kwenye mshtuko wa usingizi basi kwa muda nilikaa kama zuzu flani ivi [emoji2], ila kwa siku za mbele tulifanya kisomo kikubwa na kutoa sadaka (hizi sadaka tunazotoa toa tunaona kama ni jambo dogo tu lkn kiukweli mbali na kupata thawabu sadaka pia zinasaidia sana kama kinga, zinatukinga na mambo mengi ya mabalaa)
 

Naam, ingawa wakati mwengine huwa tunajisahau na hizi duaa za kinga lakn zinasaidia mno mno. Mie nasoma kila siku na kwa wtt wangu wadogo wasoweza kusoma wenyewe huwa nasoma then nawapulizia.
 
Soma unielewe mkuu jeshini sikushindwa ila kimaisha ama future yangu hakuendena na huko. Jeshi lina masharti mpaka lifestyle. Unamjua askari nakatazwa kuishi nyumba moja na RAIA ama hulijui. Hashauriwi kuoa raia
We jamaa acha chai bwana kila siku askari wanaoa raia shida ya jeshi ukitaka kusafiri hata kwenda hapo moro lazima uwe na kibari nje ya nchi ndio kabisaaa mchakato kama unataka kwenda mbinguni
 
Pesa na iheshimiwe na watu wote waseme amina
 
1995-98 mkuu, msitu umekufa ?
da nipe michapo nani aliukata?
Msitunipo shuleni wa miti ya kupandwa na maeneo mengine yote yana mapori lakini sio mapori mazito, niliishi pale 2016 hapakuwa na stori za msitu wenye maajabu ndio maana nadhani unaouzungumzia ulifutika

Mimi nilikuwa naishi jirani kabisa na korongo ambalo ukiibuka unaibukia shule so lazima ningejua
 
Duuh...

Pole sana ukhty...that was really a havoc....evil spirits are rampant in our houses yaani bora mkautafuta huo msaada

Dua na visomo nyumbani kila baada ya muda kupita ni muhimu.

Wakati wa kulala nyinyi ama hata kids unaweza kuwapaka mafuta ya "misk" kama haiwasumbui(allergies)....

Usiache kutumia MREHANI(kivumbasi) na chumvi ya mawe katika kuoga mara mojamoja...

Nyumbani kwako kama una space panda MKUNAZI...."hawaupendi".
 
Mi nimesoma pale itamba msitu upo karibu na shamba la shule kule kama unaenda kisaula, shamba la shule unalijua? kule ndio kuna huo msitu haupo karibu na nyumba za watu,

Huo msitu hajawai kuwaka moto hata moto ,uweje, tulikuta story mzungu aliingia na farasi hajatoka mpaka leo

Wawanji wote hawaingii mule ,ndio maana nakushangaa unaposema kuna miti ya kupandwa ,
mule huishia nje wakienda kutambika,
wakiingia hawatoki,

Acha hapo kuna njia ya miguu ukipitia kitekelo kama unaenda chimala,kwenye magofu ya wajerumani mbele kidogo kuna bonde kubwa mule ,kuna mali wajerumani walizitupa, ila mpaka uwe na ramani na uchawi ndio utazipata.

Pale shule wajerumani huwa wanakuja kufundisha mara kwa mara, kuna mmoja anaitwa betina huyu tulizunguka naye mapolini,ila kuna mida anaweza kutuacha sehemu ataondoka peke yake mabondeni, tukimuuliza anadai kuna makaburi ya ndugu zake walikufa kipindi cha ukoloni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…