Tukio la Mtanzania kufariki Ethiopia: Kama kungekuwa na ubalozi wa Zanzibar huko labda ingesaidia

Tukio la Mtanzania kufariki Ethiopia: Kama kungekuwa na ubalozi wa Zanzibar huko labda ingesaidia

Marekani karibu kila mwezi naona michango ya rambirambi watu wanachangishana kurudisha maiti nyumbani.

Ku process maiti funeral home tu kabla ya gharama za ndege ni kati ya $1000 na $3,000. Hapo hujaingia gharama za kusafirisha mwili ambazo almost always ni zaidi ya $10,000. Hapo ndipo unepata the lowest deal.Ukija ku add kika kitu tunaongelea around $20,000 hapo.

Wabongo nao kila siku wanaambiwa wanunue life insurance wabishi.

Marekani ukiwa unaishi unaweza kununua life insurance ya mpaka $500,000 kwa kiasi kidogo tu. Ukifa familia yako inaliowa wanakuwa hawana sababu ya kuhangaika.

Yani kama watu kutoa rambirambi inakuwa kiutamaduni tu, si kwa sababu familia inahitaji nauli ya kurudisha mwili na imewapa watu target ya kuifikia.

Tujianae kwa haya mambo, tuache kutegemea serikali na michango ya rambirambi.
Ok
 
Wacha uongo. Sema ulikuwa na shida gani ukashindwa kusaidiwa? Sio kila shida lazima Ubalozi utoe msaada. Vile vile hakuna fungu la misaada kama unavyofikiria. Kila issue itaangaliwa kwa mapana yake kama nchi inaweza kulitatua au la, na hii sio kwa Tanzania tu. Serikali zote ulimwenguni hufanya hivyo.

Then tunarudi kwenye basics, tiketi za ndege popote pale unaulizwa kama unataka kukata bima tuwe wepesi wa kuchukua hizi bima kila tunaposafiri, sio kifo tu hata dharura zingine. Cost ya hii Bima ni ndogo sana.
Haya ushauri wa bure huo...watu wasikae kulialia tu kama watoto yatima
 
Wengi watashangazwa na na mada ya hapo juu.

Taratibu fuatilia

Tare 21/04/2021 siku ya juma tano, Dada yangu Fatma Said alifariki dunia Nchini Ethiopia akitokea Dubai kuja Zanzibar (Tanzania).
Akiwa ndani ya ndege 'Fly Dubai' aliumwa ghafla na kuilazimisha ndege hiyo kutua kwa dharura nchini Ethiopia ikiwa nio kiwanja cha karibu kwa walipokuwa.

Tukio hili la kumshusha pale ni sehemu ya taibu za ndege inapotiokea dharura. Mgonwa alipelekwa Hospitali na Kufarikiduni muda mchache baada ya kufika hospitali.

Yamkini serikali ya Ethiopia iliarifu ofisi ya Kibalozi ya TANZANIA kwa hatua stahiki.

Wana familia nao tulipopata habari tuliwasiliana na Balozi ili kujua hatua gani zifanywe ili Mwili wa marehemu urejeshwe Nyumbani kwa mazishi. Balozi wa Tanzania alianza kutudanganya na kutupiga danadana eti akidai kuwa hana FUND za kugharamia matukio ya aina hii.

Hatimae ilitubidi wanafamilia tulipishwe Gharama za Hospitali, Kusafirisha mwili na kila kilichohusu kusafirishwa kwa mwili husika.

Mwili ulifika jana tarehe 27/04/2021 kwa ndege ya Cargo ya Ethiopia Air Line.

Nilianza kujiuliza NINI FAIDA YA KUWA NA BALOZI NCHINI ETHIOPIA? Lakini mara nikakumbuka kuwa kama Zanzibar ingelikuwa na Ubalozi wake kule tungelipata matokeo tofauti?

Ilishawahi kutokea wanafunzi wa Tanzania walioko nje nchi fulani(siitaji) walipungukiwa na Masurufu ya matumizi, Wale wa Zanzibar wakatumiwa na SMZ fedha za kujikimu na wale wa Bara wakalazimika kurudi au familia zao kutuma fedha.

Nimeyasema haya nikiwa na Uchungu mkubwa wa kuona kuwa MUUNGANO WETU umekuwa kikwazo kwa raia wa Zanzibar .HILI NALO NI MOJA YA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO kwenye mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. We are not treted equaly.

Namuoba Waziri wa mambo ya nje Ahusike na tukio hili la Ethiopia kwani Ubalozi wa TZ haukusaidia lolote kifedha katika jambo hi la Marehemu.

Isije ikatumwa Invoice ya kuonesha kuwa Ubalozi ulitumia fedha,itakuwa ni Upigaji wa fedha za serikali.

Nawakilisha.
Nadhan mleta uzi hujielewi..suala la balozi ni suala muungano..na mule katika ubalozi wapp wazanzibari pia..kwann hawakufanya kama unavyotaka..halafu unasingizia ungekua ubalozi wa mzanzibari..wakati wazanzibari wamo kwenye balozi zetu pia.umevurugwa.. ungekuja kusaidia kukusanya Kodi ili huduma za kijamii zipanuliwe kama hizo ningekuona wa maana sana..lakini maadam hujitambui..basi tena
Bangosha..
 
Wengi watashangazwa na na mada ya hapo juu.

Taratibu fuatilia

Tare 21/04/2021 siku ya juma tano, Dada yangu Fatma Said alifariki dunia Nchini Ethiopia akitokea Dubai kuja Zanzibar (Tanzania).
Akiwa ndani ya ndege 'Fly Dubai' aliumwa ghafla na kuilazimisha ndege hiyo kutua kwa dharura nchini Ethiopia ikiwa nio kiwanja cha karibu kwa walipokuwa.

Tukio hili la kumshusha pale ni sehemu ya taibu za ndege inapotiokea dharura. Mgonwa alipelekwa Hospitali na Kufarikiduni muda mchache baada ya kufika hospitali.

Yamkini serikali ya Ethiopia iliarifu ofisi ya Kibalozi ya TANZANIA kwa hatua stahiki.

Wana familia nao tulipopata habari tuliwasiliana na Balozi ili kujua hatua gani zifanywe ili Mwili wa marehemu urejeshwe Nyumbani kwa mazishi. Balozi wa Tanzania alianza kutudanganya na kutupiga danadana eti akidai kuwa hana FUND za kugharamia matukio ya aina hii.

Hatimae ilitubidi wanafamilia tulipishwe Gharama za Hospitali, Kusafirisha mwili na kila kilichohusu kusafirishwa kwa mwili husika.

Mwili ulifika jana tarehe 27/04/2021 kwa ndege ya Cargo ya Ethiopia Air Line.

Nilianza kujiuliza NINI FAIDA YA KUWA NA BALOZI NCHINI ETHIOPIA? Lakini mara nikakumbuka kuwa kama Zanzibar ingelikuwa na Ubalozi wake kule tungelipata matokeo tofauti?

Ilishawahi kutokea wanafunzi wa Tanzania walioko nje nchi fulani(siitaji) walipungukiwa na Masurufu ya matumizi, Wale wa Zanzibar wakatumiwa na SMZ fedha za kujikimu na wale wa Bara wakalazimika kurudi au familia zao kutuma fedha.

Nimeyasema haya nikiwa na Uchungu mkubwa wa kuona kuwa MUUNGANO WETU umekuwa kikwazo kwa raia wa Zanzibar .HILI NALO NI MOJA YA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO kwenye mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. We are not treted equaly.

Namuoba Waziri wa mambo ya nje Ahusike na tukio hili la Ethiopia kwani Ubalozi wa TZ haukusaidia lolote kifedha katika jambo hi la Marehemu.

Isije ikatumwa Invoice ya kuonesha kuwa Ubalozi ulitumia fedha,itakuwa ni Upigaji wa fedha za serikali.

Nawakilisha.
Nadhan mleta uzi hujielewi..suala la balozi ni suala muungano..na mule katika ubalozi wapp wazanzibari pia..kwann hawakufanya kama unavyotaka..halafu unasingizia ungekua ubalozi wa mzanzibari..wakati wazanzibari wamo kwenye balozi zetu pia.umevurugwa.. ungekuja kusaidia kukusanya Kodi ili huduma za kijamii zipanuliwe kama hizo ningekuona wa maana sana..lakini maadam hujitambui..basi tena
Bangosha..
 
Kumbe wengi humu hatujui haki zetu za kiraia.
Ndo. maana Raisi Kenyata(The Senior) aliwahi kumwambia Mwlm Nyerere ''Wewe unatawala maiti,'' Mimi natawala watu walio hai''
Usiyejua ni wewe.

Haki zako za uraia hazijumuishi kusafirishiwa maiti ya ndugu yako popote duniani. Haikupi haki kuwasemea ovyo na kuwasingizia watumishi wa umma ambao wanatekeleza majukumu yao kama taratibu zinavyowataka wafanye. Haki zako za uraia hazisemi kuwa upendelewe kwa sababu unatoka Zanzibar au Bara.

Siku nyingine ukitaka huduma katika taasisi ya umma fanya kwa staha na taadhima, kumbuka wale pia ni binadamu. Ubabe haukufikishi mbali hasa unapotafuta upendeleo na sio haki.

Amandla...
 
Ukisikia kudandia gari kwa mbele ndiko huku ww unachofanya , mm nimejaribu kumpa sababu za kimfano ili mtoa uzi aone ya kwamba balozi huwa hazipo responsible ktk matukio yoyote ya dharura yakimfika raia wa nchi yake . Ningeweza kumpa mifano minginya zaman lkn nikaona nimpe huo wa ATCL ambao ni current

I misquoted you.
 
Wengi watashangazwa na na mada ya hapo juu.

Taratibu fuatilia

Tare 21/04/2021 siku ya juma tano, Dada yangu Fatma Said alifariki dunia Nchini Ethiopia akitokea Dubai kuja Zanzibar (Tanzania).
Akiwa ndani ya ndege 'Fly Dubai' aliumwa ghafla na kuilazimisha ndege hiyo kutua kwa dharura nchini Ethiopia ikiwa nio kiwanja cha karibu kwa walipokuwa.

Tukio hili la kumshusha pale ni sehemu ya taibu za ndege inapotiokea dharura. Mgonwa alipelekwa Hospitali na Kufarikiduni muda mchache baada ya kufika hospitali.

Yamkini serikali ya Ethiopia iliarifu ofisi ya Kibalozi ya TANZANIA kwa hatua stahiki.

Wana familia nao tulipopata habari tuliwasiliana na Balozi ili kujua hatua gani zifanywe ili Mwili wa marehemu urejeshwe Nyumbani kwa mazishi. Balozi wa Tanzania alianza kutudanganya na kutupiga danadana eti akidai kuwa hana FUND za kugharamia matukio ya aina hii.

Hatimae ilitubidi wanafamilia tulipishwe Gharama za Hospitali, Kusafirisha mwili na kila kilichohusu kusafirishwa kwa mwili husika.

Mwili ulifika jana tarehe 27/04/2021 kwa ndege ya Cargo ya Ethiopia Air Line.

Nilianza kujiuliza NINI FAIDA YA KUWA NA BALOZI NCHINI ETHIOPIA? Lakini mara nikakumbuka kuwa kama Zanzibar ingelikuwa na Ubalozi wake kule tungelipata matokeo tofauti?

Ilishawahi kutokea wanafunzi wa Tanzania walioko nje nchi fulani(siitaji) walipungukiwa na Masurufu ya matumizi, Wale wa Zanzibar wakatumiwa na SMZ fedha za kujikimu na wale wa Bara wakalazimika kurudi au familia zao kutuma fedha.

Nimeyasema haya nikiwa na Uchungu mkubwa wa kuona kuwa MUUNGANO WETU umekuwa kikwazo kwa raia wa Zanzibar .HILI NALO NI MOJA YA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO kwenye mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. We are not treted equaly.

Namuoba Waziri wa mambo ya nje Ahusike na tukio hili la Ethiopia kwani Ubalozi wa TZ haukusaidia lolote kifedha katika jambo hi la Marehemu.

Isije ikatumwa Invoice ya kuonesha kuwa Ubalozi ulitumia fedha,itakuwa ni Upigaji wa fedha za serikali.

Nawakilisha.
Pole sana wafiwa
 
Huyu Mtanzania alikuwa safarini peke yake, Ethiopia haikuwa destination yake , alishushwa kwa dharura ya kuumwa ghafla na umauti ukamfika huko.Sisi hatuna familia wala jamaa kule.
Kama balozi yupo ,unadhani nanai awajibike kutowa msaada?
kama hawalipi gharama zote , hata kuchangia sehemu ya Gharama ubalozi hauwezi ?
Angekuwa ndugu wa kiongozi angeshughulikiwa fasta kwa kuwa ni kajambanani wamempotezea mbaya sana hii
 
Hela ya dharula unafikiri ubalozi mmoja unaweza kuhitaji kiasi gani kwa mwaka?

Unaelewa hiyo hela ya dharula inatokana na kodi ya wananchi na imepangiwa mambo mengi sana?

Unaelewa kwamba hizo balozi tayari zina madeni ya kulipa kodi za nyumba na mishahara ya watu?

Kwa nini Watanzania wengi tunapenda kuivika serikali mzigo wa matatizo yetu wenyewe?

Unajua GDP per capita ya Mtanzania mmoja wa kawaida kwa wastani ni kiasi gani na gharama za kusafirisha maiti ni kiasi gani?
Kiranga usiongee sana hao wahuni wananunua gari moja million mia nne kwa nini wasiweze kusaidia watu wengine pia hiyo kila kukicha ujambazi wa kutosha tunasikia kupitia CAG na pia kwa Nchi wanazojali raia wao hawagawawi fungu kila ubarozi zinakuwepo baadhi tuu hayo mambo wanafanya Botswana, Namibia na SA
 
Asikwambie mtu wazanzibar wana hutu sana ,ukiona mzanzibar ana roho mbaya basi huyo mzanzibar wa magomeni au ilala.

Wabara wana umimi sana ,sasa serikali inashindwa vipi kugharamikia tukio kama hilo? JMT hawana funds za dharura?

Kwanini hujauliza kwanini dada asingekata bima ya dharula kabla ya safari.
 
Mkuu unashangaza sana umelalamika kisha umeonyesha jinsi ubalozi wa Tanzania usivyowajibika kwa wote sio tu wazenji hata wa bara mfano wako hapo kwa wanafunzi. Sasa si mngeenda ofisi husika huko zenji mlalamike labda wangewasaidia badala ya kusema mnaonewa.
 
Kiranga usiongee sana hao wahuni wananunua gari moja million mia nne kwa nini wasiweze kusaidia watu wengine pia hiyo kila kukicha ujambazi wa kutosha tunasikia kupitia CAG na pia kwa Nchi wanazojali raia wao hawagawawi fungu kila ubarozi zinakuwepo baadhi tuu hayo mambo wanafanya Botswana, Namibia na SA
Tunaweza kuwawajibisha viongozi watumie fedha za umma kwa umakini zaidi ili kuimarisha uchumi na wakati huo huo wananchi wakaacha tabia ya kupenda kusaidiwa na serikali kila kitu.

These two things are not mutually exclusive.

Tujenge utamaduni wa kujitegemea wenyewe, tuache kutegemea serikali kila kitu.

Hilo ni jambo la aibu.

Nitamuunga mkono mtu atakayeishutumu serikali kwa kufanya uchumi udorore mpaka watu wanashindwa kurudisha miili ya ndugu zao.

Hapo ilitakiwa kikao cha familia cha watu wachache tu kikae, kichange rambirambi, kifanye kazi ya kurudisha mwili. Ubalozi sanasana ungesaidia coordinatio na kufuatilia mambo huko nje tu.

Lakini kuubebesha ubalozi gharama ni ubinafsi wa hali ya juu, kuna watu wengi wanakufa nje, balozi zetu hazina bajeti za kurudisha hizi maiti.
 
Mimi nisamehewe bure.

Ila sionagi umuhimu wa kusafirisha maiti sehemu moja kwenda nyingine, haina mantiki (kwangu mimi) ni kuongeza gharama kwa jambo lisilo na tija.

Unakuta mtu wakati anaumwa huoni michango au juhudi za kuchangia pesa nyingi huyu ili mtu apate matibabu bora apone, ila akifa sasa mapesa mengi huchangwa sijui kusafirisha sijui kuweka mashughuli, baada ya mazishi familia inaendelea na msoto.

Ukifia england zikwa hukohuko
Ukifia masasi kwenu upareni zikwa hukohuko

Hata ukizikwa kwenu hamna faida yoyote itapatikana kwa kuzikwa kwako nyumbani kwako.
 
General wa jeshi ni Mtumishi wa Umma Serikali inapaswa kugharamia mazishi yake, Mke wake na Watoto wa 4.
Mwanzoni walisema hakutoa taarifa ubalozini hata angekua nani baadae wakaja kuomba msamaha na iliwaletea sana shida na hata uhusiano na Wananchi ulipotea kiasi fulani...
 
Mkuu sina figure kwa maana ya namba halisi ila kama nyinyi huko mnamanage kuchanga na kusafirisha why serikali ishindwe wakati ina sources nyingi sana za mapato na kuna fedha hadi zinarudhishwa hazina kwa kukosa matumizi?

Ukiangalia hayo matukio yanatokea lakini si kwa kiwango cha serikali yetu kushindwa kuhandle,labda balozi zetu zingejitahidi kutoa elimu kwa waTZ wanaoishi nje ambao wamefuata process wawe wanachangishana monthly basis kwa ajili ya issue kama hizo na just incase wakipungukiwa basi ubalozi uwashike mkono.

Mkuu King Kong III kwanini unadhani serikali ina wajibu wa kusafirisha watu wa nje na kuacha raia wa ndani wapambane na hali zao?

Unadhani mtu wa Kigoma akifia Iringa serikali inabidi imsafirishe? Basically it's the same thing. Vinginevyo unaunda mazingira ya kufanya raia waliopo nje ya nchi waonekane ni tabaka la juu kuliko walio ndani.

Aidha kuna life insurance zinacover haya mambo, kuna bima za dharulu wakati mtu unakata ticket unaweza ongeza tena kwa gharama ndogo tu kwanini tusimlaumu marehemu kwa kutokata hizo bima. As cold as it sounds, ni kwaajili ya kueleweshana.
 
Mkuu sina figure kwa maana ya namba halisi ila kama nyinyi huko mnamanage kuchanga na kusafirisha why serikali ishindwe wakati ina sources nyingi sana za mapato na kuna fedha hadi zinarudhishwa hazina kwa kukosa matumizi?

Ukiangalia hayo matukio yanatokea lakini si kwa kiwango cha serikali yetu kushindwa kuhandle,labda balozi zetu zingejitahidi kutoa elimu kwa waTZ wanaoishi nje ambao wamefuata process wawe wanachangishana monthly basis kwa ajili ya issue kama hizo na just incase wakipungukiwa basi ubalozi uwashike mkono.
Matumizi ya fedha serikalini yanaendana na mafungu ( votes) ambayo ndio yanaongoza matumizi yake. Kama serikali haina Vote inayohusu kusafirisha marehemu nyumbani, Accounting Officer hawezi kuamuru fedha zilizopo kwenye fungu la kulipia mafuta zitumike kumsafirisha marehemu. Hiyo itakuwa ni kujitafutia audit querry na maswali kwa nini huyu na sio yule. Njia sahihi ni kuwasukumiza wabunge wetu wailazimishe serikali waone umuhimu wa hili ili fedha ziwe zinatengwa kwa ajili yake kwenye budget ya serikali na liundwe fungu mahsusi kwa ajili yake.

Ukweli ni kuwa watanzania ni wabishi. Kuna mifuko ya jamii inatoa huduma hii kwa wale wanaochangia lakini huwa hatuoni umuhimu mpaka yanapo tukuta. Njia nyingine ni tukubali kuzikwa pale ambapo umauti unapotukuta.

Amandla...
 
Tunaweza kuwawajibisha viongozi watumie fedha za umma kwa umakini zaidi ili kuimarisha uchumi na wakati huo huo wananchi wakaacha tabia ya kupenda kusaidiwa na serikali kila kitu.

These two things are not mutually exclusive.

Tujenge utamaduni wa kujitegemea wenyewe, tuache kutegemea serikali kila kitu.

Hilo ni jambo la aibu.

Nitamuunga mkono mtu atakayeishutumu serikali kwa kufanya uchumi udorore mpaka watu wanashindwa kurudisha miili ya ndugu zao.

Hapo ilitakiwa kikao cha familia cha watu wachache tu kikae, kichange rambirambi, kifanye kazi ya kurudisha mwili. Ubalozi sanasana ungesaidia coordinatio na kufuatilia mambo huko nje tu.

Lakini kuubebesha ubalozi gharama ni ubinafsi wa hali ya juu, kuna watu wengi wanakufa nje, balozi zetu hazina bajeti za kurudisha hizi maiti.
Sijazungumzia watu wote warudishwe kama unavyozungumza wewe Nchi inayojali raia wao naona kabisa hata wanapozungumzia maendeleo yanaonekana kama hujali raia wako utaendelea kuwa hapo hapo tuu wapo wengine wenye uwezo wanajigharamia wenyewe ni vile tupo katika Nchi ambazo ufisadi umechukua nafasi kubwa sana nakumbuka huko ubalozini kuna dili za kifisadi sana sijui ile kesi ya ukarabati na ununuzi wa ubalozi wa Tanzania huko iliishaje...
 
Back
Top Bottom