Tukio limejirudia tena katika mazingira yaleyale, nikiwa na watu walewale huku tukizungumza maneno yaleyale

Tukio limejirudia tena katika mazingira yaleyale, nikiwa na watu walewale huku tukizungumza maneno yaleyale

Msaada wakuu, hii hali imeanza kuwa serious sana. Kwa sasa inanikuta kila mwezi tofauti na awali ilipokuwa inanitokea mara moja kwa mwaka

Inaanza uko maeneo fulani ukiwa na mtu fulani, wakati unamalizia mazungumzo, ndipo unakumbuka kuwa hayo maneno umewahi yatamka kabla. Hata eneo ulilopo ndilo lile lile, pia mtu unayezungumza naye ni yule yule au mtu anayeendana hobies na uliyozungumza naye mwanzoni

Au unapita mahali unakutana na tukio amabalo umewahi kukutana nalo kabla. Hata majibizano ya watu yanayoendelea ni yaleyale ya kipindi hicho. Unapojaribu kufungua mdomo kuzungumza, unajikuta unazungumza yale yale uliyowahi kuzungumza. Unabaki unashangaa tu

Hii hali husababishwa na nini wakuu?
Je, tukio la kwanza kabla, lilikuwa ni ndoto? Au liliwahi tokea kweli? Au ni mawenge tu? Au naumwa malaria? Maake sielewi hata limekuja vipi, yaani from nowhere

Nikijaribu kumuuliza huyo ninayezungumza naye kwamba haoni kama tunafanya marudio?, anaishia kusema nipunguze wenge au kucheka tu

Naombeni ufafanuzi wakuu
N.B: Situmii mihadarati
Acha kuvuta mafafa kula skanka
 
Hyo inaitwa "DEJAVU"
kimsingi sisi binadamu tuna nafsi ambazo zishawahi kuishi kabla hatujapewa hii miili. Kwa hyo mfano ww unaweza kuta mwili wako una nafsi ambayo hapo kabla ishawahi kuishi hayo maeneo unayopitia,, then yule alokuwa anamiliki hyo nafsi akafa, then hyo nafsi ikawekwa kwny mwili wako afu ndo ukazaliwa wewe wa saizi.
Hapana chief hapa nakataa!
 
Hyo inaitwa "DEJAVU"
kimsingi sisi binadamu tuna nafsi ambazo zishawahi kuishi kabla hatujapewa hii miili. Kwa hyo mfano ww unaweza kuta mwili wako una nafsi ambayo hapo kabla ishawahi kuishi hayo maeneo unayopitia,, then yule alokuwa anamiliki hyo nafsi akafa, then hyo nafsi ikawekwa kwny mwili wako afu ndo ukazaliwa wewe wa saizi.
Bila shaka hii ndio "Reincarnation". Hivi mkuu Kiranga unaichukuliaje / unaweza kuielezea vipi hii? Unaamini katika hii kitu?
 
Msaada wakuu, hii hali imeanza kuwa serious sana. Kwa sasa inanikuta kila mwezi tofauti na awali ilipokuwa inanitokea mara moja kwa mwaka

Inaanza uko maeneo fulani ukiwa na mtu fulani, wakati unamalizia mazungumzo, ndipo unakumbuka kuwa hayo maneno umewahi yatamka kabla. Hata eneo ulilopo ndilo lile lile, pia mtu unayezungumza naye ni yule yule au mtu anayeendana hobies na uliyozungumza naye mwanzoni

Au unapita mahali unakutana na tukio amabalo umewahi kukutana nalo kabla. Hata majibizano ya watu yanayoendelea ni yaleyale ya kipindi hicho. Unapojaribu kufungua mdomo kuzungumza, unajikuta unazungumza yale yale uliyowahi kuzungumza. Unabaki unashangaa tu

Hii hali husababishwa na nini wakuu?
Je, tukio la kwanza kabla, lilikuwa ni ndoto? Au liliwahi tokea kweli? Au ni mawenge tu? Au naumwa malaria? Maake sielewi hata limekuja vipi, yaani from nowhere

Nikijaribu kumuuliza huyo ninayezungumza naye kwamba haoni kama tunafanya marudio?, anaishia kusema nipunguze wenge au kucheka tu

Naombeni ufafanuzi wakuu
N.B: Situmii mihadarati
 
Mtu anweza sema tunadanganya ila mm ilinitokea kama mara tatu hiyo hali tena mara mwisho sikumbuki mwaka gani niliokota noti ya 5 ile ila sasa hivi sina haya maono kama zamani yaan nafikiria sehemu nikienda inakuwa vile vile sana sana mm imenitokea ktk pesa tu kuna siku ulikuja upepo mkali hisia zikaniambia unakumbuka nenda mpk mtaa ule utapata utaokota hela nikaenda na kuokota hela kama ile sehemu naijua
mimi sio pesa ni watu naweza nikapata hisia kama shauku inanisukuma nenda mtaa fulani nikifika huko nakutana na kitu ambacho sikuwa natgemea mara za mwanzoni nilipuuzia ila ilivonitokea ni kawa najiamini naenda hapo akili iliponituma halafu natulia unashangaa namuona mtu ambaye sikuwa nategemea kuna siku nilisha mkamata demu wangu alinidnganya
 
Aiku moja natoka dodoma kwenda singida 2003 nimefunga shule,nipo kwenye treni ,ile tumefika salanda kwaajili ua kupata chakula nikamuona jamaa anafanana na mimi kila kitu,mpaka ngui alizo vaa yaani,nikabaki namshangaa nayeye ananishangaa,hakuwa naoesa ya chakula akanifuata akaniomba nimnunulie chakula,nikafanya hivyo,baadaye sikumuona tena na wala hakushuka popote mpaka wa leo sijapata jibu
Duuh
 
Hiyo hali inatokea na after kutokea si rahisi ku recall yale uliyoyafanya before.. Ila utanotice kuwa kuna jambo nimelifanya the same hapo awali.

Wataalam wanaita DEJAVU.
Nilisoma zamani kwamba Akili tu inajidanganya kuwa hicho kitu ulikifanya before (Errors tu za kimfumo)

Ingawa.
Kielimu ya Kiroho hilo swala lina dhana na kuhusianishwa na mambo mengi ikiwemo Reincarnation.
 
Acha uoga, mambo ya kawaida hayo.

Utandawazi, elimu& dini ndivyo vimetutenganisha na Asili ya kuujua UTU wetu, rudini kwenye asili yenu mtayajua mambo ambayo hamjawai kuyajua.

Haya maisha tunayoishi kimsingi yalishapita, iko hivi Mtu anaundwa na vitu3, (1) Roho, (2)Nafsi, (3)Mwili&akili za kimwili(ufahamu), na kila muundo hapo unaishi ktk ulimwengu wake.

Roho inaishi rohoni, nafsi inaishi ulimwengu wa nafsi, na mwisho ni mwili wenye ufahamu wa kimwili ktk ulimwengu wa mwili.

Ktk ulimwengu wa Roho huko hakuna nadharia ya Muda wala wakati, na kila jambo lifanyikalo huko hufanyika kwa tafsiri ya muda tuseme linafanyika kwa muda mfupi sana sawa na sekunde, ambapo muda huo ama tukio hilo ili litafsiliwe kimwili na liakisi uhalisia wa ufaham wa dunia ya mwili, tutautumia Muda(wakati) ili kufafanua tukio hilo, na muda unaweza kuwa mrefu kulingana na tukio lililofanyika rohoni.

Unatakiwa ujuwe kuwa matukio yanaanzia rohoni na kumalizilia mwilin ambako ndiko kuna mahesabu ya muda na matendo ya mwili, na ili tuyakamilishe matendo yaliyotendwa na Roho nilazima tutumie kanuni za Muda ambapo rohon hakuna muda, hakuna siku wala mwaka, huko kunahesabika ktk nyakati za "SASA" ambapo kidunia tuna nyakati "3" kama nyakati za sasa, zilizopita na zijazo, lkn rohoni kuna "Sasa" yaan tukio likifanyika rohon litajireflect mwilin kimuda.

Hivyo haya maisha tunayoishi yalishapita tupo ktk nadharia ambazo kiroho tunazitafsiri kama "PAST", roho zetu zilishayaish haya maisha na zinayareflect matukio kutoka Nyakati zao kurudi "PAST" ilipo miili,

Kiufupi Roho yako inaishi ulimwengu wa FUTURE ambao kila jambo limeshatendeka na Mwili wako unaishi Past, hivyo ni kawaida kuliona tukio na kukumbuka kama ulishalifanya, ni roho yako inapitisha kumbukumbu zake kuziingiza ktk nafsi na baadae zinakujia ktk Ufahamu wako, ndiomaana mchakato huu usababisha watu kutoelewa maana ya matukio ama kusahau.

Kuna namna nyingi za kuyaona matukio ambayo yalishafanyika na roho kwa kupitia Ndoto, maono na uhalisia unapoliface tukio.

Haya mambo wanayajua washirikina, wachawi, na watu wa sayansi wanaopambana na TIME TRAVEL, hii sio uchawi bali ni jambo la kawaida,

Tumepumbazwa na Elimu uchwara inayotufumba ufahamu wetu tusiyajue mambo muhimu kama haya kwa kutupandikiza mambo ya kijinga jinga na maarifa ya kishenzi huko mashuleni.

Kuna mengi sana ya kujifunza basi tu Ubishi wa watu kujifunza acha yabaki kuwa maarifa ya watu wachache, wengine mtaishia kubisha na kudhihaki.
 
Hyo inaitwa "DEJAVU"
kimsingi sisi binadamu tuna nafsi ambazo zishawahi kuishi kabla hatujapewa hii miili. Kwa hyo mfano ww unaweza kuta mwili wako una nafsi ambayo hapo kabla ishawahi kuishi hayo maeneo unayopitia,, then yule alokuwa anamiliki hyo nafsi akafa, then hyo nafsi ikawekwa kwny mwili wako afu ndo ukazaliwa wewe wa saizi.
What if napata dejavu nikiwa kwenye basi la mwendo kasi, mradi ulioanza kufanya lazi awamu ya tano 2015-2021. Na mimi nikiwa nimezaliwa miaka ya 70. Hapa huoni kama tafsiri yako inagoma. Ikiwa inamaana miaka nyuma ya 70 mradi uwo haukuwepo.
 
What if napata dejavu nikiwa kwenye basi la mwendo kasi, mradi ulioanza kufanya lazi awamu ya tano 2015-2021. Na mimi nikiwa nimezaliwa miaka ya 70. Hapa huoni kama tafsiri yako inagoma. Ikiwa inamaana miaka nyuma ya 70 mradi uwo haukuwepo.
May be time traveling effect.. 😔Sometimes we remember something from the past or imagine something that will happen in the future, we engage in mental time travel.
 
Msaada wakuu, hii hali imeanza kuwa serious sana. Kwa sasa inanikuta kila mwezi tofauti na awali ilipokuwa inanitokea mara moja kwa mwaka

Inaanza uko maeneo fulani ukiwa na mtu fulani, wakati unamalizia mazungumzo, ndipo unakumbuka kuwa hayo maneno umewahi yatamka kabla. Hata eneo ulilopo ndilo lile lile, pia mtu unayezungumza naye ni yule yule au mtu anayeendana hobies na uliyozungumza naye mwanzoni

Au unapita mahali unakutana na tukio amabalo umewahi kukutana nalo kabla. Hata majibizano ya watu yanayoendelea ni yaleyale ya kipindi hicho. Unapojaribu kufungua mdomo kuzungumza, unajikuta unazungumza yale yale uliyowahi kuzungumza. Unabaki unashangaa tu

Hii hali husababishwa na nini wakuu?
Je, tukio la kwanza kabla, lilikuwa ni ndoto? Au liliwahi tokea kweli? Au ni mawenge tu? Au naumwa malaria? Maake sielewi hata limekuja vipi, yaani from nowhere

Nikijaribu kumuuliza huyo ninayezungumza naye kwamba haoni kama tunafanya marudio?, anaishia kusema nipunguze wenge au kucheka tu

Naombeni ufafanuzi wakuu
N.B: Situmii mihadarati
Mshana Jr ukuje huku
 
Msaada wakuu, hii hali imeanza kuwa serious sana. Kwa sasa inanikuta kila mwezi tofauti na awali ilipokuwa inanitokea mara moja kwa mwaka

Inaanza uko maeneo fulani ukiwa na mtu fulani, wakati unamalizia mazungumzo, ndipo unakumbuka kuwa hayo maneno umewahi yatamka kabla. Hata eneo ulilopo ndilo lile lile, pia mtu unayezungumza naye ni yule yule au mtu anayeendana hobies na uliyozungumza naye mwanzoni

Au unapita mahali unakutana na tukio amabalo umewahi kukutana nalo kabla. Hata majibizano ya watu yanayoendelea ni yaleyale ya kipindi hicho. Unapojaribu kufungua mdomo kuzungumza, unajikuta unazungumza yale yale uliyowahi kuzungumza. Unabaki unashangaa tu

Hii hali husababishwa na nini wakuu?
Je, tukio la kwanza kabla, lilikuwa ni ndoto? Au liliwahi tokea kweli? Au ni mawenge tu? Au naumwa malaria? Maake sielewi hata limekuja vipi, yaani from nowhere

Nikijaribu kumuuliza huyo ninayezungumza naye kwamba haoni kama tunafanya marudio?, anaishia kusema nipunguze wenge au kucheka tu

Naombeni ufafanuzi wakuu
N.B: Situmii mihadarati
Kasome hiki kitabu Girl from tomorrow
 
Mshana Jr ukuje huku
Kuna kitabu kinaitwa Girl from tomorrow! Hizo hali huwa zinawatokea sana watu na hapa ndio dhana ya reincarnation inatiwa nguvu
Tuko leo mahali papya lakini ni kama tulishawahi kupaishi jana.. Tuko mahali tunapanga ya kesho lakini kuna picha inakujia nzima kuwa mbona hilo ulishawahi kulifanya tena hapo hapo na watu haohao muda huohuo!? Unaishi kesho ambayo haijafika
Sometimes inaogofya sana ila kuna ukweli upo kwamba tuliishi jana kabla ya leo na tulishaishi kesho kabla ya leo.. Hivyo maisha yetu ya sasa ni combination ya jana na kesho! Kuna vinavyochukuliwa jana na kuna vinavyoachwa kesho na kinyume chake ili kuijenga leo.. Sasa!
Mshangao wangu kuna mada nilikuwa naandika nikajiona nayaandika haya lakini kuja kuangalia nikaona kama mauzauza tuu,ila nilipomaliza nikajikuta niko hapa! Devaju!?[emoji848][emoji3064][emoji2827]
 
Back
Top Bottom