Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran Madam FaizaHiyo ndiyo ukisikia "deja vu".
We jamaa nimekuamini. Mi nilikua nikitamani kitu lazima nikipate hata kwakuokota tu.Hayo ni majini hayo muda mwingine yanakuongoza vizuri mm zamani yalikuwa yananisaidia mfano naweza sema nikipita mtaa huu nikipita nitaokota hela na kweli naokota hela katika Maisha imenitokea kama mara tatu sehemu ile ile niliyokuwa naiwaza nikiwa mdogo ila siku hizi huu upako sina
Hapana mkuu, mimi ni binadamu mwenye mwili wa nyama na kanisani nahudhuria kama kawaidaWewe ni jini
Mkuu, mwaga madini tuelewe mkuu. Au ngoja nije PMMultiverse theory
Hamna kitu kama hikoMultiverse theory
Inashangaza na kuogofya mkuu. Sasa siku tatu juu ya mlima, sintokutana na kitu cha kutisha kweli! Na je, ni lazima niwe peke yangu uko? Na nikipuuzia, kipi kinaweza nikuta katika haya maisha?NAONA una shida kidogo kwenye muungano wa roho yako na mwili wako, io hali inapelekea mwili wako kupata dodoso za mambo ya Rohoni na haikupaswa iwe hivyo...
Mtu anweza sema tunadanganya ila mm ilinitokea kama mara tatu hiyo hali tena mara mwisho sikumbuki mwaka gani niliokota noti ya 5 ile ila sasa hivi sina haya maono kama zamani yaan nafikiria sehemu nikienda inakuwa vile vile sana sana mm imenitokea ktk pesa tu kuna siku ulikuja upepo mkali hisia zikaniambia unakumbuka nenda mpk mtaa ule utapata utaokota hela nikaenda na kuokota hela kama ile sehemu naijuaWe jamaa nimekuamini. Mi nilikua nikitamani kitu lazima nikipate hata kwakuokota tu.
Unalolisema ni sahihi au umedhania tu mkuu? Nisije kuchuua hatua za kwenda kuondolewa, halafu badala ya kuondoa wakanipachika jini lenyewe halisi ikala kwangu!Unamajini
Glitch ndio nini mkuu? Funguka basi tupate madini na namna ya kusuluhisha hiliKwahyo kisayansi hio ni "Glitch" kwenye system??😂😂
Mkuu, weka nyama nyama tafadhariHiyo ndiyo ukisikia "deja vu".