Tukipeana namba na mdada halafu akatumia neno "dear" katika kuchat na mimi siku 3 za mwanzo, huwa nam-delete fasta

Tukipeana namba na mdada halafu akatumia neno "dear" katika kuchat na mimi siku 3 za mwanzo, huwa nam-delete fasta

Mdada akitumia neno dear kuni-ddress mimi mapema (i.e ndani ya siku 3), namchukulia kama kicheche ambaye anajitongozesha.

Hivyo, huwa ninapatwa na hasira sana na kuamua kuifuta namba yake faster.
Mimi akinita mume wangu najua hapa kuna kupewa jukumu lisilokuwa langu, hapo huwa imekwishaa hio sms haijibiwi tenaaaa😂😂
 
Mdada akitumia neno dear kuni-ddress mimi mapema (i.e ndani ya siku 3), namchukulia kama kicheche ambaye anajitongozesha.

Hivyo, huwa ninapatwa na hasira sana na kuamua kuifuta namba yake faster.
Uwoga wako ndio umaskini wako. Wasichana wa siku hizi wamekuwa rahisi sana. Afadhali wewe unaitwa "dear" kuliko wengine tunaoitwa "mume wangu" siku ya kwanza tu. Sasa ungeitwa hivi si ungefungua kesi ya jinai kabisa mkuu?
 
Ndiyo. Kuna mdada alianza kuniita dear siku ya kwanza tu, nikadhani nimepata, kumbe nimepatkana. Ndiyo maana nina hasira nao sana
Basi usiwe ivo dear😂😂😂😂 yaani nitakusakama popote ulipo na hii dear
 
Dear mbona naona ni neno simple sana. Hata wadada tunaitana sana. Unaweza ukaenda dukani kwa mtu akakukaribisha "karibu dear" na ndio mmekutana siku hiyo.
 
Mdada akitumia neno dear kuni-ddress mimi mapema (i.e ndani ya siku 3), namchukulia kama kicheche ambaye anajitongozesha.

Hivyo, huwa ninapatwa na hasira sana na kuamua kuifuta namba yake faster.
Basi tutawaambia wawe wanatumia neno "Mpendwa"
 
Dear mbona naona ni neno simple sana. Hata wadada tunaitana sana. Unaweza ukaenda dukani kwa mtu akakukaribisha "karibu dear" na ndio mmekutana siku hiyo.
Mm hilo neno dear silitaki
 
Back
Top Bottom