Tukio la Kuungua Moto shule ya Shauritanga 18 June 1994

Mkuu hii shule ni mchanganyiko sio wasichana tu!!!?labda useme bweni la wasichana
 
Nakumbuka lilipotokea lilizusha hofu na taharuki kwa jamii nzima. Ilikuwa ni kipindi ambacho kulikuwa na vugu vugu la matukio mengi yakihusisha pia na maswala ya kidini ... najaribu kurejea:

*Kuchomwa kwa mabucha ya nguruwe
*Kuendelea kwa matukio kama hayo katika shule nyingine
*kupatikana kwa mabomu Mlima kilimanjaro(sijui propaganda)
Moja lilikuwa limeandikwa mistari ya biblia
"Ombeni nany mtapewa, tafteni nany...."
*milipuko ya moto mlima kilimanjaro
*vuguvugu la mihadhara ya kidini kushika kasi

Wenye kumbukumbu zaidi wanaweza leta matukio zaidi


MSRIP.. it was sad indeed
 
Umenikumbusha mbali sana mkuu maama siku ya mazishi nilikuwepo. Tulianza kutembelea bwenini sehemu walipofia na kisha mazishi. Hii siku ilikuwa ngumu sana yaani msiba mkubwa kama ule ila Rais hakuhudhuria, palikuwa na maelfu ya waombolezaji toka sehemu mbalimbali
 
Nakumbuka tulikuwa tumefunga shule tuliporudi tuliambiwa tuweke funguo za mabweni juu ya loka ili moto ukitokea mtu yeyote afungue mlango.
 
Rais hakuhudhuria πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
asee kuna watu wakongwe humu, wengine tumekuta history ya darasani na ndo tunaishadadia ila humu kuna watu wamejionea live
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…