Tukio la Shadrack linatoa ujumbe mkubwa sana kwa Rais Samia na Mahakama

Tukio la Shadrack linatoa ujumbe mkubwa sana kwa Rais Samia na Mahakama

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Habari Mwanajukwaa.
Nimewaza sana tena sana nikagundua hili tukio linaonesha tu kwa namna gani watu hawakubaliani na baadhi ya Mambo na kwa namna yanavyotokea tu yanatoa ujumbe kabisa kwa Rais Samia na CCM yake.

Tukio la Mnyakyusa kuchoma Picha ya Rais lilikua sio zuri in real sense kabisa na kama Rais Samia angekua anakubalika na watu huyu Mtu asingetoka Gerezan wangemwacha akione hukohuko ila haijamaliza hata 2 days mtu yupo uraiani hio inakupa picha gani wewe kama wewe hapo?

Hapa kuna funzo kubwa sana kwa Samia hata kwa Mahakama kua hawaiamini Mahakama na wanaona kama waonevu tu wana ionyesha mahakam hukumu iliotoa haiwatishi wanachangishana within a short period of time then wanapata kias kinachotakiwa wanamtoa mwenzao hiii ni Fedheha kwa Mahakama ujue ni nzuri kama hela ingetoka kwa Familia ya jamaa ila sio kwa Umma.

Na kingine Umma unamchukulia Rais nae poa tu hata Picha yake ikichomwa atajijua yeye ndio maan yake Rais hapendwi yani watu wanaona fresh picha ya Rais kuchomwa plus matusi makali.

Pia soma
- Aliyekamatwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia ahukumiwa faini Tsh. Milioni 5 au miaka miwili jela

#Goodmorning
 
Inawezekana uko sahihi.

Mosi,hakuna Kiongozi anayependwa na watu wote.

Pili,ukisema Watanzania kwa ujumla wetu wote ndio tumechanga pia sio sahihi.

Tatu,waliochanga haina maana wamefurahishwa na alichokifanya.

Nne,naipongeza Mahakama kwa kutenda Haki.Imeacha option ya kulipa faini wazi kama Sheria ilivyotaka.

Kwa tulipofikia ilikuwa ni wazi tu hiyo faini ya Milioni Tano dogo angelipiwa.

Kama ingekuwa wakati wa mwendazake,wangetoa kifungo tu bila hata option ya faini na hakuna ambaye angesema chochote.

Kwenye utoaji Haki,"mchomwa moto" anajitahidi.
 
Inawezekana uko sahihi.
Mosi,hakuna Kiongozi anayependwa na watu wote.
Pili,ukisema Watanzania kwa ujumla wetu wote ndio tumechanga pia sio sahihi.
Tatu,waliochanga haina maana wamefurahishwa na alichokifanya.
Nne,naipongeza Mahakama kwa kutenda Haki.Imeacha option ya kulipa faini wazi kama Sheria ilivyotaka.
Kwa tulipofikia ilikuwa ni wazi tu hiyo faini ya Milioni Tano dogo angelipiwa.
Kama ingekuwa wakati wa mwendazake,wangetoa kifungo tu bila hata option ya faini na hakuna ambaye angesema chochote.
Kwenye utoaji Haki,"mchomwa moto" anajitahidi.
Mahakama iliyomfunga mwanamke miaka 20 pale Iringa Kwa kukutwa na vinande 4 vya nyama ya Swala Nani aiamini?
 
Inawezekana uko sahihi.
Mosi,hakuna Kiongozi anayependwa na watu wote.
Pili,ukisema Watanzania kwa ujumla wetu wote ndio tumechanga pia sio sahihi.
Tatu,waliochanga haina maana wamefurahishwa na alichokifanya.
Nne,naipongeza Mahakama kwa kutenda Haki.Imeacha option ya kulipa faini wazi kama Sheria ilivyotaka.
Kwa tulipofikia ilikuwa ni wazi tu hiyo faini ya Milioni Tano dogo angelipiwa.
Kama ingekuwa wakati wa mwendazake,wangetoa kifungo tu bila hata option ya faini na hakuna ambaye angesema chochote.
Kwenye utoaji Haki,"mchomwa moto" anajitahidi.
Bado Kwa namna anavyojitangaza na picha zake Kila kikao, Kila mikutano na kila mahali, Bado ni fedheha kubwa sana. Tusijifariji.

Na Kwa mujibu wa CHAWA Kwa mama ni kwamba anapendwa mpaka na viumbe ambao hawajazaliwa.

Najua Kwa Sasa CHAWA wapo wanajieleza
 
Habari Mwanajukwaa.
Nimewaza sana tena sana nikagundua hili tukio linaonesha tu kwa namna gani watu hawakubaliani na baadhi ya Mambo..na kwa namna yanavyotokea tu yanatoa ujumbe kabisa kwa Rais Samia na Ccm yake.

Tukio la Mnyakyusa kuchoma Picha ya Rais lilikua sio zuri in real sense kabisa na kama Rais Samia angekua anakubalika na watu huyu Mtu asingetoka Gerezan wangemwacha akione hukohuko ila haijamaliza hata 2 days mtu yupo uraiani hio inakupa picha gani wewe kama wewe hapo?

Hapa kuna funzo kubwa sana kwa Samia hata kwa Mahakama kua hawaiamini Mahakama na wanaona kama waonevu tu wana ionyesha mahakam hukumu iliotoa haiwatishi wanachangishana within a short period of time then wanapata kias kinachotakiwa wanamtoa mwenzao hiii ni Fedheha kwa Mahakama ujue ni nzuri kama hela ingetoka kwa Familia ya jamaa ila sio kwa Umma.

Na kingine Umma unamchukulia Rais nae poa tu hata Picha yake ikichomwa atajijua yeye ndio maan yake Rais hapendwi yani watu wanaona fresh picha ya Rais kuchomwa plus matusi makali..

#Goodmorning
Kwani picha ina thamani au umuhimu gani mpaka kuichoma iwe kosa la jinai?
 
Mahakama iliyomfunga mwanamke miaka 20 pale Iringa Kwa kukutwa na vinande 4 vya nyama ya Swala Nani aiamini?
Hii kesi ya Dogo imekaa Kisiasa.Yule Mama wa Iringa ni udhaifu tu wa Sheria zetu kwenye Maliasili.
Ndio maana mpaka leo,Tembo akikukanyaga ukafa familia yako itapewa 1mil tu ya kifuta machozi.
Ila wewe ukiua Tembo unalipa zaidi ya 20mil!!
Tatizo Hilo.
 
Bado Kwa namna anavyojitangaza na picha zake Kila kikao, Kila mikutano na kila mahali, Bado ni fedheha kubwa sana. Tusijifariji.

Na Kwa mujibu wa CHAWA Kwa mama ni kwamba anapendwa mpaka na viumbe ambao hawajazaliwa.

Najua Kwa Sasa CHAWA wapo wanajieleza
Hao wanaomdanganya anapendwa na watu wote mpaka ambao hawajazaliwa ni wajinga tu!
Mungu mwenyewe anayegawa pumzi na riziki hapendwi na watu wote itakuwa yeye Mama kizimkazi!
 
Habari Mwanajukwaa.
Nimewaza sana tena sana nikagundua hili tukio linaonesha tu kwa namna gani watu hawakubaliani na baadhi ya Mambo..na kwa namna yanavyotokea tu yanatoa ujumbe kabisa kwa Rais Samia na Ccm yake.

Tukio la Mnyakyusa kuchoma Picha ya Rais lilikua sio zuri in real sense kabisa na kama Rais Samia angekua anakubalika na watu huyu Mtu asingetoka Gerezan wangemwacha akione hukohuko ila haijamaliza hata 2 days mtu yupo uraiani hio inakupa picha gani wewe kama wewe hapo?

Hapa kuna funzo kubwa sana kwa Samia hata kwa Mahakama kua hawaiamini Mahakama na wanaona kama waonevu tu wana ionyesha mahakam hukumu iliotoa haiwatishi wanachangishana within a short period of time then wanapata kias kinachotakiwa wanamtoa mwenzao hiii ni Fedheha kwa Mahakama ujue ni nzuri kama hela ingetoka kwa Familia ya jamaa ila sio kwa Umma.

Na kingine Umma unamchukulia Rais nae poa tu hata Picha yake ikichomwa atajijua yeye ndio maan yake Rais hapendwi yani watu wanaona fresh picha ya Rais kuchomwa plus matusi makali..

#Goodmorning
Nani wa kukubali haramia anaye taka kutuuza utumwani kwa wajomba zake wapumbavu wa kiarabu
 
Habari Mwanajukwaa.
Nimewaza sana tena sana nikagundua hili tukio linaonesha tu kwa namna gani watu hawakubaliani na baadhi ya Mambo..na kwa namna yanavyotokea tu yanatoa ujumbe kabisa kwa Rais Samia na Ccm yake.

Tukio la Mnyakyusa kuchoma Picha ya Rais lilikua sio zuri in real sense kabisa na kama Rais Samia angekua anakubalika na watu huyu Mtu asingetoka Gerezan wangemwacha akione hukohuko ila haijamaliza hata 2 days mtu yupo uraiani hio inakupa picha gani wewe kama wewe hapo?

Hapa kuna funzo kubwa sana kwa Samia hata kwa Mahakama kua hawaiamini Mahakama na wanaona kama waonevu tu wana ionyesha mahakam hukumu iliotoa haiwatishi wanachangishana within a short period of time then wanapata kias kinachotakiwa wanamtoa mwenzao hiii ni Fedheha kwa Mahakama ujue ni nzuri kama hela ingetoka kwa Familia ya jamaa ila sio kwa Umma.

Na kingine Umma unamchukulia Rais nae poa tu hata Picha yake ikichomwa atajijua yeye ndio maan yake Rais hapendwi yani watu wanaona fresh picha ya Rais kuchomwa plus matusi makali..

#Goodmorning
Kuchoma picha ya rais ni sehemu ya uhuru wa kujieleza tu.

Huko nchi zisizo na uhuru tu ndiyo big deal.
 
Back
Top Bottom