Be a man acha kujificha kwa kusema sisi wakati ni maoni yako binafsi usituingize kwenye huu ujinga wenu wa kufuata mkumboKuandika kiswahili fasaha hujui.sasa mjinga hapo ni nani?Ni tolee uharo wako hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Be a man acha kujificha kwa kusema sisi wakati ni maoni yako binafsi usituingize kwenye huu ujinga wenu wa kufuata mkumboKuandika kiswahili fasaha hujui.sasa mjinga hapo ni nani?Ni tolee uharo wako hapa.
Una uhakika ni maoni yangu peke yangu?Be a man acha kujificha kwa kusema sisi wakati ni maoni yako binafsi usituingize kwenye huu ujinga wenu wa kufuata mkumbo
Aya ChawaKwani wewe umeiona hati ya mashataka? Hilo la kudhalilishwa ni la kwako wewe
Ila hii ina ujumbe sana na vizur hata wewe umeuona.Hili tukio la huyu mnyakyusa kuchangiwa faini na kutoka linatuma ujumbe kwamba yale mapendekezo ya Tume ya haki jinai yafanyiwe kazi haraka sana. Wananchi hawakubaliani na hali ya utoaji hukumu na haki jinai kwa sasa.
Ila kwa mheshimiwa pia kuna ujumne kwamba kuna mambo hayako sawa mahali ayabadilishe . Ila si lazima kiongozi upendwe na wote tunaona kina Biden huko wasivyopendwa na hakuna shida
Sawa ilikua kipuuzi ila kuna kitu kinatumwa hapa na sina imani kama wewe umehusika katika michango yote 3 leta ushahidi hapa.Uko sahihi. But it doesn't prove any of the movement. Mimi nimehusika michango yote mitatu twitter. Lakini, i did. Because i could. Siikua na intention yyte. Nilichanga kwasababu nilikua na uwezo at the time. Ila vijana watulie, waache usng. Kule jela kuna watu wanatamani wasiingie. Ila mambo madogo yamewapeleka. Na hawatoki jn any means. Vijana wa bongo. Wakitaka waone jiinsi activists. Wanavyofanya mambo. Sio kipuuzi vile.
Uhuni uhuni tuKilichonishangaza mimi ni jinsi kesi ilivyoendeshwa. Yaani hata wiki haikuisha dogo keshapigwa mvua tayari. Kumbe mahakama zetu zinaweza kuwa efficient zikiamua.
Unaumia sana polee ila raha mlitaka jamaa afungwe ili muutishe ummaMioyo ya watu wachache tu , ndio masna kuna vyama vya upinzani , kumbuka tanzania tupo around watu around 65m , ukizungumzia mia tatu ni punje tu so acha wajifurahishe hawataweza kubadilisha chochote
Mwenyewe tu kachokaKwanini mmemchoka mama kiasi hicho?
Mimi sijataka afungwe ila vijana wajifunze adabu huwezi kuamka tu umeshiba makande unaanza kumdhihaki raisi, ni kukosa hekima tu ,raisi hata aje obama hii nchi ina matatizo mengi kuliko raisi, sisi wenyewe tubadilike kwanza watanzania 95% sio waaminifu akipata mwanya tu anawaza kuiba, ukabila na kadhalika halafu kutwa kumlaumu raisi, ujinga mtupu apambane na hali yakeUnaumia sana polee ila raha mlitaka jamaa afungwe ili muutishe umma
Au konde boyKwann uue tembo?
Ahahahahah tembo anatumia sana mjani.... Koh koh koh yao yaoKwann Tembo aue Binadamu?
Inamaana mahakama zinaabudu sanamu?Kwani picha ina thamani au umuhimu gani mpaka kuichoma iwe kosa la jinai?
si kweliHabari Mwanajukwaa.
Nimewaza sana tena sana nikagundua hili tukio linaonesha tu kwa namna gani watu hawakubaliani na baadhi ya Mambo na kwa namna yanavyotokea tu yanatoa ujumbe kabisa kwa Rais Samia na CCM yake.
Tukio la Mnyakyusa kuchoma Picha ya Rais lilikua sio zuri in real sense kabisa na kama Rais Samia angekua anakubalika na watu huyu Mtu asingetoka Gerezan wangemwacha akione hukohuko ila haijamaliza hata 2 days mtu yupo uraiani hio inakupa picha gani wewe kama wewe hapo?
Hapa kuna funzo kubwa sana kwa Samia hata kwa Mahakama kua hawaiamini Mahakama na wanaona kama waonevu tu wana ionyesha mahakam hukumu iliotoa haiwatishi wanachangishana within a short period of time then wanapata kias kinachotakiwa wanamtoa mwenzao hiii ni Fedheha kwa Mahakama ujue ni nzuri kama hela ingetoka kwa Familia ya jamaa ila sio kwa Umma.
Na kingine Umma unamchukulia Rais nae poa tu hata Picha yake ikichomwa atajijua yeye ndio maan yake Rais hapendwi yani watu wanaona fresh picha ya Rais kuchomwa plus matusi makali.
Pia soma
- Aliyekamatwa kwa kuchoma picha ya Rais Samia ahukumiwa faini Tsh. Milioni 5 au miaka miwili jela
#Goodmorning
Nimejaribu kuchallenge tu,Mamlaka za wanyamapori zifanye kazi Yao inavyotakiwa.Ahahahahah tembo anatumia sana mjani.... Koh koh koh yao yao
Je, Rais mwenyewe anaheshimu kiti cha urais? Maana ilivyo heshima ni kwa wenye kujiheshimu.Mimi sijataka afungwe ila vijana wajifunze adabu huwezi kuamka tu umeshiba makande unaanza kumdhihaki raisi, ni kukosa hekima tu ,raisi hata aje obama hii nchi ina matatizo mengi kuliko raisi, sisi wenyewe tubadilike kwanza watanzania 95% sio waaminifu akipata mwanya tu anawaza kuiba, ukabila na kadhalika halafu kutwa kumlaumu raisi, ujinga mtupu apambane na hali yake
Anaheshimu ofcourse kama kuna mapungufu kuna njia sahihi za kufikisha malalmikoJe, Rais mwenyewe anaheshimu kiti cha urais? Maana ilivyo heshima ni kwa wenye kujiheshimu.