Tukio la Lissu: Dhana 3 za msingi ambazo zinatokana na ‘mchujo’ wa dhana mbalimbali

matokeo yanapo kuwa tofauti na matarajio nq hakuna namna ya kubadili mchungaji lazima apakwe damu ya kondoo kuuziwa kesi ya kondoo aliyeraruriwa ukizingatia kondoo hakuwa kipenzi cha mchungaji!! DEEP STATE aka wenye nchi yao
 
Viongozi wa Chadema walitoa tahadhari mapema wakidai kuna mtu aliomba kumuua Tundu Lissu kwa kuandika katika ukurasa wake wa Facebook. Hili ombi kwenye mtandao wa facebook lilitokana na tuhuma nzito toka serikalini kupitia viongozi mbalimbali kuwaaminisha wananchi kuwa Mh. Tundu Lissu ni ''adui wa taifa'', siyo mzalendo, kikaragosi wa mabepari, anahujumu juhudi za viongozi n.k

Source: BongoStars
 
Published on 8 Sep 2017
IGP Sirro kaongelea ishu ya Tundu Lissu kupigwa risasi
Kamanda wa Polisi Tanzania IGP Simon Sirro amekutana na wanahabari kuzungumzia ishu za usalama likiwepo tukio la kushambuliwa Mbunge Tundu Lissu.

 
Those who kill for partisan ends cannot be patriots
Patriotism and nationalism are two different concepts. We must not confuse the two. It is not unpatriotic to oppose the government when it is behaving dishonestly, foolishly or viciously.

The State and Institutions including courts should not test patriotism. Our patriotism is tested on a daily basis by our activities in the way we live and the way we deal with each other. A soldier’s patriotism is tested when he is confronted with the enemy and is willing to risk his life to save the identity of which he is an integral part.

The patriotism of a lawyer is tested when he is, despite opposition, prepared to protect the victims of injustice. A doctor will emotively demonstrate his patriotism when he goes out of the way to save lives though in the process he might endanger his own. A patriotic businessman will not participate in transactions that are dishonest and adversely impact the economic interests of his country. Smugglers, terrorists and perpetrators of violence who kill for partisan ends cannot be patriots.
By Kapil Sibal is a former human resource development minister

Source: Those who kill for partisan ends cannot be patriots
 
You are so smart, kwani wengine wanaandika tu kwa hisia.

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
Nilileta mada yenye msingi huu ikatiwa kapuni ....I wish ningekuwa ni maarufu kule twitter ili mada yangu iletwe JF.

By the way nimeshangazwa na ukimya wa EL kuhusiana na tukio hili.
Kuna namna ya kutoa habari na kuongea kwenye matukio kama haya na sio kila mmoja kuropoka! Unapoona pilau tamu mezani kwenye sherehe kuna waliovuja jasho ambao hawatajwi
Kitakuwa kituko cha karne na naweza kusema kitakachoingia kwenye Guinness book of records kutaka kuinasua mamlaka kubwa na hii death plot kisha kuwasingizia watu kana EL au wazungu (kama mlivyokwisha fanya) au mawakili na wanasheria wenzake walio kwenye tofauti za kutengenezwa

Jr[emoji769]
 
Ubaya ni kumpoteza muhusika kwa kuhisia vibaya
 
Nilileta mada yenye msingi huu ikatiwa kapuni ....I wish ningekuwa ni maarufu kule twitter ili mada yangu iletwe JF.

By the way nimeshangazwa na ukimya wa EL kuhusiana na tukio hili.
Sidhani kama inaweza kufikia hata robo ya kiwango cha huu uchambuzi!
 
Katika mazingira ambayo rais wa nchi ameonyesha chuki za wazi na kutoa kauli za kutisha hadharani linapotokea tukio kama la Lisu serikali inabeba <90% ya uhusika
Namshangaa tena sana mtu anyedai kwamba serikali si mtuhumiwa kwa kigezo kuwa Ripoti, ambayo ina faida zote kwao, wasingeweza kuichanganya na tukio hili la Lissu!!!
Ni rahisi tu, ikiwa matukio yafanyika pamoja kwa kutumia wa pande mbili kinzani, ni rahisi upande mmoja kuonekana hauhusiki so far events occurred simultaneously!!! Japo upande mmoja unaweza ukawa ulijigawa kufanikisha mishe!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wananchi mlio wengi hamuwezi kuelewa kilichotokea na kinachoendelea kutokea......ila wenye nchi wanajua kila kitu! Ila Mimi nawahakikishia kwa 100% kuwa tukio la lissu lina uhusiano mkubwa sana na 2020 iwe ndani ya chama chake au nje ya chama chake..Mwenye kuelewa ataelewa na ambae hataelewa pole yake, Mwanga wa screen unaniumiza macho hivyo sitopendelea kuandika sana hapa!
 
Nimesema humu sana,si rahisi serikali ifanye shambulio la kuvuta attention namna hii 'shambulio la kelele 'na wakati Lissu ameshakuwa mikononi mwa polisi mara kibao si wangeweza hata kumpa sumu ya kummaliza taratibu kama walitaka kumuua.
mkuu je kma hizo mbinu zimeshindakana huoni all out attack ndio ilikuwa option iliobaki???

mleta hoja keshasema serkali imejenga hayo mazingira kwa mfano lisu aliwahi kuongelea hilo gari kuwa linamfuatilia je hatua gani ilixhukuliwa?? nape,bashe na zito pia walidai kitu hicho hicho je kma serkali haikuchukua hatua kwanni tusiamini hivo kuwa inahusika??
 
hakuna kitu kma hicho lowasa hagombei 2020 whether lisu akiwa hai au amekufa afterall lisu na mnyika wote ni watiifu kwa mbowe hivyo anayeweza kumzuia lowasa ni mbowe kuliko lisu ama mtu mwingine yeyote ndani ya chadema!!

suspect anayebaki ni yule wa magogoni ingawa naye haihitaji kumuua lisu ili ashinde maana kwa namna yoyote atashinda hta kwa goli la mkono maana kma 2015 CCM ilikuwa ICU ila bado waliiba sembuse sahivi???

hapa hakuna cha 2020 ila ni kujaribu tu kupunguza wakosoaji ili aonekane yupo perfect
 
Siku ya kwanza niliposikia Lisu kashambuliwa sikuwa na shaka na uhai wake,
nadharia ya 1, na ya 2 zilikuja moja kwa moja, Hongera kwa nadharia ya 3 ina mantiki sana
 
Dhana ya kwanza ina mashiko sana, udhaifu uko kwenye utekelezaji tu ikumbukwe huyu bwana ana ugonjwa wa akili hivyo kwake si rahisi kupanga na kutekeleza kwa uweledi na ikumbukwe pia tabia zake za kukurupuka pia, na msisahau ana haiba ya ukatili hajali public itamchukuliaje, kwa hiyo haitoshi dhana hii kuipinga kwa hicho ulichosema ni publicity ya tukio pekee.
 
Toka jana nimesoma maoni ya wengi ...Chahali ndiye aliyechambua hili tukio akiwa na nafsi huru ....[HASHTAG]#prayingforLissu[/HASHTAG]
nonspurious presentation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…