harakati za siri
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,074
- 2,870
Kaulizie kwa mababu na mabibi kama Kuna uganga kwenye koo, mikoba inatafuta mrithi.
Ni mizimu(majini ya koo)
Ni mizimu(majini ya koo)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, alimaanisha nini kusema multiverse theory?Hamna kitu kama hiko
Mambo ya hukumu ni story za kitoto tu mkuu ukipandacho ndicho utavuna ( karma) mengne nipige kimya tu.Maana yake nini mkuu? Kwamba nafsi zinazorejeshwa ni chache? Na je, siku ya hukumu, nafsi yangu hii pendwa itahukumiwa kwa niaba ya makosa ya mwili upi? Mara mia ihukumiwe kwa reference ya mwili ule, huu wa sasa unagegedana sana
Shindwa pepo. Mkuu, nitawezaje kujitenganisha na ukoo kiroho?Kaulizie kwa mababu na mabibi kama Kuna uganga kwenye koo, mikoba inatafuta mrithi.
Ni mizimu(majini ya koo)
Mkuu, umefumba sana. Tuweke wazi tuyajue hayaMambo ya hukumu ni story za kitoto tu mkuu ukipandacho ndicho utavuna ( karma) mengne nipige kimya tu.
Tatizo la akili kivipi mkuu? Kwamba akili yangu haiko sawa? Na hiyo Jamais Vu ndo nini?Hilo ni tatizo la akili ( psychiatric problem) inaweza kuwa ni
Dejavu au Jamais vu
Mkuu, mbona umeweka fumbo? Funguka mkuu tupate madink. Kwenda extra miles kutafuta niniNi mambo ya Dejavuu.
Tafuta utulivu utaweza kwenda extra mile.
Kwamba siku nikifa tena, kuna mtoto atazaliwa na nafsi yangu?Hii kuna mawili either kuna mtu alikufa umechukua soul yake au roho zetu zinakuwaga mbele zimeshachora script a maisha sisi tunafuta tu mchoro
Sihitaji kuyaona mkuu, nifanye nini kuzuia hii hali. Nahitaji kuwa sawa na wengine mkuuWe're only limited by our imagination... Hayo unayoyaona yanatokea sasa ulikwisha yaona kabla hayajatokea, kuna mengi mazuri na mabaya utayaona kama ukiamua kuyaona..
Wewe hayo mambo ndio umeyaleta sasa wasemaje huhitaji kuyaona, ni sawa na mtu anasema hahitaji kwenda haja ndogo wakati maji anakunywa...S
Sihitaji kuyaona mkuu, nifanye nini kuzuia hii hali. Nahitaji kuwa sawa na wengine mkuu
Unaweza unaweza zaliwa mbuziKwamba siku nikifa tena, kuna mtoto atazaliwa na nafsi yangu?
Ni De ja vu, ila maelezo ni kwamba taarifa huwa zinagawanyika enroute kwenda kwenye ubongo, na kuna ambayo ni replica ya mwenzake inayowahi just a split second na kuhifadhiwa.., hivyo ile replica inayochelewa ikifika na kusomea ndio Inaonekana kama marudioHyo inaitwa "DEJAVU"
kimsingi sisi binadamu tuna nafsi ambazo zishawahi kuishi kabla hatujapewa hii miili. Kwa hyo mfano ww unaweza kuta mwili wako una nafsi ambayo hapo kabla ishawahi kuishi hayo maeneo unayopitia,, then yule alokuwa anamiliki hyo nafsi akafa, then hyo nafsi ikawekwa kwny mwili wako afu ndo ukazaliwa wewe wa saizi.
Pitia Wikipedia inaelezewa kwa kina 👇🏾Mkuu, weka nyama nyama tafadhari
De ja vu ni kweli, ila maelezo yake katumga tumkuu hii unayozungmza ni kwel au fikila zk tu
niliodhani ni mimi peke yangu ilishanotokea mara kibao sana nikawa naona hata kumuuliza mtu anaweza sema naanza kuchanganyikiwa kumbe na kwa wengineMsaada wakuu, hii hali imeanza kuwa serious sana. Kwa sasa inanikuta kila mwezi tofauti na awali ilipokuwa inanitokea mara moja kwa mwaka
Inaanza uko maeneo fulani ukiwa na mtu fulani, wakati unamalizia mazungumzo, ndipo unakumbuka kuwa hayo maneno umewahi yatamka kabla. Hata eneo ulilopo ndilo lile lile, pia mtu unayezungumza naye ni yule yule au mtu anayeendana hobies na uliyozungumza naye mwanzoni
Au unapita mahali unakutana na tukio amabalo umewahi kukutana nalo kabla. Hata majibizano ya watu yanayoendelea ni yaleyale ya kipindi hicho. Unapojaribu kufungua mdomo kuzungumza, unajikuta unazungumza yale yale uliyowahi kuzungumza. Unabaki unashangaa tu
Hii hali husababishwa na nini wakuu?
Je, tukio la kwanza kabla, lilikuwa ni ndoto? Au liliwahi tokea kweli? Au ni mawenge tu? Au naumwa malaria? Maake sielewi hata limekuja vipi, yaani from nowhere
Nikijaribu kumuuliza huyo ninayezungumza naye kwamba haoni kama tunafanya marudio?, anaishia kusema nipunguze wenge au kucheka tu
Naombeni ufafanuzi wakuu
N.B: Situmii mihadarati