Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
karibu mkuu wangu nakuskiliza..Asante mkuu, ila na swali la mwisho nataka nkuulize unijibu kama utakua na mda hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karibu mkuu wangu nakuskiliza..Asante mkuu, ila na swali la mwisho nataka nkuulize unijibu kama utakua na mda hapa.
Ndio maana yake mkuu!!Kwa hiyo ulisharudi kuimalizia?
mkuu allah hajui kiswahili...unayasema kwa kiarabuAsante ukiamka unatakiwa usemaje kwa kiswahili
Ahaa hawa ndo kama wale nyoka wanaofugwa eti kama wa jinimbimajini wazuri wanakaa sehemu nzuri za kheri miskitini, kwenye nyumba za watu wema n.k
we hapana mkuu......hao wako bize na ibada na mambo yao hawatumiki kama hao wa kufungiwa na kuwepa kazi za kuwatesa na kuwatia tabu wanadamu..Ahaa hawa ndo kama wale nyoka wanaofugwa eti kama wa jinimbi
We jamaa unamzungumziaje usiyemjua ?mkuu allah hajui kiswahili...unayasema kwa kiarabu
nini maana ya kujua? mpaka umuone?We jamaa unamzungumziaje usiyemjua ?
Ni kweli trump hajui kiswahiliLakini unaonaje nikwambie namjua Trump, halafu nikwambie Trump hajui kiingereza.
Nadhani mpaka hapo utakuwa umeshafahamu kuwa ni kiasi gani ufahamu wangu ni mdogo kuhusu Trump, hata kama nitadai namjua.
NARUDIA TENA
Utamzungumziaje usiyemjua?
Huna elimu juu ya Allah, sijui kwanini unamzungumzia kwa ujinga.Ni kweli trump hajui kiswahili
Niulize chochote juu yakeHuna elimu juu ya Allah, sijui kwanini unamzungumzia kwa ujinga.
Aisee ni kweli mkuu, hata kiarabu sicho hikiumeelewa sasa nilichokwambia jana......sasa uniambie akmash, akmash salsal salsal ni lugha gani?!.....mambo ya kumtuma paka mweusi.....ushirikina wa kiwango cha flyover..
kisha kuna mdau huko juu nilimwambia paka mweusi tii.....nadhani atathibitisha..
Unadhani mke wako anafurahia hilo jambo la kuingiliwa na hao viumbe?Amin mkuu,nimeshare ili watu wengine wapate kujifunza jambo ama kuongeza ufahamu hakika pote nilipotembea kila aliejua anawaelewa hawa viumbe amebaki kushangaa ama kubisha na wanaojua hubaki kuamini kwa kushuhudia..Ila tukazie kuwa hawana mamlaka yoyote kwa mwanadamu na ukiwaelewa hawawezi kukusumbua hata kidogo imani ya mwanadamu kwa Mungu ni muhimu sana kuliko dini.
Kwahiyo kumbe ana body??Niulize chochote juu yake
(Hint: You'll be suprised)
Najua mpaka umbo lake...yaani jicho moja,mguu mmoja,mikono miwili upande mmoja
ana jicho moja,mguu mmoja,mikono miwili upande mmojaKwahiyo kumbe ana body??
Naona umeongelea jicho, mguu[emoji848][emoji848]