Tukio la Rais Kikwete, Dr. Shein kukabidhiwa Rasimu ya pili na tume ya Katiba - Karimjee Hall

Tukio la Rais Kikwete, Dr. Shein kukabidhiwa Rasimu ya pili na tume ya Katiba - Karimjee Hall

Kwa sababu watanzania walio wengi wanataka mfumo wa serikali tatu, na CDM ni chama cha wananchi na kinasikiliza matakwa ya wananchi wa Tanzania'wakiwemo wa "Tanganyika"

wengi kwa takwimu zipi? acha propaganda
 
Rais Kikwete kuandika historia leo.
 
"Watu wazima mnazungumzia serikali tatu"
maskini kabisa nyie! wakati wazungu wanazungumzia kuunganisha ulaya moja yenye nguvu@ that is nonsense primitive. mzanaki julius kambarage burito nyerere.(rip)
 
Kwa utawala wa kikwete na ccm,hakuna jipya zaidi zaidi wanabuni jinsi ya kushinda uchaguzi mkuu 2015 japokuwa naamini hawataweza kushinda uchaguzi wenye pamoja na katiba mbofu mbofu hiyo hiyo watakiona cha mtema kuni.
 
Wanajamvi

Maandalizi yanaendelea ktk viwanja vya Ikulu

Niwasihi mvute subira tuwahabarishe na Wanajamvi walioko hapa tukio kubwa katika hatua ya utungaji wa katiba.

Ambapo Tume ya katiba watakabidhi
1.Ripoti ya utendaji wao tangia wameanza hadi tamati ya leo ndani itaeleza jinsi walivyowafikia Watanzania, Maoni ambayo hayakuwekwa kwenye rasimu,nk.

2.Rasimu ya 2 ya katiba baada ya kwanza kutoka na kujadiliwa
Ambayo Itampa Rais wa Jamhuri mamlaka pia ya kuitisha bunge la katiba liijadili hapo mwanzoni mwa 2014.

utasutwa kakutuma nani
images
 
"Watu wazima mnazungumzia serikali tatu"
maskini kabisa nyie! wakati wazungu wanazungumzia kuunganisha ulaya moja yenye nguvu@ that is nonsense primitive. mzanaki julius kambarage burito nyerere.(rip)

Kuwa na serikali tatu haimaanishi kwamba mmetengana. Marekani ni Taifa moja lakini lina States 50 na kila state lina serikali yake lakini states zote hizo zipo chini ya mwavuli mmoja uitwao federation ikiongozwa na Obama. Kuna tatizo hapo? Umoja wao uko pale pale na umoja wetu utakuwepo bila shaka yoyote.
 
Back
Top Bottom