Tukio la Mtanzania kufariki Ethiopia: Kama kungekuwa na ubalozi wa Zanzibar huko labda ingesaidia

Tukio la Mtanzania kufariki Ethiopia: Kama kungekuwa na ubalozi wa Zanzibar huko labda ingesaidia

Kwa taarifa yako kamwe usije kutegemea msaada wo wote kutoka ubalozi wa Tanzania po pote pale duniani! Ofisi zetu za ubalozi ni fukara hakuna mfano. Kwa kifupi hazina msaada wo wote zaidi ya mbwembwe tu kuwa tuna ofisi ya ubalozi.

Just imagine hata bill za umeme na maji huwa zinashindwa kulipa!
Umesema ukweli nilipata shida nchi flani nikaenda ubalozi wa hiyo nchi kuomba msaaada lakini nilichojibiwa acha tu, mpaka sasa sioni umuhimu wa ubalozi wa Wanyonge sehemu yoyote
 
Sasa watu kama hao wakikutana na mtu kama mimi niliyejiapiza kamwe sitafanya kazi serikali ya Tanzania, naweza kuelewa kwa nini inakuwa shida kuelewana.


Nafikiri moja ya sababu ni kukosekana Kwa 'big private corporations 'zenye maslahi makubwa Sana Kwa waajiriwa kuliko serikalini....

Unaona mtu anaacha kazi Vodacom anaenda Tanesco...


Mtu anaacha kazi NMB anaenda ajiriwa manispaa...

Mambo ya ajabu sana ..

Huko Kwa wenzetu mtu aache kazi Microsoft au Google au JP Morgan aende ajiriwa Manispaa lazima itakuwa sababu ingine na sio masilahi..labda ana ndoto za kutumikia watu..

Huku kwetu hizo Corporations zina vichefuchefu sana..
Huoni kijana ana ndoto ya kuajiriwa Mohamed enterprise au Azam ...achilia mbali kujiajiri...wote wanawaza kuajiriwa na serikali
 
Nafikiri moja ya sababu ni kukosekana Kwa 'big private corporations 'zenye maslahi makubwa Sana Kwa waajiriwa kuliko serikalini....

Unaona mtu anaacha kazi Vodacom anaenda Tanesco...


Mtu anaacha kazi NMB anaenda ajiriwa manispaa...

Mambo ya ajabu sana ..

Huko Kwa wenzetu mtu aache kazi Microsoft au Google au JP Morgan aende ajiriwa Manispaa lazima itakuwa sababu ingine na sio masilahi..labda ana ndoto za kutumikia watu..

Huku kwetu hizo Corporations zina vichefuchefu sana..
Huoni kijana ana ndoto ya kuajiriwa Mohamed enterprise au Azam ...achilia mbali kujiajiri...wote wanawaza kuajiriwa na serikali
Serikalini kuzuri, hakuna accountability wala responsibility wala scorecard wala goals wala sijui assessments.
Mtu anajua akiwa mtu wa Yes boss, ndiyo boss wangu ataishi kwa furaha.

Mtu anaishi BORA liende asubirie mwisho wa mwezi na kustaafu.

Mwendazake alijaribu kubadili lakini akagubikwa na siasa na kuleweshwa na hotuba za TUNAISHUKURU SERIKALI YA MAGUFULI as if he owned everything.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Mkuu, naamini jina lako hapa JF la "Opportunity Cost" hujalichagua kwa bahati mbaya.

Bila shaka unaelewa concept ya "Opportunity Cost" katika uchumi.

Tuseme wewe ndiye unapanga bajeti ya serikali.

Umepewa $15,000.

Una uchaguzi wa kutoa hizo hela ziende ubalozini kusafirisha maiti, au umlipe mshahara ofisa mmoja wa serikali anayefanya kazi nyingi sana za ubalozi, ikiwamo ya kusaidia kusafirisha maiti zirudi Tanzania.

Ukimlipa mshahara huyo afisa, anaweza kufanya maarifa mengine tu vikundi vya wasamaria wema na jumuiya za Watanzania nchi za nje zikasaidia kusafirisha maiti.

Ukiweka bajeti ya kusafirisha maiti hiyo $15,000, unakosa hata afisa wa kusaini hizo hela zitoke.

Hapo utaamua vipi?

Nafikiri unaelewa concepts za finite resources na opportunity cost katika uchumi.

Hiyo hela utaamua iende wapi?
Unapopanga hizo bajeti hujui kwamba kuna matukio kama hayo hutokea?

Dhima kuu ya serikali ni kusaidia jamii,it may sound higher opportunity cost in terms of money but when you weigh the returns in terms of prerving the reputation of the country inakuwa bora ku help hao raia wako maana uko kwa ofisi kwa ajili yao.
 
Ya sad ....hawawezi hata kuandika wala kuwaza kitu chochote...

Mtu akiomba mtaji muombe business plan iliyoandikwa uisome.

Wa chochote Mungu alichonijalia mimi kwanza siamini kuwepo kwa Mungu hivyo Mungu hajanijalia kitu.
 
Watanzania wangapi wanafariki nje ya nchi?

Na kila mtu akitaka ubalozi umsafirishie ndugu yake, ubalozi utaweza?

Kumbuka balozi zimepigika tayari, na tunaona watu wanachangishana kila mwezi kusafirisha maiti za ndugu jamaa na marafiki.

Acha kujiona wewe special sana kama wewe tu ndiye utahitaji huo msaada.

Kuna familia nyingi sana zitahitaji huo msaada na serikali haina bajeti ya kuweza kusaidia hili.

Changishaneni kama familia, ubalozi unaweza kuwasaidia mawasiliano na kuwa na mtu wa kufuatilia mambo huko. Lakini hela mnatakiwa kutoa nyie kama familia.
Wengi hamjamuelewa,tujadili hoja yake sio kumshambulia yeye binafsi,ndugu yake alishushwa kwa kuwa alikua anaumwa.
Asingekua mgonjwa asingeshushwa Ethiopia,tuanzie hapo,
Aliposhushwa ndo umauti ukamfika.
Kwa maana hiyo shirika la ndege,ilibidi warudishe chenji ,kibongo bongo,wakate nauli Hadi Ethiopia tu,
Hapo tuendelee Sasa.
 
Wengi hamjamuelewa,tujadili hoja yake sio kumshambulia yeye binafsi,ndugu yake alishushwa kwa kuwa alikua anaumwa.
Asingekua mgonjwa asingeshushwa Ethiopia,tuanzie hapo,
Aliposhushwa ndo umauti ukamfika.
Kwa maana hiyo shirika la ndege,ilibidi warudishe chenji ,kibongo bongo,wakate nauli Hadi Ethiopia tu,
Hapo tuendelee Sasa.
Tumemwelewa sana. Asingekuwa mgonjwa wala ndege isingetua Addis. Yeye alichokitaka ni ubalozi ubebe gharama za hospitali na kumrudisha marehemu nyumbani. Ana imani kuwa ubalozi ulikataa kumsaidia kwa sababu tu wao ni wazanzibari ( ndio maana kasema pangekuwa na ubalozi wao wangesaidiwa). Hakuna mahali amezungumzia shirika la ndege. Ugomvi wake ni ubalozi na machogo waliomnyima anachoona kuwa ni haki yake

Amandla...
 
Wengi hamjamuelewa,tujadili hoja yake sio kumshambulia yeye binafsi,ndugu yake alishushwa kwa kuwa alikua anaumwa.
Asingekua mgonjwa asingeshushwa Ethiopia,tuanzie hapo,
Aliposhushwa ndo umauti ukamfika.
Kwa maana hiyo shirika la ndege,ilibidi warudishe chenji ,kibongo bongo,wakate nauli Hadi Ethiopia tu,
Hapo tuendelee Sasa.
Ndugu tumemuelewa ana aamini Balozi umembagua angekuwa m-bara angelipiwa, siyo kweli, tumefiwa wabara na ndugu walio ughaibuni na tumewachangia, tumekopa maiti kuwarejesha kuzikwa huku kwao.

Balozi hazisafirishi labda awe mtumishi wa umma.
Tusilaumu tu serikali, tuulize je wengine inakuwaje?? Tena wa-bara wanaokufa ughaibuni ni wengi, kuwazika huko ni gharama, kasafirisha maiti vile vile pia gharama. Tunajichanga, ndiyo ilivyo, SERIKALI HAINA UWEZO mie ni mhanga wa hilo na natokea bara.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Wengi watashangazwa na na mada ya hapo juu.

Taratibu fuatilia

Tare 21/04/2021 siku ya juma tano, Dada yangu Fatma Said alifariki dunia Nchini Ethiopia akitokea Dubai kuja Zanzibar (Tanzania).
Akiwa ndani ya ndege 'Fly Dubai' aliumwa ghafla na kuilazimisha ndege hiyo kutua kwa dharura nchini Ethiopia ikiwa nio kiwanja cha karibu kwa walipokuwa.

Tukio hili la kumshusha pale ni sehemu ya taibu za ndege inapotiokea dharura. Mgonwa alipelekwa Hospitali na Kufarikiduni muda mchache baada ya kufika hospitali.

Yamkini serikali ya Ethiopia iliarifu ofisi ya Kibalozi ya TANZANIA kwa hatua stahiki.

Wana familia nao tulipopata habari tuliwasiliana na Balozi ili kujua hatua gani zifanywe ili Mwili wa marehemu urejeshwe Nyumbani kwa mazishi. Balozi wa Tanzania alianza kutudanganya na kutupiga danadana eti akidai kuwa hana FUND za kugharamia matukio ya aina hii.

Hatimae ilitubidi wanafamilia tulipishwe Gharama za Hospitali, Kusafirisha mwili na kila kilichohusu kusafirishwa kwa mwili husika.

Mwili ulifika jana tarehe 27/04/2021 kwa ndege ya Cargo ya Ethiopia Air Line.

Nilianza kujiuliza NINI FAIDA YA KUWA NA BALOZI NCHINI ETHIOPIA? Lakini mara nikakumbuka kuwa kama Zanzibar ingelikuwa na Ubalozi wake kule tungelipata matokeo tofauti?

Ilishawahi kutokea wanafunzi wa Tanzania walioko nje nchi fulani(siitaji) walipungukiwa na Masurufu ya matumizi, Wale wa Zanzibar wakatumiwa na SMZ fedha za kujikimu na wale wa Bara wakalazimika kurudi au familia zao kutuma fedha.

Nimeyasema haya nikiwa na Uchungu mkubwa wa kuona kuwa MUUNGANO WETU umekuwa kikwazo kwa raia wa Zanzibar .HILI NALO NI MOJA YA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO kwenye mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. We are not treted equaly.

Namuoba Waziri wa mambo ya nje Ahusike na tukio hili la Ethiopia kwani Ubalozi wa TZ haukusaidia lolote kifedha katika jambo hi la Marehemu.

Isije ikatumwa Invoice ya kuonesha kuwa Ubalozi ulitumia fedha,itakuwa ni Upigaji wa fedha za serikali.

Nawakilisha.
Ndugu yangu tupoe sana na tumshukuru Allah S.W.T angalau kwa hao fly dubai kwa kutusogezea ndugu yetu maiti yetu na Battawi mwenzetu kwa hapo Ethiopia, japo imechukua muda kumzika ndugu yetu lakini hatimae tumeweza kumzika ardhi ya nyumbani, muhimu sasa tumtakie dua Allah amfanyie wepesi safari yake, Allah amjalie makazi mema na amjalie malipo yake yawe ni pepo na sisi tumuombe Allah atupe subira na msiba huu na husnul khatima njema.

Kuhusu hila za ubalozini ni kwamba nchi yetu huko bado haijawa nchi yenye kutenda haki, ingawa haya malalamiko kwa hapa jf hayatasaidia sana kama ni kwa ajili ya kuona hatujatendewa haki na kutoa madai nashauri tumuandikie rais moja kwa moja kuhusu hili naamini mama yetu Samia atajali sana.

Tupoeni sana nimeona clip ya huyu dada akiwa kwenye ndege akipunga mkono ya kuaga kwa heri kumbe ndio anaaga kwa kundoka hapa Ulimwenguni. Allah amsamehe madhambi yake na sisi sote. Amin.
 
Hapa Tanzania matibabu ya watoto wenye umri wa chini ya miaka 6 ni bure katika hospitali za serikali. Vivyo hivyo kwa matibabu ya wazee wa kuanzia umri wa miaka 60. Lakini sio wazazi wote wanaowapeleka watoto wao kupata matibabu ya bure hospitali za umma, huwapeleka hospitali za binafsi na kulipa gharama za matibabu kwa sababu wazijuazo wao, vivyo hivyo kwa matibabu ya wazee, sio wote hutumia hospitali za serikali.

Alichomaanisha Isanga family ni kuwa kuwepo na bajeti ya mambo kama haya kwa balozi zetu, uwepo wake haumaanishi kuwa wote wataokufa wataitumia. Ni kama ulivyosema wewe, wengine wataamua kuzikwa hukohuko na wengine watajisafirisha wenyewe nk ipo hivyo kiuhalisia, watu wote hatufanani maamuzi. Sasa bajeti iwepo halafu kutosha au kutotosha itakuwa jambo lingine baadae. Zamani kabla ya uwepo wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Serikali ilikuwa inatoa fedha kusafirisha wagonjwa wa moyo India, ni mambo yanayowezekana kama nchi tukiamua kuyafanya.
Upo sahihi eti Mtanzania anapoteza passport kupata travelling document ili arudi nyumbani anaambiwa alipie vikaratasi tuu hawa watu kama Kiranga ndio watoa maamuzi wetu na wapo wengi mno huko...
 
Kwa taarifa yako kamwe usije kutegemea msaada wo wote kutoka ubalozi wa Tanzania po pote pale duniani! Ofisi zetu za ubalozi ni fukara hakuna mfano. Kwa kifupi hazina msaada wo wote zaidi ya mbwembwe tu kuwa tuna ofisi ya ubalozi.

Just imagine hata bill za umeme na maji huwa zinashindwa kulipa!

Hivyo ndivyo tunavyoaminishwa. Kuna wakati nilikutana na dada mmoja pale Dubai Airport.. Yeye ni mhasibu wa ofisi fulani ya ubalozi wa TZ nchi moja ya Ulaya ( Naihifadhi) . Alikuwepo hapo, pamoja na kijana fulani akisoma huko ulaya , na wamekuja hapo kwa shopping . Ndivyo alivyoniambia huyo dada.

Hivyo ndivyo hizo pesa za ubalozi zinavyoliwa
 
Serikali haiwajibiki kulipia familia zisizoweza kulipia nauli za kurudishia maiti za ndugu zao Tanzania.

Ikifanya hivyo, bajeti za kuendesha balozi zote zitaishia kusafirisha miili ya watu kurudi Tanzania.

Kuna sehemu nyingine nauli hii ni zaidi ya $20,000.

Kwani nyie familia yenu yote mlishindwa kuchangishana kupata kiasi kilichohitajika?
Naomba kueleweshwa..Kinachopelekea gharama za kusafirisha maiti kuwa kubwa hivyo ni nn??..Naomba mchanganuo kama unafahamu..
 
Ndugu tumemuelewa ana aamini Biloxi umembagua angekuwa m-bara angelipiwa, siyo kweli, tumefiwa wabara na ndugu walio ughaibuni na tumewachangia, tumekopa maiti kuwarejesha kuzikwa huku kwao.

Balozi hazisafirishi labda awe mtumishi wa umma.
Tusilaumu tu serikali, tuulize je wengine inakuwaje?? Tena wa-bara wanaokufa ughaibuni ni wengi, kuwazika huko ni gharama, kasafirisha maiti vile vile pia gharama. Tunajichanga, ndiyo ilivyo, SERIKALI HAINA UWEZO mie ni mhanga wa hilo na natokea bara.

Everyday is Saturday............................... 😎


Mwaka 1996 au 1997 Kuna kijana alifariki Ulaya kwa Ukimwi . Baba yake alikuwa ni mmoja wa wafanyakazi wa Ikulu. Maiti ilirejeshwa bongo kwa msaada wa Ubalozi. Kila kitu ubalozi uligharamia.
 
Hivi kwanini maiti inasafirishwa kwa gharama kubwa sana kuzidi mtu hai?

Msaada kwa anayejua anijuze
 
Mwaka 1996 au 1997 Kuna kijana alifariki Ulaya kwa Ukimwi . Baba yake alikuwa ni mmoja wa wafanyakazi wa Ikulu. Maiti ilirejeshwa bongo kwa msaada wa Ubalozi. Kila kitu ubalozi uligharamia.
HILI NDILO KHASA NILILOTAKA LIWEKWE HADHARANI KWA UMMA HUU
Kwa hiyo balozi zetu zinatowa msaada kwa Watumishi wa Serikali tuu?
Sisi makabwela na wajasiliamali hatuna haki?

HII NDIYO 'TZ' TUITAKAYO? WATANZANIA AMKENI!

Mimi naamini kwa mwaka watanzania wnaokufa nje ya Nchi kwa dharura hawafiki 100.

Pia naamini ,wenye shida za kibalozi kama kuharibikiwa au kuibiwa nakupoteza documents za na pesa pia hawafiki 100.

kwa Serikali kuweka fungu kwenye balozi zetu rasmi kwa dharura za RAIA zake halihusianina umasikini wa Taifa letu ,bali ama fungu lipo linaliwa au Serikali inapuuza RAIA WAKE.

Nimeona Ubalozi wa TZ nchini Malaysia umeonesha katika Web site yake kuna kifungu cha dhima ya balozi ikiwa moja wapo ni kuwasaidia watanzania wanapopatwa na dharura nje ya nchi.

Je hii ni kwa Ubalozi ule tuu?
Fuatilia hapa chini
 
Wengi watashangazwa na na mada ya hapo juu.

Taratibu fuatilia

Tare 21/04/2021 siku ya juma tano, Dada yangu Fatma Said alifariki dunia Nchini Ethiopia akitokea Dubai kuja Zanzibar (Tanzania).
Akiwa ndani ya ndege 'Fly Dubai' aliumwa ghafla na kuilazimisha ndege hiyo kutua kwa dharura nchini Ethiopia ikiwa nio kiwanja cha karibu kwa walipokuwa.

Tukio hili la kumshusha pale ni sehemu ya taibu za ndege inapotiokea dharura. Mgonwa alipelekwa Hospitali na Kufarikiduni muda mchache baada ya kufika hospitali.

Yamkini serikali ya Ethiopia iliarifu ofisi ya Kibalozi ya TANZANIA kwa hatua stahiki.

Wana familia nao tulipopata habari tuliwasiliana na Balozi ili kujua hatua gani zifanywe ili Mwili wa marehemu urejeshwe Nyumbani kwa mazishi. Balozi wa Tanzania alianza kutudanganya na kutupiga danadana eti akidai kuwa hana FUND za kugharamia matukio ya aina hii.

Hatimae ilitubidi wanafamilia tulipishwe Gharama za Hospitali, Kusafirisha mwili na kila kilichohusu kusafirishwa kwa mwili husika.

Mwili ulifika jana tarehe 27/04/2021 kwa ndege ya Cargo ya Ethiopia Air Line.

Nilianza kujiuliza NINI FAIDA YA KUWA NA BALOZI NCHINI ETHIOPIA? Lakini mara nikakumbuka kuwa kama Zanzibar ingelikuwa na Ubalozi wake kule tungelipata matokeo tofauti?

Ilishawahi kutokea wanafunzi wa Tanzania walioko nje nchi fulani(siitaji) walipungukiwa na Masurufu ya matumizi, Wale wa Zanzibar wakatumiwa na SMZ fedha za kujikimu na wale wa Bara wakalazimika kurudi au familia zao kutuma fedha.

Nimeyasema haya nikiwa na Uchungu mkubwa wa kuona kuwa MUUNGANO WETU umekuwa kikwazo kwa raia wa Zanzibar .HILI NALO NI MOJA YA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO kwenye mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. We are not treted equaly.

Namuoba Waziri wa mambo ya nje Ahusike na tukio hili la Ethiopia kwani Ubalozi wa TZ haukusaidia lolote kifedha katika jambo hi la Marehemu.

Isije ikatumwa Invoice ya kuonesha kuwa Ubalozi ulitumia fedha,itakuwa ni Upigaji wa fedha za serikali.

Nawakilisha.
Ndugu yangu pole sana kwa msiba uliokufikeni, nilisoma taarifa ya kifo cha dada yenu katika groups za whatsapp na nilisikitishwa sana sana.

Ndugu yangu kuhusu suali la balozi za Tanzania nchi yeyote ile, usiombe ufikwe na lolote lile ukafikiri utapata msaada au muongozo wa kutatua tatizo linalokukabili. Balozi zetu ziko tafauti kabisa na balozi zote duniani inapohusiana na masuali ya wananchi wao.

Nianze na mabalozi wenyewe, hawa wanajiona na miungu watu na fedha ziliopo ubalozini ni za kwao tu na kwa manufaa yao. Ingelikuwa aliefariki ana connection na serikali basi maiti na wale walioshuka nae ethiopia wote wangelipiwa tiketi za kurudi nyumbani na kwa haraka mno.

Tuje kwa maofisa wa ubalozini, hawa nao ndio hata la kusema hakuna, ukienda ubalozi wowote ule duniani, utaona behaviour zao ni sawa kabisa, yaani wanahisi kuwa sie wengine hatustahili kuwepo nje ya nchi ila wao tu. Na unapofikwa na tatizo huwa hawataki kujua lolote yaani atitude yao ni kwani alokwambia uje huku nani?

Hivi ndivyo ilivyo katika balozi zetu, wakati watu wote duniani wanapofikwa na matatizo nje ya nchi zao hukikmbilia kwenye balozi zao kwa muongozo na misaada balozi zetu wao wanatabia ya kujiona na kudharau wananchi wenzao unless uwe unatoka katika familia zinazojulikana.
 
Wengi watashangazwa na na mada ya hapo juu.

Taratibu fuatilia

Tare 21/04/2021 siku ya juma tano, Dada yangu Fatma Said alifariki dunia Nchini Ethiopia akitokea Dubai kuja Zanzibar (Tanzania).
Akiwa ndani ya ndege 'Fly Dubai' aliumwa ghafla na kuilazimisha ndege hiyo kutua kwa dharura nchini Ethiopia ikiwa nio kiwanja cha karibu kwa walipokuwa.

Tukio hili la kumshusha pale ni sehemu ya taibu za ndege inapotiokea dharura. Mgonwa alipelekwa Hospitali na Kufarikiduni muda mchache baada ya kufika hospitali.

Yamkini serikali ya Ethiopia iliarifu ofisi ya Kibalozi ya TANZANIA kwa hatua stahiki.

Wana familia nao tulipopata habari tuliwasiliana na Balozi ili kujua hatua gani zifanywe ili Mwili wa marehemu urejeshwe Nyumbani kwa mazishi. Balozi wa Tanzania alianza kutudanganya na kutupiga danadana eti akidai kuwa hana FUND za kugharamia matukio ya aina hii.

Hatimae ilitubidi wanafamilia tulipishwe Gharama za Hospitali, Kusafirisha mwili na kila kilichohusu kusafirishwa kwa mwili husika.

Mwili ulifika jana tarehe 27/04/2021 kwa ndege ya Cargo ya Ethiopia Air Line.

Nilianza kujiuliza NINI FAIDA YA KUWA NA BALOZI NCHINI ETHIOPIA? Lakini mara nikakumbuka kuwa kama Zanzibar ingelikuwa na Ubalozi wake kule tungelipata matokeo tofauti?

Ilishawahi kutokea wanafunzi wa Tanzania walioko nje nchi fulani(siitaji) walipungukiwa na Masurufu ya matumizi, Wale wa Zanzibar wakatumiwa na SMZ fedha za kujikimu na wale wa Bara wakalazimika kurudi au familia zao kutuma fedha.

Nimeyasema haya nikiwa na Uchungu mkubwa wa kuona kuwa MUUNGANO WETU umekuwa kikwazo kwa raia wa Zanzibar .HILI NALO NI MOJA YA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO kwenye mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. We are not treted equaly.

Namuoba Waziri wa mambo ya nje Ahusike na tukio hili la Ethiopia kwani Ubalozi wa TZ haukusaidia lolote kifedha katika jambo hi la Marehemu.

Isije ikatumwa Invoice ya kuonesha kuwa Ubalozi ulitumia fedha,itakuwa ni Upigaji wa fedha za serikali.

Nawakilisha.
Mkuu ikiwq nchi haina utamaduni wa kuwapenda raia wake wakiwa hai unataraji nini baada ya kuaga kwao dunia? Tazama hata kwenye fursa za ajira na masomo nje ya nchi hali ikoje...
 
Inna lillah wa inna ilayhi rajiun. Allah amghufirie marehemu na akupeni subra.
 
Hivyo ndivyo tunavyoaminishwa. Kuna wakati nilikutana na dada mmoja pale Dubai Airport.. Yeye ni mhasibu wa ofisi fulani ya ubalozi wa TZ nchi moja ya Ulaya ( Naihifadhi) . Alikuwepo hapo, pamoja na kijana fulani akisoma huko ulaya , na wamekuja hapo kwa shopping . Ndivyo alivyoniambia huyo dada.

Hivyo ndivyo hizo pesa za ubalozi zinavyoliwa
Sasa mnazidisha upuuzi.
Hao wanaofanya kazi ubalozini wanafanya kwa kujitolea au nao wanalipwa mshahara? Kama wanalipwa mishahara, unaona shida gani wao kwenda kufanya shopping Dubai? Wivu wa kijinga kabisa.

Amandla...
 
Back
Top Bottom