Tukio la Rais Kikwete, Dr. Shein kukabidhiwa Rasimu ya pili na tume ya Katiba - Karimjee Hall

Watu wa ajabu sana nyie!Wote tuliuona ule utani wa rais.Lisu mwenyewe alifurahia kwa kicheko.Hivi mnataka hata watu wasitaniane jamani?Mtajakula mavi kwa chuki zenu.
 

Utaacha lini kutumika? Tulijua tu utakuja na utumbo kama huu humu jamvini. Km huna hoja nyamaza kuliko kuji aibisha kama hivi.

Wewe ndio nakuona km huna uelewa mkuu,mbona jamaa kaeleza vizuri tuu?au ndo kale kaugonjwa bado kana kusumbua!.?
 
we unaelimu gani?
alikwambia nani mtu akifaulu kwa level ya juu ndo anafanya majukumu kwa usahihi?
mkuuu umevurugwa?au
mbona kila siku mnamsema mbowe kuwa hana elimu sasa leo mmepatikana mnaleta visingizio kibao.
 

Temea Mate,
Hivyo ndivyo Rais alisema au ni weye unasema? Sijui ilikuwa hotuba nyingine au ni ilie ya jana? Wanahangaika kukamata wachochezi kumbe wachochezi mmo humu jf.
Mh. Rais, msamehe huyu Temea Mate, kakurupuka tu
 
Temea Mate,
Hivyo ndivyo Rais alisema au ni weye unasema? Sijui ilikuwa hotuba nyingine au ni ilie ya jana? Wanahangaika kukamata wachochezi kumbe wachochezi mmo humu jf.
Mh. Rais, msamehe huyu Temea Mate, kakurupuka tu

yan uyo jamaa haelewi alichokiandika,au ndo sawa na yule mtafsiri wa lugha za alama kwenye kumuaga mandela>
 
Ninacho kiamini Rais Kikwete na wenzake wana muogopa sana Tundu Lisu ndo maana ya kaul kma hzo 'mwanasheria mashuhuli'!!
 
cdm bila zitto haiwezekani mkuu
kwani zitto ni mungu, chadema ni taasisi huyo unayemwabudu wewe ni binadamu iko siku hatakuwepo duniani lakini cdm itakuwepo ikiongozwa na watu wengine.
 
we unaelimu gani?
alikwambia nani mtu akifaulu kwa level ya juu ndo anafanya majukumu kwa usahihi?
mkuuu umevurugwa?au

Ona sasa unaanza kuhoji elimu yangu?!

Ukweli ndio huo mkuu. Jk hana justification ya kuhoji umahiri wa TL kwenye sheria.

Hivi wale majaji kanjanja aliyowataja ile ripoti yake spika alisha isoma tena?!
 

Kama ulitizama na kusikiliza kwa makini hotuba ya Ndugu Rais, baada ya kukabidhiwa rasimu ya pili ya katiba mpya, hakumtaja mtu yeyote kwa nia mbaya kama unavyojaribu kutuaminisha, alichokisema ninanukuu, ".......ndugu zangu, tuende kwenye bunge la katiba tukiwa wamoja, nayasema haya waziwazi kwani huko nyuma niliyasema sirini nilipoteta na viongozi wa vyama vya siasa, tena namuona Prof. Lipumba, Mbatia na Mwanasheria maarufu Tundu Lissu....." mwisho wa nukuu. sasa hayo ya kuchanganya sheria yametoka wapi? au aliyasema sehemu tofauti? mara nyingine, tunapenda kusikia yale tuyapendayo sisi bila kujali uhalisia wa mambo! kama Ndugu Rais, ilivyotoa Rai, ni muhimu kujenga hoja zetu tukiwa wamoja bila kuweka interests zetu binafsi au itikadi ya vyama. Tanzania inahitaji katiba mpya, tumeshatumia gharama nyingi zilizogharamiwa na kodi za kila mmoja wetu, kila mmoja wetu katika nafasi yake anayo nafasi ya kuchangia tofali katika ujenzi wa taifa letu..
 
'If you want to kill a hyna put a poisoned meat on its way' LISU ni sumu kwa CCM-MAGAMBA.
 
Umeyota kichwani au na mwananchi nao wanajikanyaga? mbona maelezo kama hayaeleweki na hayaingii akilini hajaeleweka bado???
 
Wewe sio salama unaonekana umetoka kuoga ukajipaka majivu,Rudi tena ukaoge.
 
wee umequote gazeti la mwananchi tu au umetoa na ujinga mwingine kichwani mwako????
 
Inawezekana yeye na JK wamevurugwa. Ama kweli Lissu anatisha kila mkuu wa kaya anapoongelea mambo ya katiba lazima ataje jina la jembe Lissu. Inaonyesha Jk anataman TL angekua ndio mwanasheria mkuu wa tanzania.

Hajafikia hadhi hiyo bado.
 
Una mambo mengi kichwani wakati kichwa chenyewe ni Pentium 1 ndo maana unachanganya mambo. Si uongelee moja then mengine uyaanzishie threads zake?
 
JK kwenye mambo mengine mtavumiliana na kupigina vijembe, tatizo pekee la JK ni hili, endapo Lissu angemwambia walau Vick kamata tukutune manadani si unajua tena... kisha akafahamu hapo ndipo Jk ang'etoa maamuzi magumu na ya hatari sana
 

Division 5 ni janga la Taifa, hueleweki hata ulichokiandika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…