Mkuu, usishangilie sana. Hii ni sawa na kupewa mahindi mabichi utafune wakati hauna meno. Serikali tatu, uraia mmoja, rais mmoja, jeshi moja, polisi moja na usalama wa taifa mmoja. Umeona changamoto iliyo mbeleni?Tanganyika yetu hiyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo?
Tanganyikaaa hiyoooooooooooooo
JK kadata mkuu, manake Warioba kamwaga sumu balaa za Muundo wa Muungano! Majanga!
Mkuu, usishangilie sana. Hii ni sawa na kupewa mahindi mabichi utafune wakati hauna meno. Serikali tatu, uraia mmoja, rais mmoja, jeshi moja, polisi moja na usalama wa taifa mmoja. Umeona changamoto iliyo mbeleni?
WARIOBA anakabidhi mzigo kwa jk na shain
Kwa nini rais amesononeka wakati hagombei tena?
Wewe mbona unapewa?
Mm mwenyewe kuna mtu tunajadili hapa ni kwa nn rais anaonekana kuumia na wakati muda wake unaishia
jamaa wanaweza wakachakchua mzigo