Tukio la utata Kupotea kwa rubani wa Australia 1978

Tukio la utata Kupotea kwa rubani wa Australia 1978

Daah haya mambo ya UFO nilikuaga interested nayo kinoma enzi izo. Ila niliona mengi ni story za kufikirika mno.

Ikafika hatua kila kitu kikitokea kisichoelewekaeleweka basi alliens wanasingiziwa.
Kama wapo kweli hao alliens watakuja kuonekana tu.
 
Huwaga nahisi location ya UFO ni kama wakanda.. tupo nao ila kuna transparent barrier kwahiyo ndo mana kuna wakati watu wanapotea wanaingia huko, ila wao wana uhuru wa kuja huku sisi ndo hatujui walipo.
 
Huwaga nahisi location ya UFO ni kama wakanda.. tupo nao ila kuna transparent barrier kwahiyo ndo mana kuna wakati watu wanapotea wanaingia huko, ila wao wana uhuru wa kuja huku sisi ndo hatujui walipo.
mkuu inawezekana maana hata Gambosh ni Kijiji ila Kuna watu wanadai walishaona Jiji kubwa New York ikasome Sasa unajiuliza haya mambo yapo kivipi
Nakumbuka radio free miaka ya nyuma kwenye kipindi Cha sitosahau Kuna jamaa anaitwa zabron alielezea mengi sana ya kustaabisha na baadhi yake yanafanana na Ile nchi Wakanda kwenye Black Panther ambayo ilikuja Toka miaka Kama 7 mbele ila yanafanana!
 
mkuu inawezekana maana hata Gambosh ni Kijiji ila Kuna watu wanadai walishaona Jiji kubwa New York ikasome Sasa unajiuliza haya mambo yapo kivipi
Nakumbuka radio free miaka ya nyuma kwenye kipindi Cha sitosahau Kuna jamaa anaitwa zabron alielezea mengi sana ya kustaabisha na baadhi yake yanafanana na Ile nchi Wakanda kwenye Black Panther ambayo ilikuja Toka miaka Kama 7 mbele ila yanafanana!

Kaka kama unaikumbuka hiyo story ya zabron ifungulie uzi basi nasi tufahamu, napenda sana kufuatilia hizi taarifa za UFO
 
UFO sio Aliens naungana na wewe, hizi frying Object wamezitumia sana wajerumani kipindi cha vita ya pili sijui ya kwanza, na yapo mashirika ya siri uanamiliki hizi ndude wakishirikiana na viumbe wengine miaka na miaka, na zaidi ni kwamba, hizo UFO hata hapa Tanzania baadhi ya maeneo huwa zinaonekana, na kama hujabahatika kuziona ata kwa mbaali basi fahamu ni suala la muda tu, mwezi uliopita, mwezi wa saba tarehe 22, location Unknown, nimeliona moja live bila ya chenga, Morogoro kusini.
Pia nishawah ona tukio la kuinuliwa semi ktk pori la ushirombo, semi imebebwa juu usawa wa nguzo mbili za umeme, limechanwa container na ikapigwa kikumbo kimoja matata sana kurudishwa chini, sijui waliopima ile ajati waliandika repoti gani...kuhusu haya madide anayebisha ni yule anayetaka tu kushuhudia kwa macho ya nyama ila yapo sana...

Nilikoyaona hayo madude yasiyoeleweka.

Mwanza

Morogoro kusini ( sitapataja jina ni mji upi hasa )

Ushirombo.

Mkuu bora ungetaja ili mtu akipita hiyo njia aje akae hapo hata siku mbili & tatu hivi aone kama atabahatisha kuona. Ila kama unakataa kusema hilo eneo kwasababu za kiusalama basi sawa. Niliwahi kusoma mahali ziliwahi kuonekana huko Zimbabwe
 
Kaka kama unaikumbuka hiyo story ya zabron ifungulie uzi basi nasi tufahamu, napenda sana kufuatilia hizi taarifa za UFO
mkuu Ile story yake ilisimuliwa kitambo kidogo ila jamaa ana vitabu vyake kaviandika Kama unaweza unaweza vitafute madukani utapata vina mambo mengi ya kuushangaaza ulimwengu Moja kati ya simulizi yake anadai huko Gambosh Kuna Kila Aina ya viumbe kuanzia binadamu, hybrids za binadamu,Majini ya Kila Aina,na viumbe vya maajabu maajabu anadai Kule ni Kama Dunia nyingine mfano wake ni Ile zile Movie za Men in Black Kwa macho haionekani mbaka upate mwaliko maalum Cha kushangaza ni Ile technolojia Yao ya ajabu kusafiri kiwakati(time travel)
Yaani Kama upo Dar kwenda Mwanza ni kufumba na kufumbua tu,anadai huko Kuna viumbe Kama ma vimpire ni Immortal wanatumia fresh blood kuishi miaka maelfu,
Kingine ni zile nguvu zao dark power alidai waliwahi kwenda milima ya Senkenke Kama sikosei kuchukua damu za raia kilichofanywa ni kutengeneza ajari kimiujiza sana anadai yule ajenti aliyetumwa anafimbo ya ajabu anainyoosha na kuipindisha Barabara kimiujiza inakua inaelekea makorongoni inatokea ajari mbaya ya kutisha!

Yaani zile story zake zilikaa Kama Myth flani ila nilichostaajabu zinafanana na movie za Holiwood za Hivi karibuni Kama black panther na Men in Black!
 
una shangaa nini mbona sokoine alipotea kimaajabuuu!! aligongwaje kwenye msafara wa magari meeengi vile! na ulinzi juuu! eti afe yeye tuuu!
Unaamsha walio lala
Full escort na pm anagowa na kufa
By then ndio alikuwa kama vice president
 
Unaamsha walio lala
Full escort na pm anagowa na kufa
By then ndio alikuwa kama vice president
Hii kitu ni intel kali sana Nyerere tunamdai ufafanuzi juu ya hili. Kuna uzi humu ulishawahi kuandikwa kuhusu kifo cha sokoine
 
Miaka ya 1980's waafrika walikuwa wakiambiwa itafikia kipindi mtu atakuwa anaongea na mwenzake kutoka bara moja mpaka jingine huku wakionana walikuwa lazima wakuone chizi. Kununua bidhaa kutoka abroad kwa kubofya simu tu hata ukiwa chooni na baada ya muda bidhaa yako kuletewa mpaka ulipo lilikuwa haliwezekani lakini yote hayo leo yanawezekana na waliofanikisha hayo sasa wanatukuzwa.
Mtu mweusi haamini mpaka aone kwa macho yake which is bullshit!
 
Back
Top Bottom