Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule hajui kuandika na hajui fani yake[emoji2] [emoji2] Ushawahi kusoma stori za Chongoe yule wa Mafia?
Utakuja gundua huyu jamaa anasimulia vizuri.
😃 😃 Kiongozi. Nataka kuja Mafia kufanya utaliiDah we jamaa
Pamoja kama Kawa mkuu nipo nakufatilia hapa, ningekuona kule ningekustua wadau tunasubiri mrejesho ukuu [emoji3][emoji3]Kabadili I'd hivi sasa anajiita The boss , ila watu tumemshtukia.
Niambie sasa Red davel mwenzangu?
Rest in peace wamisunjo daaahWamisunjo ni huyo alie jishika kichwa mwenye rasta.
Unaweza shangaa mbona kwa mbele kuna ukuta umeandikwa kiswahili, hilo lilikua duka la mbongo kabla hatujatimuliwa.
Hapo ni Nanhupo.View attachment 1625136
Na huyu aliuevaa kapelo nyekundu ndiye wewe ama?Wamisunjo ni huyo alie jishika kichwa mwenye rasta.
Unaweza shangaa mbona kwa mbele kuna ukuta umeandikwa kiswahili, hilo lilikua duka la mbongo kabla hatujatimuliwa.
Hapo ni Nanhupo.View attachment 1625136
Hata Mimi. Uko mitaa ganiWe Kaka Jamani.... Unajua saiv Ni satisa usiku... Sijalala nasubiria muendelezo...
DodomaHata Mimi. Uko mitaa gani
2015 mkoa/nchi gani hiyo vilitokea vifo vingi ila havikuvuma kwenye mitandao ya kijamii?
Inatia hamasa lakini pia hurumaWamisunjo ni huyo alie jishika kichwa mwenye rasta.
Unaweza shangaa mbona kwa mbele kuna ukuta umeandikwa kiswahili, hilo lilikua duka la mbongo kabla hatujatimuliwa.
Hapo ni Nanhupo.View attachment 1625136
Life [emoji848] dahHuyo ni marehem Dogo Chiko.
R I P
E meu deus seu.
Asua alma vai discansar em Paz.
Amen View attachment 1625139View attachment 1625140