Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dear ni nini kwako? Mawazo yako yamekaa kinyege nyege tu.Mdada akitumia neno dear kuni-ddress mm mapema (i.e ndani ya siku 3), namchukulia kama kicheche ambaye anajitongozesha.
Hivyo, huwa ninapatwa na hasira sana na kuamua kuifuta namba yake faster.
HahahahaaaaaaaaaDaima 'Dear' hufuatana na 'Nikwambie kitu'. Kubali kuambiwa upewe utitiri wa matatizo.
Yaani fastaa nafuta nambaDaima 'Dear' hufuatana na 'Nikwambie kitu'. Kubali kuambiwa upewe utitiri wa matatizo.
serikali ipi..??Hii nchi inazidi kua ngumu sana skuizi, ebu serikali ifungue ajira vijana wapunguze makasiriko...teh😜
Bora umeulizaserikali ipi..??
Inayo ongozwa na mkia badala ya kichwa..😜serikali ipi..??
sasa wacha zogo!Inayo ongozwa na mkia badala ya kichwa..😜
Kwanin ajitongozeshe???Sa kwann na wewe uombe namba?