Tukio la Rais Kikwete, Dr. Shein kukabidhiwa Rasimu ya pili na tume ya Katiba - Karimjee Hall

Nina wasiwasi na Serikali tatu wamependekeza watu wengi
 
Mmmh mbona kama harufu ya Serikali tatu kupigwa chini inanukia?
 
Angalia sana usiniharibie siku wewe.

Siogopi vitisho vya mtu asiye na sitaha wala kuheshimu watu kwani mtu akiwa mwanamke ndiyo ana upungufu upi? Kama unaweza kupambana jitambulishe na si kujificha katika pazia la Wa Kusoma. Mie jina langu ni kamlili na siwezi kumuheshimu ambaye anao wenzake kuwa ni dhalili eti kutokana na jinsia yao.
 
warioba anatumia tekniki kubwa sanaa kisaikolojia kuharalisha serikali tatu anatoa maelezo marefuuuu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…