Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
We -------- nini? CDM ndo wanaotaka serikali tatu na sio maccm
huyo atakuwa mgeni mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We -------- nini? CDM ndo wanaotaka serikali tatu na sio maccm
Watz tuna imani na kikwete na tume
Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifuHivi kwa nini CCM wanachukia mfumo wa serikali tatu??
Kwa sababu watanzania walio wengi wanataka mfumo wa serikali tatu, na CDM ni chama cha wananchi na kinasikiliza matakwa ya wananchi wa Tanzania'wakiwemo wa "Tanganyika"
Hivi kwa nini CDM wanapinga serikali tatu?.
Hata wewe unaupendana kwnn ccm wanapenda?
Sasa hapo kimamlaka anayekabidhiwa ni nani hasa, JK au Shein?
Watz tuna imani na kikwete na tume
Rais Kikwete kuandika historia leo.
Wanajamvi
Maandalizi yanaendelea ktk viwanja vya Ikulu
Niwasihi mvute subira tuwahabarishe na Wanajamvi walioko hapa tukio kubwa katika hatua ya utungaji wa katiba.
Ambapo Tume ya katiba watakabidhi
1.Ripoti ya utendaji wao tangia wameanza hadi tamati ya leo ndani itaeleza jinsi walivyowafikia Watanzania, Maoni ambayo hayakuwekwa kwenye rasimu,nk.
2.Rasimu ya 2 ya katiba baada ya kwanza kutoka na kujadiliwa
Ambayo Itampa Rais wa Jamhuri mamlaka pia ya kuitisha bunge la katiba liijadili hapo mwanzoni mwa 2014.
Hivi kwa nini CHADEMA wanachukia mfumo wa serikali mbili?
anaejua maana ya IFWEERO,,,,,,,,kikwetu ni nywele za m.a.ta.kni.
"Watu wazima mnazungumzia serikali tatu"
maskini kabisa nyie! wakati wazungu wanazungumzia kuunganisha ulaya moja yenye nguvu@ that is nonsense primitive. mzanaki julius kambarage burito nyerere.(rip)