Tukio la Rais Kikwete, Dr. Shein kukabidhiwa Rasimu ya pili na tume ya Katiba - Karimjee Hall

Tukio la Rais Kikwete, Dr. Shein kukabidhiwa Rasimu ya pili na tume ya Katiba - Karimjee Hall

Tanganyika yetu hiyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo?
Mkuu, usishangilie sana. Hii ni sawa na kupewa mahindi mabichi utafune wakati hauna meno. Serikali tatu, uraia mmoja, rais mmoja, jeshi moja, polisi moja na usalama wa taifa mmoja. Umeona changamoto iliyo mbeleni?
 
Tume ya warioba imekula pesa ya bure hamna wanacho suggest. Je hii ilikuwa tume ya katiba au tume ya muungano?? Mbona hazungumzii mambo muhimu ya umiliki wa rasilimali za nchi na ardhi nk anakazania muungano karibu hutuba yake yote, warioba bure kabisa

JK kadata mkuu, manake Warioba kamwaga sumu balaa za Muundo wa Muungano! Majanga!
 
Mkuu, usishangilie sana. Hii ni sawa na kupewa mahindi mabichi utafune wakati hauna meno. Serikali tatu, uraia mmoja, rais mmoja, jeshi moja, polisi moja na usalama wa taifa mmoja. Umeona changamoto iliyo mbeleni?

tunaongeza tatizo,jamaa anapokea ripot
 
usanii tupu, ungekuwa maeneo hayo ukamfuatilia akitoka kwenye kamera nyuma ya pazia uone anavyocheka ndio ungeshangaa, anacheka mkapa anainama chini.
 
Warioba atarudisha heshma ya taifa hili na baraka zake zilizopotelea tanzania.
 
Rais wakati anampa makamu wake report, alipita mfanayakazi akamwambia pisha nipate Picha na Makamu wangu
 
Hivi ni kwa nn Kikwete anapenda kujipangia utaratibu na kulazimisha kupigwa picha?
 
Wapi Nape na Le mutuz nina hamu ya kusikia maoni yao juu ya muundo wa muungano.
 
Back
Top Bottom