Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Huu uzii kibokoo ,nmesoma hafi comment ya 35 kutafuta muendelee of tu..yaan nipoo hoii hapaa. .ngojaaa niuchapee ..aseee ..

Sema ,mwandshi amepangilia fresh ,matukio ..
Jitahd ufikie lengo kuna mawe hapo kati hutaacha kusoma yanavutia sana .
 
Niulize chochote juu yake
(Hint: You'll be suprised)

Najua mpaka umbo lake...yaani jicho moja,mguu mmoja,mikono miwili upande mmoja
Naona unazidi kidhihirisha ujinga wako, bora hata ungekaa kimya tu.

Siwezi kumuuliza mtu mjinga b'cos I'll be suprized.
 
Basi kumbe huyu ni mtu kabisa ila tu kilema
Maana ni wazi atakuwa hadi na chura
mmh hayo mengine umeongezea wewe.

ila kama ulishaangalia scooby doo hii picha inachekesha sana
allah-has-a-scooby-doo-moment-agnostic-artist.jpg
 
Aisee ni kweli mkuu, hata kiarabu sicho hiki
umeona ee....sasa muite huyo ugeuke mtumwa wa kumtimizia vile anavyotaka....hata pesa huwezi kufurahia masharti ya moto! huoni mtu ana hela ila anatembelea ndala zimechakaa balaa.....au chooni haruhusiwi kuingia na mguu fulani yan ilimradi majanga..
 
umeona ee....sasa muite huyo ugeuke mtumwa wa kumtimizia vile anavyotaka....hata pesa huwezi kufurahia masharti ya moto! huoni mtu ana hela ila anatembelea ndala zimechakaa balaa.....au chooni haruhusiwi kuingia na mguu fulani yan ilimradi majanga..
Hivi hamnaga masharti mepesi??[emoji16][emoji16][emoji16] Kidding mkuu, mimi nawish kuexperience hata sauti yake tu bila kumuona
 
Pole sana!

Najua sio kumbukumbu nzuri, ila inakubidi uiongelee hiyo hali, ili ifike mahali uione kawaida, hata utakapomaliza kuisimulia kuna ahueni utaipata, na with time hiyo hali itakuwa normal tu wala haitakuwa ya kushtua tena

Hata dhahabu pia anza kuziona kawaida tu ili uondokane na ile hali ya ukiziona tu unaanza kukumbuka tukio zima,
Mi nna pete moja ya gold na naivaa sana ila sijawahi kuona mauza uza ya aina yoyote ile hivyo naomba uanze kuiona dhahabu kwa namna ya kawaida, pengine ingewezekana hata silver kuwa na mauza uza uliyopitia,

Nnachojaribu kusema hapa ni kuwa, tatizo sio dhahabu, tatizo sio pete, tatizo sio kito chekundu (ruby) tatizo lilikuwa kwa mmiliki wa hiyo pete, Nadhani yeye ndio alikuwa na mambo yake kuhusiana na hiyo pete,

My mom aliwahi kuibiwa hereni zake za dhahabu pale mkwajuni, tena alivuliwa mchana kweupe na hatujawahi kuziona zikirudi mpaka leo hii[emoji2][emoji2]

Sanasana ilimbidi tu yeye kununua hereni nyingine!!!

Nakusubiria uje kumalizia stori yetu ili nasi tujifunze zaidi (maji ukiyavulia nguo huna budi kuyaoga)
Wewe ni msimuliaji mzuri sana mwandiko umenyooka, tupe tu haki yetu
Lol...northgatan
 
Naam hiki ndicho unachokijua sasa, sio mambo ya kumuelezea Allah, ulikuwa unaboronga na kutobanga tu.
Hahah daah anyways let's call it quits.
maana hata madrasa inaonekana hujapita.
Arguing with you will be an insult to my intelligence
 
Hahah daah anyways let's call it quits.
maana hata madrasa inaonekana hujapita.
Arguing with you will be an insult to my intelligence
Yaani bado unaendelea kudhihirisha ujinga wako tu, kweli we kiboko.

Nimekosea hapo juu, lugha ya watu umenisahihisha na nimekubaliana na hilo, halafu unakuja kusema nimequit, kweli?

Sasa hapo nimequit nini? Kiingereza au? Na huoni kama hilo lilikuwa nje ya mjadala.

Intelligence yako haikuliona hili? na kama hiyo intelligence unayo au unasema tu.
 
Yaani bado unaendelea kudhihirisha ujinga wako tu, kweli we kiboko.

Nimekosea hapo juu, lugha ya watu umenisahihisha na nimekubaliana na hilo, halafu unakuja kusema nimequit, kweli?

Sasa hapo nimequit nini? Kiingereza au? Na huoni kama hilo lilikuwa nje ya mjadala.

Intelligence yako haikuliona hili? na kama hiyo intelligence unayo au unasema tu.
mkuu hebu kaa kwa kutulia......unavyozidi kuchangia unasababisha matusi yaendelee si utulie?!...
 
Yaani bado unaendelea kudhihirisha ujinga wako tu, kweli we kiboko.

Nimekosea hapo juu, lugha ya watu umenisahihisha na nimekubaliana na hilo, halafu unakuja kusema nimequit, kweli?

Sasa hapo nimequit nini? Kiingereza au? Na huoni kama hilo lilikuwa nje ya mjadala.

Intelligence yako haikuliona hili? na kama hiyo intelligence unayo au unasema tu.

I don't even know why I am still replying but here goes nothing.

mkuu kama hukuruka darasa la tano
Niliposema let's call it quits sikumaanisha umequit.
Nilimaanisha let's call it a day.

kwa lugha nyingine
Tuachane na hayo mamijadala
 
Back
Top Bottom