T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Natania tu mkuu ingawa kiukweli wengi walitegemea makubwa kulingana na titleHatufanani mi na ww we mtoto wa mama Mimi baharini njo mafia ule kassa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natania tu mkuu ingawa kiukweli wengi walitegemea makubwa kulingana na titleHatufanani mi na ww we mtoto wa mama Mimi baharini njo mafia ule kassa
Acha tu mkuu...Aisee hatarii
Tamu lakini ina machungu yake ambayo nimeyapitia. Ilikuwa kidogo nidisco 2nd year Ila ni kudra za Mungu tu alinivusha.Mkuu story tamu sana,malizia
Ulikuwa Chikoropola, Mnavira, Mapili au wapi mkuu??2015 nilikuwa masasi vijiji vya mpakani na msumbiji,,story kama hii nadhani nilisikia sikia kuna watu wamekufa msumbiji...pole sana mkuu
tafadhali mpenzi usiimuige mleta mada.
tunaomba uendelee tu,uinalizs story yako inavutia sana.
Sawa basi malizia hapa,It looks like I should do it ila wacha niendelee hapa hapa kwenye uzi wa mkuu wa mweku mweku ili tusipoteze radha ya maswala yahusuyo dhahabu kwa upana wake.
Alikua anataka .... Tigo ?Mchezo uliishia wapi?
Basi nikazigawanya zile hela mule mule dukani, nikampa dogo laki mbili zingine nikabaki nazo Mimi. Nikamwambia we pita njia yako nami njia yangu hata Kama tunafuatiliwa tusipokonywe yote na usinunue chochote nikukute home. Baada ya makubaliano mi nikashika njia yangu na dogo nae yake, nikaenda duka flani kununua carpet ya manyoya, nikanunua na subwoofer na vitu vingine vidogo dogo vya kupendezesha chumba na nikabakiwa na chenji kazaa nikarudi home.
Usiku tumelala dogo akashtuka kelele mtindo mmoja huku akining'ang'ania mimi, tukakimbia mpaka sebureni. Nyumba nzima watu wakaamka, nami nimejawa na hofu tele huku sijui nini kimempata dogo. Akawa anaulizwa anaweweseka huku akisema kuna mwarabu mzee amekuja akakaa kitandani anataka.....hasemi anaogopa.
Pole sana,ila Mungu ni mwema ulivukaTamu lakini ina machungu yake ambayo nimeyapitia. Ilikuwa kidogo nidisco 2nd year Ila ni kudra za Mungu tu alinivusha.
Kwani hii ID sio feki hahahaaaYaaani...Pesa bhana...watu wanakufa Kama kuku wa mdondo...alafu mnawapekua wakati hamkutakiwa kuwashika Kwasababu ya Ugonjwa.
Duuuuh
Mimi namikasa Yangu yamaisha Yangu natamani kuhadithia....siku ntakuja na ID Feki
Sio sanaKwani hii ID sio feki hahahaaa
hahahaahahahahahahahaah nimecheka karibu nikate moto aisee..Mama na mzee wakasema ameota huyu rudini mkalale. Baada ya kukazimishwa na kuingia room tukapanda kitandani yaani nilikuwa mpaka nausikia moyo wa mdogo wangu ulivyokuwa ukimdunda huku akitetemeka nami nikajawa na hofu kuwa hapa Kuna kitu na si ndoto kama wazazi walivyosema. Dakika kumi nyingi, nikashangaa gafra mdogo wangu kaniruka kuja mwisho wa kitanda ukutani. Ile kuangalia tunapopandia kwenye kitanda kwa macho yangu tena kukiwa na giza nikamwona mtu amevaa kanzu nyeupe akiwa na mandevu kibao akifunua neti like naye apande kitandani...
Aisee kelele nilizopiga hazikuwa na mfano
Nini hasa kikichokuchekesha hapo wakati wenzako tulikuwa kwenye hofu kuu?hahahaahahahahahahahaah nimecheka karibu nikate moto aisee..
Ni kweli mkuu, hii ishu baadae ilinipelekea niokoke na kumjua Mungu ipasavyo, kutokana na maswahibu ya PETE YA DHAHABU. Naichukia dhahabu mpaka leo, na hata nikioa sitataka kuvaa pete ya ndoa ya dhahabu coz it will be reflecting what I went through by that gold ring.Pole sana,ila Mungu ni mwema ulivuka
We jamaa nadhani you're still narrow minded person. Wenzako tunasimulia ishu ambazo zimetusumbua kipindi fulani maishani ili mjifunze we unaleta kilichoujaza moyo wako! Kwani sijasema huko juu yule mzee mwenye ndevu (jini alikuwa anataka nini?)Alikua anataka .... Tigo ?
hahahahahahaa et anafunua neti na yeye aingie sasa nmevuta picha jamaa alivyokuwa anapanda na ndevu zake....majini wana mikwara sana..Nini hasa kikichokuchekesha hapo wakati wenzako tulikuwa kwenye hofu kuu?
Mechi ya Taifa Stars Vs Tunisia imenishika. Naimani tutamaliza, just keep waiting sweetheartSawa basi malizia hapa,
Ila siku ukiwa na muda uanzishe uzi kabisa ili uelezee matukio yote kwa urefu bila kufupisha...
Natumai utaimaliza leo mapema sana hata hivyo mzee wa mweku mweku hana dalili ya kutokea hapa leo, maana mpaka sasa hajaonekana japo kutusalimu tu