Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Huu uzii kibokoo ,nmesoma hafi comment ya 35 kutafuta muendelee of tu..yaan nipoo hoii hapaa. .ngojaaa niuchapee ..aseee ..

Sema ,mwandshi amepangilia fresh ,matukio ..
Jitahd ufikie lengo kuna mawe hapo kati hutaacha kusoma yanavutia sana .
 
Niulize chochote juu yake
(Hint: You'll be suprised)

Najua mpaka umbo lake...yaani jicho moja,mguu mmoja,mikono miwili upande mmoja
Naona unazidi kidhihirisha ujinga wako, bora hata ungekaa kimya tu.

Siwezi kumuuliza mtu mjinga b'cos I'll be suprized.
 
Aisee ni kweli mkuu, hata kiarabu sicho hiki
umeona ee....sasa muite huyo ugeuke mtumwa wa kumtimizia vile anavyotaka....hata pesa huwezi kufurahia masharti ya moto! huoni mtu ana hela ila anatembelea ndala zimechakaa balaa.....au chooni haruhusiwi kuingia na mguu fulani yan ilimradi majanga..
 
umeona ee....sasa muite huyo ugeuke mtumwa wa kumtimizia vile anavyotaka....hata pesa huwezi kufurahia masharti ya moto! huoni mtu ana hela ila anatembelea ndala zimechakaa balaa.....au chooni haruhusiwi kuingia na mguu fulani yan ilimradi majanga..
Hivi hamnaga masharti mepesi??[emoji16][emoji16][emoji16] Kidding mkuu, mimi nawish kuexperience hata sauti yake tu bila kumuona
 
Lol...northgatan
 
Naam hiki ndicho unachokijua sasa, sio mambo ya kumuelezea Allah, ulikuwa unaboronga na kutobanga tu.
Hahah daah anyways let's call it quits.
maana hata madrasa inaonekana hujapita.
Arguing with you will be an insult to my intelligence
 
Hahah daah anyways let's call it quits.
maana hata madrasa inaonekana hujapita.
Arguing with you will be an insult to my intelligence
Yaani bado unaendelea kudhihirisha ujinga wako tu, kweli we kiboko.

Nimekosea hapo juu, lugha ya watu umenisahihisha na nimekubaliana na hilo, halafu unakuja kusema nimequit, kweli?

Sasa hapo nimequit nini? Kiingereza au? Na huoni kama hilo lilikuwa nje ya mjadala.

Intelligence yako haikuliona hili? na kama hiyo intelligence unayo au unasema tu.
 
mkuu hebu kaa kwa kutulia......unavyozidi kuchangia unasababisha matusi yaendelee si utulie?!...
 

I don't even know why I am still replying but here goes nothing.

mkuu kama hukuruka darasa la tano
Niliposema let's call it quits sikumaanisha umequit.
Nilimaanisha let's call it a day.

kwa lugha nyingine
Tuachane na hayo mamijadala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…