Tukio limejirudia tena katika mazingira yaleyale, nikiwa na watu walewale huku tukizungumza maneno yaleyale

Tukio limejirudia tena katika mazingira yaleyale, nikiwa na watu walewale huku tukizungumza maneno yaleyale

Maana yake nini mkuu? Kwamba nafsi zinazorejeshwa ni chache? Na je, siku ya hukumu, nafsi yangu hii pendwa itahukumiwa kwa niaba ya makosa ya mwili upi? Mara mia ihukumiwe kwa reference ya mwili ule, huu wa sasa unagegedana sana
Mambo ya hukumu ni story za kitoto tu mkuu ukipandacho ndicho utavuna ( karma) mengne nipige kimya tu.
 
Other says our bodies baried somewhere so we live ni matrix.

other says that is a prove that time was never real and will never be real in 3D.

Other says if you experience dejavu your in a right pass of your life(game) and many more
 
Hilo ni tatizo la akili ( psychiatric problem) inaweza kuwa ni

Dejavu au Jamais vu
Tatizo la akili kivipi mkuu? Kwamba akili yangu haiko sawa? Na hiyo Jamais Vu ndo nini?
 
Hii kuna mawili either kuna mtu alikufa umechukua soul yake au roho zetu zinakuwaga mbele zimeshachora script a maisha sisi tunafuta tu mchoro
Kwamba siku nikifa tena, kuna mtoto atazaliwa na nafsi yangu?
 
S
We're only limited by our imagination... Hayo unayoyaona yanatokea sasa ulikwisha yaona kabla hayajatokea, kuna mengi mazuri na mabaya utayaona kama ukiamua kuyaona..
Sihitaji kuyaona mkuu, nifanye nini kuzuia hii hali. Nahitaji kuwa sawa na wengine mkuu
 
Hyo inaitwa "DEJAVU"
kimsingi sisi binadamu tuna nafsi ambazo zishawahi kuishi kabla hatujapewa hii miili. Kwa hyo mfano ww unaweza kuta mwili wako una nafsi ambayo hapo kabla ishawahi kuishi hayo maeneo unayopitia,, then yule alokuwa anamiliki hyo nafsi akafa, then hyo nafsi ikawekwa kwny mwili wako afu ndo ukazaliwa wewe wa saizi.
Ni De ja vu, ila maelezo ni kwamba taarifa huwa zinagawanyika enroute kwenda kwenye ubongo, na kuna ambayo ni replica ya mwenzake inayowahi just a split second na kuhifadhiwa.., hivyo ile replica inayochelewa ikifika na kusomea ndio Inaonekana kama marudio
 
Aiku moja natoka dodoma kwenda singida 2003 nimefunga shule,nipo kwenye treni ,ile tumefika salanda kwaajili ua kupata chakula nikamuona jamaa anafanana na mimi kila kitu,mpaka ngui alizo vaa yaani,nikabaki namshangaa nayeye ananishangaa,hakuwa naoesa ya chakula akanifuata akaniomba nimnunulie chakula,nikafanya hivyo,baadaye sikumuona tena na wala hakushuka popote mpaka wa leo sijapata jibu
 
 
Msaada wakuu, hii hali imeanza kuwa serious sana. Kwa sasa inanikuta kila mwezi tofauti na awali ilipokuwa inanitokea mara moja kwa mwaka

Inaanza uko maeneo fulani ukiwa na mtu fulani, wakati unamalizia mazungumzo, ndipo unakumbuka kuwa hayo maneno umewahi yatamka kabla. Hata eneo ulilopo ndilo lile lile, pia mtu unayezungumza naye ni yule yule au mtu anayeendana hobies na uliyozungumza naye mwanzoni

Au unapita mahali unakutana na tukio amabalo umewahi kukutana nalo kabla. Hata majibizano ya watu yanayoendelea ni yaleyale ya kipindi hicho. Unapojaribu kufungua mdomo kuzungumza, unajikuta unazungumza yale yale uliyowahi kuzungumza. Unabaki unashangaa tu

Hii hali husababishwa na nini wakuu?
Je, tukio la kwanza kabla, lilikuwa ni ndoto? Au liliwahi tokea kweli? Au ni mawenge tu? Au naumwa malaria? Maake sielewi hata limekuja vipi, yaani from nowhere

Nikijaribu kumuuliza huyo ninayezungumza naye kwamba haoni kama tunafanya marudio?, anaishia kusema nipunguze wenge au kucheka tu

Naombeni ufafanuzi wakuu
N.B: Situmii mihadarati
niliodhani ni mimi peke yangu ilishanotokea mara kibao sana nikawa naona hata kumuuliza mtu anaweza sema naanza kuchanganyikiwa kumbe na kwa wengine
 
Back
Top Bottom