Tukio la Kuungua Moto shule ya Shauritanga 18 June 1994

Hao walinzi wapo jela?
walinzi akili hawana wanaweza kuacha lindo na kwenda kulala
 
Hili tukio nina ndugu yangu alikuwa form two, na alikuwa anaishi kwenye hilo bweni lililoungua, and siku ya tukio alitoroka kwenda kulala kwa mwanaume, ndo ikawa ponpona yake na shuleni hakurudi tena akaolewa na huyo jamaa.

JF bhana.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hili tukio nina ndugu yangu alikuwa form two, na alikuwa anaishi kwenye hilo bweni lililoungua, and siku ya tukio alitoroka kwenda kulala kwa mwanaume, ndo ikawa ponpona yake na shuleni hakurudi tena akaolewa na huyo jamaa.
Aisee
 
Ndo maana siku kumi baadae nilizaliwa njiti walai
 
We ni mavi,Kwa ujinga wako unataka tukujibu kuwa Rais alikuwa nani mwaka 1994...hivi ni kweli una akili mdogo Kwa kiwango hikiπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Jf sijui inaelekea wapi!
Tungekuwa tunazungumzzia Rais wa Sierra Leone Sawa!
umekuwa magu 😏 haya peleka mavi yako hayo nyumbani kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…