Tukio limejirudia tena katika mazingira yaleyale, nikiwa na watu walewale huku tukizungumza maneno yaleyale

Matukio yanayofanana na hili ni Kuota ama kujirudia kwa ndoto ile ile kwa nyakati kama ile ile !!
 
Dejavu hyo ,mimi ni kawaida nshazoea
 
Ujitunze sasa mmebaki wachache mm nilikua hivyo dhambi zimeniondolea huo upako...
 
ULEVI. Ni sawa na ukiota unakojoa halafu uwe unakojoa kitandani kila siku. Ulevi ni chanzo kikuu. Punguza pombe.
Mi sio mlevi na sijawahi husa pombe maishani , lakini hali hii pia hunitokea
Huyo jama aliyeleza dejavu kidogo nimemuelewa .
 
Sasa mkuu wakati Yohana alipouliwa ulikufa mwili tu na sio roho right?

That’s means roho ilirudi kwa Elia?
Umesoma hiyo mistari ? Pia kitabu cha Samuel kimezungumzia Samwel alipo amshwa na sauli wakati alishakufa ,kuna mambo mengi yapo ki code kwenye biblia mpaka uamke ndio utapa ufahamu nayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…