Tukio la Mtanzania kufariki Ethiopia: Kama kungekuwa na ubalozi wa Zanzibar huko labda ingesaidia

Tukio la Mtanzania kufariki Ethiopia: Kama kungekuwa na ubalozi wa Zanzibar huko labda ingesaidia

Wengi watashangazwa na na mada ya hapo juu.

Taratibu fuatilia

Tare 21/04/2021 siku ya juma tano, Dada yangu Fatma Said alifariki dunia Nchini Ethiopia akitokea Dubai kuja Zanzibar (Tanzania).
Akiwa ndani ya ndege 'Fly Dubai' aliumwa ghafla na kuilazimisha ndege hiyo kutua kwa dharura nchini Ethiopia ikiwa nio kiwanja cha karibu kwa walipokuwa.

Tukio hili la kumshusha pale ni sehemu ya taibu za ndege inapotiokea dharura. Mgonwa alipelekwa Hospitali na Kufarikiduni muda mchache baada ya kufika hospitali.

Yamkini serikali ya Ethiopia iliarifu ofisi ya Kibalozi ya TANZANIA kwa hatua stahiki.

Wana familia nao tulipopata habari tuliwasiliana na Balozi ili kujua hatua gani zifanywe ili Mwili wa marehemu urejeshwe Nyumbani kwa mazishi. Balozi wa Tanzania alianza kutudanganya na kutupiga danadana eti akidai kuwa hana FUND za kugharamia matukio ya aina hii.

Hatimae ilitubidi wanafamilia tulipishwe Gharama za Hospitali, Kusafirisha mwili na kila kilichohusu kusafirishwa kwa mwili husika.

Mwili ulifika jana tarehe 27/04/2021 kwa ndege ya Cargo ya Ethiopia Air Line.

Nilianza kujiuliza NINI FAIDA YA KUWA NA BALOZI NCHINI ETHIOPIA? Lakini mara nikakumbuka kuwa kama Zanzibar ingelikuwa na Ubalozi wake kule tungelipata matokeo tofauti?

Ilishawahi kutokea wanafunzi wa Tanzania walioko nje nchi fulani(siitaji) walipungukiwa na Masurufu ya matumizi, Wale wa Zanzibar wakatumiwa na SMZ fedha za kujikimu na wale wa Bara wakalazimika kurudi au familia zao kutuma fedha.

Nimeyasema haya nikiwa na Uchungu mkubwa wa kuona kuwa MUUNGANO WETU umekuwa kikwazo kwa raia wa Zanzibar .HILI NALO NI MOJA YA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO kwenye mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. We are not treted equaly.

Namuoba Waziri wa mambo ya nje Ahusike na tukio hili la Ethiopia kwani Ubalozi wa TZ haukusaidia lolote kifedha katika jambo hi la Marehemu.

Isije ikatumwa Invoice ya kuonesha kuwa Ubalozi ulitumia fedha,itakuwa ni Upigaji wa fedha za serikali.

Nawakilisha.
Unalalamika nini? Tanzania inaongozwa na Mzanzibari, malalamiko ya nini?
 
Mwaka jana Nchiya Oman Illeta Ndege Kuchukua raia wake wote waliokwama kwa sababu ya Corona na kuwarudisha Oman Free of charge.
Hii ndio kujali kwa nchi na raia wake.
Mbona hata sisi tulituma dreamliner India. Umesahau?
 
Bora umesema Mkuu kuhusu Balozi Mapuri kuwa ni Mzanzibar maana kuna member katishia bora kuuvunja Muungano
pili nampa pole sana @batawi kwa kufiwa na dada yake mpendwa, wawe na uvumilivu kwa sasa Mama Samia kashikilia mpini na atarekebisha kero za Muungano
Mapuri ni mzanzibar na alishika vyeo mbalimbali ikiwemo uwaziri, haijawahi hata siku moja ubalozi ukagharamia kusafirisha maiti ya mtanzania aliyefariki nje ya nchi kwa sababu hawana bajeti hiyo.
Mtu yeyote anapokuwa nje ya nchi anapaswa kuripoti kwa balozi husika, tatizo jingine ubalozi umefanywa kijiwe cha wastaafu wengi hawajui wajibu wao ni nini
 
Mkuu insurance yeyote ambayo unaweka kwenye ticket ya ndege ni add-on yani additional cost. Mtu una uamuzi wa kuongeza bima kwenye ticket au lah.

Tukiuliza kwanini mwendazake hakuwajibika kwa kuongeza insurance kwenye ticket yake au kuwa na bima nchi aliyotoka tunaonekana wakora.
Hii nchi miaka 10 ijayo inafikia watu milioni 80.

Miaka 20 ijayo itaweza kufikia hata watu milioni 120. Ime double population katika miaka 20 iliyopita, inaweza ku double tena miaka 20 ijayo.

Kwa rate ya sasa ya population growth ya 3% na watu zaidi ya milioni 60.

Wengi watasafiri kutafuta maisha nje.

Bado tutataka wakifariki nje wote hawa serikali iingie gharama kuwarudisha Tanzania?
 
Kwa hiyo nami ninayeishi Sumbawanga nikifariki serikali ya mkoa inisafirishe kwenda kwetu gairo so ndio?
 
Piga hesabu tuna balozi ngapi duniani. Halafu chukulia kila maiti mnayotaka isafirishwe hardly gharama haipungui 10,000$, sijui umewaza vema au sababu umeguswa na msiba unahisi umekuwa abandoned? Think straight bruh.
 
Suala si ukoefu wa Fund , bali Nchi yetu ina Policy mbaya kwa raia wake.
Iliwahikutokea miakaya nyuma Pale Thailand , Wageni walikamatwa kutoka nchimbali mbali wakiwa hawana documents za kusafiria.
Serikali ya Thailand ikazishauri Balozi za nchi husika ziwapatie Raia wao Traveling Documents na wao watawaruhusu waishi na kufanya kazi bila kuwarudisha..
Mataifa yote yaliwapa raia wao Passport na kuwaacha wafanye kazi Thailand ,lakini TZ waliwarudisha Nyumbani bila huruma.
Balozi kule alikuwa Mapuri kama sikosei
November 14, 2006Omar Ramadhan Mapuri
Huyo mapuri ni mzanzibari, na hapa wazanzibar wanalalamika wawe na ubalozi wao. Mi nadhani issue hapa siyo masuala ya muungano bali ni balozi zibadilike namba zinavyowatreat watu wake.
 
FB_IMG_1619639813926.jpg

Wote tutakufa acha jazba Mzenji wewe
 
Wengi watashangazwa na na mada ya hapo juu.

Taratibu fuatilia

Tare 21/04/2021 siku ya juma tano, Dada yangu Fatma Said alifariki dunia Nchini Ethiopia akitokea Dubai kuja Zanzibar (Tanzania).
Akiwa ndani ya ndege 'Fly Dubai' aliumwa ghafla na kuilazimisha ndege hiyo kutua kwa dharura nchini Ethiopia ikiwa nio kiwanja cha karibu kwa walipokuwa.

Tukio hili la kumshusha pale ni sehemu ya taibu za ndege inapotiokea dharura. Mgonwa alipelekwa Hospitali na Kufarikiduni muda mchache baada ya kufika hospitali.

Yamkini serikali ya Ethiopia iliarifu ofisi ya Kibalozi ya TANZANIA kwa hatua stahiki.

Wana familia nao tulipopata habari tuliwasiliana na Balozi ili kujua hatua gani zifanywe ili Mwili wa marehemu urejeshwe Nyumbani kwa mazishi. Balozi wa Tanzania alianza kutudanganya na kutupiga danadana eti akidai kuwa hana FUND za kugharamia matukio ya aina hii.

Hatimae ilitubidi wanafamilia tulipishwe Gharama za Hospitali, Kusafirisha mwili na kila kilichohusu kusafirishwa kwa mwili husika.

Mwili ulifika jana tarehe 27/04/2021 kwa ndege ya Cargo ya Ethiopia Air Line.

Nilianza kujiuliza NINI FAIDA YA KUWA NA BALOZI NCHINI ETHIOPIA? Lakini mara nikakumbuka kuwa kama Zanzibar ingelikuwa na Ubalozi wake kule tungelipata matokeo tofauti?

Ilishawahi kutokea wanafunzi wa Tanzania walioko nje nchi fulani(siitaji) walipungukiwa na Masurufu ya matumizi, Wale wa Zanzibar wakatumiwa na SMZ fedha za kujikimu na wale wa Bara wakalazimika kurudi au familia zao kutuma fedha.

Nimeyasema haya nikiwa na Uchungu mkubwa wa kuona kuwa MUUNGANO WETU umekuwa kikwazo kwa raia wa Zanzibar .HILI NALO NI MOJA YA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO kwenye mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. We are not treted equaly.

Namuoba Waziri wa mambo ya nje Ahusike na tukio hili la Ethiopia kwani Ubalozi wa TZ haukusaidia lolote kifedha katika jambo hi la Marehemu.

Isije ikatumwa Invoice ya kuonesha kuwa Ubalozi ulitumia fedha,itakuwa ni Upigaji wa fedha za serikali.

Nawakilisha.
Upo sahihi kwa asilimia zote
Maraisi wa pande zote mbiki ni wazanzibari wenzako

Washaurini wauvunje Muungano
 
Kaka najua unachokisema ila kuna hidden insurance hata bila add on..

Nina experience ya jamaa aliitumia bila kukata akatibiwa baba yake.. wazungu wana mambo mengi yamejificha ukiyajua unafaidika...

Sikufanya mimi ila nilipewa hiyo idea...

Najua add on kama usemavyo but jamaa hakuwa na add on kuna janja alifundishwa...

Just sharing nilichowahi kusikia from my friend around Dallas
Mkuu insurance yeyote ambayo unaweka kwenye ticket ya ndege ni add-on yani additional cost. Mtu una uamuzi wa kuongeza bima kwenye ticket au lah.

Tukiuliza kwanini mwendazake hakuwajibika kwa kuongeza insurance kwenye ticket yake au kuwa na bima nchi aliyotoka tunaonekana wakora.
 
Very true...
Hata serikali ngumu kukuza uchumi binafsi kwakuwa ujamaa umetupiga..

Hivi unauliza ndugu yako nikupe mtaji kiasi gani ufanye biashara anakwambia chochote Mungu alichokujalia...[emoji16][emoji16]

Sasa Mungu alishanijalia ndio maana nakuuliza... huna hata dream ya good life? ... ndugu yangu Mungu alivyonijalia ndio haya maisha yangu.. Hapo hata serikali itasaidiaje? More than ndugu wa3 majibu ni hayo...
Haya mambo ni complex halafu huwa yanabadilika nchi kwa nchi, unaweza kwenda kwenye nchi yenye huduma za afya nzuri wakakupa urahisi wa kupata huduma.Ukaenda kwenye nchi zina huduma za afya mbaya ukakosa.

Sasa hapa mtu anaweza kuja akalaumu tu bila kufuatilia kwa ukaribu.

Inawezekana Ethiopia kuna vita huko, Ubalozi una mambo kemkem ya kufuatilia kwenye vita.

Mtu anataka ubalozi ugharamike kwa kumrudisha ndugu yao.Kwani wameshindwa kuweka kikao cha ndugu na kumchangia hela za kufidia gharama?

Mimi naweza kuilaumu serikali kwa kuwa na nchi yenye familia nyingi masikini, serikali imeshindwa kukuza uchumi.

Lakini siwezi kuulaumu ubalozi kwa kukosa bajeti ya kurudisha mwili Tanzania.
 
Mapuri ni mzanzibar na alishika vyeo mbalimbali ikiwemo uwaziri, haijawahi hata siku moja ubalozi ukagharamia kusafirisha maiti ya mtanzania aliyefariki nje ya nchi kwa sababu hawana bajeti hiyo.
Mtu yeyote anapokuwa nje ya nchi anapaswa kuripoti kwa balozi husika, tatizo jingine ubalozi umefanywa kijiwe cha wastaafu wengi hawajui wajibu wao ni nini
Kama ofisi ya mkuu wa wilaya inakosa mafungu itakuwa ubalozi???!
 
Kaka najua unachokisema ila kuna hidden insurance hata bila add on..

Nina experience ya jamaa aliitumia bila kukata akatibiwa baba yake.. wazungu wana mambo mengi yamejificha ukiyajua unafaidika...

Sikufanya mimi ila nilipewa hiyo idea...

Najua add on kama usemavyo but jamaa hakuwa na add on kuna janja alifundishwa...

Just sharing nilichowahi kusikia from my friend around Dallas

Nimekupata. Sasa haya mambo inabidi tuyajue, tuyazingatie na tuwajibike badala ya kusema mbona serikali haijanifanyia hiki au kile kila siku.
 
Very true...
Hata serikali ngumu kukuza uchumi binafsi kwakuwa ujamaa umetupiga..

Hivi unauliza ndugu yako nikupe mtaji kiasi gani ufanye biashara anakwambia chochote Mungu alichokujalia...[emoji16][emoji16]

Sasa Mungu alishanijalia ndio maana nakuuliza... huna hata dream ya good life? ... ndugu yangu Mungu alivyonijalia ndio haya maisha yangu.. Hapo hata serikali itasaidiaje? More than ndugu wa3 majibu ni hayo...
Mtu akiomba mtaji muombe business plan iliyoandikwa uisome.

Wa chochote Mungu alichonijalia mimi kwanza siamini kuwepo kwa Mungu hivyo Mungu hajanijalia kitu.
 
Nimeyasema haya nikiwa na Uchungu mkubwa wa kuona kuwa MUUNGANO WETU umekuwa kikwazo kwa raia wa Zanzibar .HILI NALO NI MOJA YA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO kwenye mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. We are not treted equaly.
Pole sana wewe una uchungu tu wa kufiwa
Haiwezekani mtu kafa kifo Cha kawaida kwenye safari zake binafsi halafu serikali ilipie,hakuna fungu hilo
Ndio maana mnatakiwa mkate bima ya safari,ili ukipata mtihani safarini bima yako italipa kila kitu
 
Wengi watashangazwa na na mada ya hapo juu.

Taratibu fuatilia

Tare 21/04/2021 siku ya juma tano, Dada yangu Fatma Said alifariki dunia Nchini Ethiopia akitokea Dubai kuja Zanzibar (Tanzania).
Akiwa ndani ya ndege 'Fly Dubai' aliumwa ghafla na kuilazimisha ndege hiyo kutua kwa dharura nchini Ethiopia ikiwa nio kiwanja cha karibu kwa walipokuwa.

Tukio hili la kumshusha pale ni sehemu ya taibu za ndege inapotiokea dharura. Mgonwa alipelekwa Hospitali na Kufarikiduni muda mchache baada ya kufika hospitali.

Yamkini serikali ya Ethiopia iliarifu ofisi ya Kibalozi ya TANZANIA kwa hatua stahiki.

Wana familia nao tulipopata habari tuliwasiliana na Balozi ili kujua hatua gani zifanywe ili Mwili wa marehemu urejeshwe Nyumbani kwa mazishi. Balozi wa Tanzania alianza kutudanganya na kutupiga danadana eti akidai kuwa hana FUND za kugharamia matukio ya aina hii.

Hatimae ilitubidi wanafamilia tulipishwe Gharama za Hospitali, Kusafirisha mwili na kila kilichohusu kusafirishwa kwa mwili husika.

Mwili ulifika jana tarehe 27/04/2021 kwa ndege ya Cargo ya Ethiopia Air Line.

Nilianza kujiuliza NINI FAIDA YA KUWA NA BALOZI NCHINI ETHIOPIA? Lakini mara nikakumbuka kuwa kama Zanzibar ingelikuwa na Ubalozi wake kule tungelipata matokeo tofauti?

Ilishawahi kutokea wanafunzi wa Tanzania walioko nje nchi fulani(siitaji) walipungukiwa na Masurufu ya matumizi, Wale wa Zanzibar wakatumiwa na SMZ fedha za kujikimu na wale wa Bara wakalazimika kurudi au familia zao kutuma fedha.

Nimeyasema haya nikiwa na Uchungu mkubwa wa kuona kuwa MUUNGANO WETU umekuwa kikwazo kwa raia wa Zanzibar .HILI NALO NI MOJA YA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO kwenye mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. We are not treted equaly.

Namuoba Waziri wa mambo ya nje Ahusike na tukio hili la Ethiopia kwani Ubalozi wa TZ haukusaidia lolote kifedha katika jambo hi la Marehemu.

Isije ikatumwa Invoice ya kuonesha kuwa Ubalozi ulitumia fedha,itakuwa ni Upigaji wa fedha za serikali.

Nawakilisha.
Pole sana kwa msiba; wakati wa ujana wangu nilizungukia na kuishi sehemu mbalimbali sana duniani. Balozi zetu huwa ni za hovyo sana siku zote na sidhani kama zimeshajifunza maana ya kuwa ubalozi.

Hiyo ya SMZ kuwapelekea wanafunzi wao masurufu huku SJMT ikishindwa siyo tatizo la ubalozi bali ni tatizo la taratibu tu. Iwapo SMZ ilikuwa imewafadhili kwa masomo, lazima itawapelekea masurufu, kwa wale wa SJMT unaweza kukuta hawakuwa wamepelekwa nkwa ufadhili wa serikali. Sikumbuki kama ni wale wanafunzi waliokuwa Ukraine ambao ilibidi tuwachangie hapa JF!
 
Huyu Mtanzania alikuwa safarini peke yake, Ethiopia haikuwa destination yake , alishushwa kwa dharura ya kuumwa ghafla na umauti ukamfika huko.Sisi hatuna familia wala jamaa kule.
Kama balozi yupo ,unadhani nanai awajibike kutowa msaada?
kama hawalipi gharama zote , hata kuchangia sehemu ya Gharama ubalozi hauwezi ?
Wazanzibari mmezoea kulalamika ovyo, sijaona hoja ya msingi hapo. Ulitaka ubalozi uwape fedha au usafiri kwa budget ipi!!?
 
Back
Top Bottom