Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Lakini unaonaje nikwambie namjua Trump, halafu nikwambie Trump hajui kiingereza.

Nadhani mpaka hapo utakuwa umeshafahamu kuwa ni kiasi gani ufahamu wangu ni mdogo kuhusu Trump, hata kama nitadai namjua.

NARUDIA TENA
Utamzungumziaje usiyemjua?
 
Lakini unaonaje nikwambie namjua Trump, halafu nikwambie Trump hajui kiingereza.

Nadhani mpaka hapo utakuwa umeshafahamu kuwa ni kiasi gani ufahamu wangu ni mdogo kuhusu Trump, hata kama nitadai namjua.

NARUDIA TENA
Utamzungumziaje usiyemjua?
Ni kweli trump hajui kiswahili
 
Huu uzii kibokoo ,nmesoma hafi comment ya 35 kutafuta muendelee of tu..yaan nipoo hoii hapaa. .ngojaaa niuchapee ..aseee ..

Sema ,mwandshi amepangilia fresh ,matukio ..
 
Unadhani mke wako anafurahia hilo jambo la kuingiliwa na hao viumbe?
 
Niulize chochote juu yake
(Hint: You'll be suprised)

Najua mpaka umbo lake...yaani jicho moja,mguu mmoja,mikono miwili upande mmoja
Kwahiyo kumbe ana body??
Naona umeongelea jicho, mguu[emoji848][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…