Background Check
JF-Expert Member
- Jun 28, 2019
- 341
- 498
- Thread starter
-
- #21
Ni hiyo hiyo ya Rombo MkuuShauri tanga si ni mixture au ? Si ipo mashati rombo
Maana nilisomaga tution pale kuna kaburi lina ukuta wa simenti wameandika majina sema ilo sikuliona
Sasa sijajua ni hihihii au ziko mbili
Mkuu hii shule ni mchanganyiko sio wasichana tu!!!?labda useme bweni la wasichanaHabari wakuu!,
Ni muda sasa umepita tangu nipotee katika majukwaa mbalimbali hapa JF.
18 June 1994, Usiku wa manane, wanafunzi katika shule ya wasichana ya Shauritanga wakiwa wamelala, moto mkubwa ulizuka. Mabinti wale walipiga kelele za kuomba msaada kutoka kwa walinzi hawakufanikiwa hadi wakafa wakiwa wamejikusanya sehemu ya mlango uliokuwa umefungwa na walinzi kwa nje.
Viongozi wa Serikali walikimbia haraka sana, wakatoa kauli nzito za kulaani kilichoonekana kuwa kama hujuma na wakaahidi kwamba tukio hilo halitajirudia tena. Kinachosikitisha ni kwamba miaka 22 baadaye, bado shule zinateketea kwa sababu huenda zinazofanana na tukio la Shauritanga.
Leo nimerudi nina swali ama niseme ninahitaji kufahamu kuhusu kuungua kwa shule ya Shauritanga 18 June 1994, mkoani Kilimanjaro.
Kama kuna mtu yoyote ambaye anamelezo ya kina kuhusu tukio hili, ninaomba anijuze ninahitaji kufahamu mengi kuhusu tukio hili.
Ilikuwaje, chanzo cha moto, walinzi walikuwa wapi kufungua ili wanafunzi watoke.
Lakini pia baada ya uchunguzi uchunguzi ulikuja na majibu gani/Findings kuhusu moto huo
Kesi yake ilifungwaje na ilikuwa ni kesi ya uchunguzi namba ngapi?
I want to know.
Asanteni sana.
Machepele Tanzania.
View attachment 2143146
mwanzo ilikuwa ni wasichana tuuMkuu hii shule ni mchanganyiko sio wasichana tu!!!?labda useme bweni la wasichana
Nakumbuka ilikuwa ni wakati wa likizo.waliofariki ni kidato cha pili na cha nne waliokuwa wamesalia shuleni..Jina namba 33 ni marehemu wetu.
Umenikumbusha mbali sana mkuu maama siku ya mazishi nilikuwepo. Tulianza kutembelea bwenini sehemu walipofia na kisha mazishi. Hii siku ilikuwa ngumu sana yaani msiba mkubwa kama ule ila Rais hakuhudhuria, palikuwa na maelfu ya waombolezaji toka sehemu mbalimbaliHabari wakuu!,
Ni muda sasa umepita tangu nipotee katika majukwaa mbalimbali hapa JF.
18 June 1994, Usiku wa manane, wanafunzi katika shule ya wasichana ya Shauritanga wakiwa wamelala, moto mkubwa ulizuka. Mabinti wale walipiga kelele za kuomba msaada kutoka kwa walinzi hawakufanikiwa hadi wakafa wakiwa wamejikusanya sehemu ya mlango uliokuwa umefungwa na walinzi kwa nje.
Viongozi wa Serikali walikimbia haraka sana, wakatoa kauli nzito za kulaani kilichoonekana kuwa kama hujuma na wakaahidi kwamba tukio hilo halitajirudia tena. Kinachosikitisha ni kwamba miaka 22 baadaye, bado shule zinateketea kwa sababu huenda zinazofanana na tukio la Shauritanga.
Leo nimerudi nina swali ama niseme ninahitaji kufahamu kuhusu kuungua kwa shule ya Shauritanga 18 June 1994, mkoani Kilimanjaro.
Kama kuna mtu yoyote ambaye anamelezo ya kina kuhusu tukio hili, ninaomba anijuze ninahitaji kufahamu mengi kuhusu tukio hili.
Ilikuwaje, chanzo cha moto, walinzi walikuwa wapi kufungua ili wanafunzi watoke.
Lakini pia baada ya uchunguzi uchunguzi ulikuja na majibu gani/Findings kuhusu moto huo
Kesi yake ilifungwaje na ilikuwa ni kesi ya uchunguzi namba ngapi?
I want to know.
Asanteni sana.
Machepele Tanzania.
View attachment 2143146
Yaani UTOPOLO weweπ€ππLijadiliwe tu maana halijulikani kwa wengi sababu walikuwa bado kwenye korodani
Aisee ,umalaya ulimuokoa?Hili tukio nina ndugu yangu alikuwa form two, na alikuwa anaishi kwenye hilo bweni lililoungua, and siku ya tukio alitoroka kwenda kulala kwa mwanaume, ndo ikawa ponpona yake na shuleni hakurudi tena akaolewa na huyo jamaa.
Rais hakuhudhuria π€π€π€Umenikumbusha mbali sana mkuu maama siku ya mazishi nilikuwepo. Tulianza kutembelea bwenini sehemu walipofia na kisha mazishi. Hii siku ilikuwa ngumu sana yaani msiba mkubwa kama ule ila Rais hakuhudhuria, palikuwa na maelfu ya waombolezaji toka sehemu mbalimbali
Rais hakuhudhuria π€π€π€
oops we are run into some problems