Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuishi kwa kwa kupendana.
Maana ghadhabu ya Mungu kwa wale watoao uhai wa mtu huwa ni kubwa mno.
Uzi tayari
inaitwaa kanuni ya "KARMA".......what goes around,comes around"Tuishi kwa kwa kupendana.
Maana ghadhabu ya Mungu kwa wale watoao uhai wa mtu huwa ni kubwa mno.
Uzi tayari
Mungu aliingilia kati 🙏
Halafu tunaambiwa kuwa nchi ina mihimili 3 ya utawala bora kumbe kuna mmoja tu,speaker amejikunyata kama kifaranga kilichokoswa koswa na Rapptor! Judiciary nao hawakujibu statement hii,nashangaa sasa judge chande he also got his voice back, salute kwa TISS ya awamu ya kwanza kwa sababu ilikua makini sana ,huyu asingekua president kabisa