Background Check
JF-Expert Member
- Jun 28, 2019
- 341
- 498
Habari wakuu!,
Ni muda sasa umepita tangu nipotee katika majukwaa mbalimbali hapa JF.
18 June 1994, Usiku wa manane, wanafunzi katika shule ya wasichana ya Shauritanga wakiwa wamelala, moto mkubwa ulizuka. Mabinti wale walipiga kelele za kuomba msaada kutoka kwa walinzi hawakufanikiwa hadi wakafa wakiwa wamejikusanya sehemu ya mlango uliokuwa umefungwa na walinzi kwa nje.
Viongozi wa Serikali walikimbia haraka sana, wakatoa kauli nzito za kulaani kilichoonekana kuwa kama hujuma na wakaahidi kwamba tukio hilo halitajirudia tena. Kinachosikitisha ni kwamba miaka 22 baadaye, bado shule zinateketea kwa sababu huenda zinazofanana na tukio la Shauritanga.
Leo nimerudi nina swali ama niseme ninahitaji kufahamu kuhusu kuungua kwa shule ya Shauritanga 18 June 1994, mkoani Kilimanjaro.
Kama kuna mtu yoyote ambaye anamelezo ya kina kuhusu tukio hili, ninaomba anijuze ninahitaji kufahamu mengi kuhusu tukio hili.
Ilikuwaje, chanzo cha moto, walinzi walikuwa wapi kufungua ili wanafunzi watoke.
Lakini pia baada ya uchunguzi uchunguzi ulikuja na majibu gani/Findings kuhusu moto huo
Kesi yake ilifungwaje na ilikuwa ni kesi ya uchunguzi namba ngapi?
I want to know.
Asanteni sana.
Machepele Tanzania.
18 June 1994, Usiku wa manane, wanafunzi katika shule ya wasichana ya Shauritanga wakiwa wamelala, moto mkubwa ulizuka. Mabinti wale walipiga kelele za kuomba msaada kutoka kwa walinzi hawakufanikiwa hadi wakafa wakiwa wamejikusanya sehemu ya mlango uliokuwa umefungwa na walinzi kwa nje.
Viongozi wa Serikali walikimbia haraka sana, wakatoa kauli nzito za kulaani kilichoonekana kuwa kama hujuma na wakaahidi kwamba tukio hilo halitajirudia tena. Kinachosikitisha ni kwamba miaka 22 baadaye, bado shule zinateketea kwa sababu huenda zinazofanana na tukio la Shauritanga.
Leo nimerudi nina swali ama niseme ninahitaji kufahamu kuhusu kuungua kwa shule ya Shauritanga 18 June 1994, mkoani Kilimanjaro.
Kama kuna mtu yoyote ambaye anamelezo ya kina kuhusu tukio hili, ninaomba anijuze ninahitaji kufahamu mengi kuhusu tukio hili.
Ilikuwaje, chanzo cha moto, walinzi walikuwa wapi kufungua ili wanafunzi watoke.
Lakini pia baada ya uchunguzi uchunguzi ulikuja na majibu gani/Findings kuhusu moto huo
Kesi yake ilifungwaje na ilikuwa ni kesi ya uchunguzi namba ngapi?
I want to know.
Asanteni sana.
Machepele Tanzania.