Tukio la Rais Kikwete, Dr. Shein kukabidhiwa Rasimu ya pili na tume ya Katiba - Karimjee Hall

Ila tuache utani Pinda ile face yake duuh...
 
Last edited by a moderator:
Star tv washenziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana, yaani wanakat wanaweka tamthiliyaaaaaaa.....aghhhhhhhhhhhha
 
Jmn Kumbe Tupo Wengi hapa wanajamvi, hatujuani Na hatuonani, c ajab Kelao Yupo Kushoto kwangu
 
rasimu ya sasa imeongezeka ibara toka 240 ya awali mpaka 270's ya sasa.
 
Anamawazo mkuu mda wake umeisha anatamani huu mwaka unao kuja usiishe

Mkuu hata kama ni mawazo kwa huyu yamezidi bongoland inalaana hii naamini anahisi kabebeshwa sufuria la moto kichwani.
 
"Rasimu ya sasa ni kubwa, ina ibara 271, tofauti na Rasimu ya awali iliyokuwa na ibara 240 - Warioba". Je hizo ibara 31 zilizoongezeka zitaongeza ubora kuliko??
 
Warioba anaonyesha kujiamini sanaaa nadhani anajua lengo lake la kuinyonga ccm linaenda kutimia...ccm ndo basi tena inaenda kukata roho...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…