Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Naam, ingawa wakati mwengine huwa tunajisahau na hizi duaa za kinga lakn zinasaidia mno mno. Mie nasoma kila siku na kwa wtt wangu wadogo wasoweza kusoma wenyewe huwa nasoma then nawapulizia.
Sana sana kumbe na wewe ni muislamu naona angel akili inanipeleka marekani moja kwa moja {nakutania}..

Wao wawekee mkono kichwani kisha unawasomea أعيذكما بكلمات الله تامة من كل شيطان وهامة، ومن كل عين لامة

"Nawakinga kwa maneno ya allah yaliyotimia, kutokana na kila shetani na uvamizi na kila jicho lenye kudhuru"

Hapo hakuna cha yule dada mwarabu wala yeyote duniani atakayeweza kuwadhuru kwa kijicho au husda na zaidi mambo ya mvuje na balaa zingine hazitowahusu..
 

Hahahahaha haa fake ID hiyo mkuu..... Haswa ndio nisomayo hio mkuu pamoja na bismillah ladhy layadhuru.......... mara 3 ila nikisha mie huwapulizia. Hakika dua za kinga nzuri sana
 

Ahsante mkuu, basi hapa nilipohamia nitafanya hivyo mana space ipo ya kutosha
 
Hahahahaha haa fake ID hiyo mkuu..... Haswa ndio nisomayo hio mkuu pamoja na bismillah ladhy layadhuru.......... mara 3 ila nikisha mie huwapulizia. Hakika dua za kinga nzuri sana
Hahahaa loh haya nmekuelewa madam sio kwa kutufekisha huko.....sana sana...
haya kahudumie family mengine tutaendelea baadae..
 
Hio kivumbasi na chumvi inasaidia nn mkuu?
 
Soma unielewe mkuu jeshini sikushindwa ila kimaisha ama future yangu hakuendena na huko. Jeshi lina masharti mpaka lifestyle. Unamjua askari nakatazwa kuishi nyumba moja na RAIA ama hulijui. Hashauriwi kuoa raia
Hilo labda jeshi lako wewe. uliza askari wangapi wameoa/kuolewa na raia
uliza askari wangapi wamepanga kwenye nyumba za raia
inaonesha hulijui jeshi kabisa
 
Hilo labda jeshi lako wewe. uliza askari wangapi wameoa/kuolewa na raia
uliza askari wangapi wamepanga kwenye nyumba za raia
inaonesha hulijui jeshi kabisa

Daa ila watu sijui shida Iko wapi.

Nimekuambia huwa haishauriwi mkuu. Ama haulewi kiswahili.

Unakumbuka enzi za jk mlikuwa mkioana wajeda anawaongezea alfu 90 kila mmoja kama wote ni wajeda so alikuwa ana encourage wajeda kuoana.

Wakipanga huko haina mana kuwa hawataki ama hawashauriwi Bali hawana uwezo Wa kuwapa makazi wote ndo mana wanaacha tu wajitafutie makazi yao. Saivi si Unamjua wanajengewa nyumba Tanzania nzima na haziwatoshi.

Mjeda ama askari yeyote yule huwa hairusiwi ama hashauriwi kwa ethics za kazi yake kujichanganya sana na RAIA wewe huelewi.

Kuwa mjeda Uko tanga afu anzisha biashara utajikuta unahamishiwa mtwara na inakuja order hakuna Ku bargain.

Wanataka watu watiifu Wa kulitumikia jeshi kwa mawazo,akili,uwezo,mwili,roho,macho,masikio,moyo,kwa milango yao yote ya fahamu mkuu zaidi 100%.

Kama hutoelewa basi MIE nikuache ukae na imani yake ya uelewa mana maisha ni kioo kila MTU anacho anachokiona na kukiamini.
Hata Hao wanaoa RAIA wanaoa ila sio kuwa wanakatazwa ila wanashauriwa.

Sijui kama unaielewa ivyo lugha kuwa inashauriwa.

Am tired
 
Asante ukiamka unatakiwa usemaje kwa kiswahili
 
Umenijibu vizuri sana kama ni paper halafu me ndo msahishaji ningekupa 100%
Ila nina swali lingine tena

"Umesema alimuingia mtu ndo ukawa unapata information zote kupitia huyo mtu" mfano sasa ungekubali,
Je, unge date nae kupitia huyo mtu au angejitoa na kuja kwa njia nyingine?
 
Asante ukiamka unatakiwa usemaje kwa kiswahili
okay mkuu hizi ni fupi baadhi ila ziko nyingi sana kama zilivyopokelewa..
1: "sifa njema za ukamilifu ni za allah ambaye amenipa uhai baada ya kuwa amenifisha na kwake yeye ndio kufufuliwa..."
2:"sifa njema za ukamilifu zote anastahiki Allaah ambaye amenipa afya katika mwili wangu, akanirudishia roho yangu na akaniruhusu kumtaja..”
 
Hahaha usijali mkuu..

Kilichotokea pale yule ningemkubalia angejitokeza na tungeanza maisha pamoja na alikuwa anakuja usiku kitandani na jirani yangu anamuona ananiambia asubuhi kuna dada wa kiarabu alikuja hapa jana usiku mzuri sana amevaa nguo nyekundu....basi mi najua ni yeye tu naendelea na habari nyingine. Yule alichoka kwasababu hatuendani kabisa na alipata tabu sana kusema na mimi na zaidi aliyeumia ni yule aliyekuwa anapitia kwake ila nilimsaidia na alipata ahueni 99% hiyo moja naweza kuacha percentage of error...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…