Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hii nchi ukiwa na akili timamu unaishi kwa tabu sana. Maana kuna mambo mengi ya kipumbavu yanafanywa na walioshika mpini ukiyaona hadi kichwa kinauma.Tarehe 9 mwezi huu Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mh. Mbowe alishambuliwa na kuvunjwa mguu na watu wasiojulikana, ni takriban siku 3 tu tayari polisi wamefanya uchunguzi na kuja na matokeo.
Lissu alishambuliwa tarehe11/9/2017 hadi leo karibu miaka mitatu 3, polisi wanadai wameshindwa kuendelea na upelelezi kwa vile hawajamhoji Lissu na dereva wake.
Kama wameweza kwa Mbowe bila kumhoji inashindikana nini kuendelea na upelelezi tukio la kushambuliwa Lissu hadi wamsubiri yeye na dereva wake.
Vilaza wana enjoy sana maisha