Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
usijali mkuu....hapana yeye ndo alikuja na alikosa namna ya kukutana na mimi zaidi ya kupitia kwa mtu akipanda kichwani ananipa ujumbe wake then anatoka {hope umewahi kuona watu wakipandisha mashetani} na alitaka tuonane nikamwambia sina muda huo.
inshort majini wana uwezo wa kupenya kwenye mishipa ya damu na wakatembea na kuingia kwenye mwili wa mwanadamu kisha wanadominate akili na wanashika nafasi ya mtu mpaka watoke ndo anarudishiwa akili yake....so alifanya vitimbi vingi kama kuja kusafisha nyumba, kupika n.k ili wife nimuone mzembe yeye ndo anafaa...then kuhusu madhara yes! kama si mtu wa ibada majini wanaweza kukushughulikia kirahisi sana na hawatumii nguvu nyingi.
Hata ukimkuta mtu anasema sijui haamini hayo mambo ni hayajamkuta tu.....kuhusu ukimkataa ndio unaweza kupata matatizo lakini yanatofautiana unaweza kukosa nguvu za kiume au ukakosa kuoa kama hujaoa au ukawa huna interest na wanawake au ukashindwa kushika mimba kama ni mwanamke.
Nafikiri nimekujibu mkuu wangu..
inshort majini wana uwezo wa kupenya kwenye mishipa ya damu na wakatembea na kuingia kwenye mwili wa mwanadamu kisha wanadominate akili na wanashika nafasi ya mtu mpaka watoke ndo anarudishiwa akili yake....so alifanya vitimbi vingi kama kuja kusafisha nyumba, kupika n.k ili wife nimuone mzembe yeye ndo anafaa...then kuhusu madhara yes! kama si mtu wa ibada majini wanaweza kukushughulikia kirahisi sana na hawatumii nguvu nyingi.
Hata ukimkuta mtu anasema sijui haamini hayo mambo ni hayajamkuta tu.....kuhusu ukimkataa ndio unaweza kupata matatizo lakini yanatofautiana unaweza kukosa nguvu za kiume au ukakosa kuoa kama hujaoa au ukawa huna interest na wanawake au ukashindwa kushika mimba kama ni mwanamke.
Nafikiri nimekujibu mkuu wangu..
Mkuu kila unaponijibu napata swali lingine hopes hutonichoka
Naomba kuuliza, huyo jini aliku approach au wewe ndo ulimtongoza mdada kumbe n jini?
Pia ulijuaje kua ni jini? Na jini akikupenda halafu wewe usimpende vipi anaweza kukidhuru?