Tukipeana namba na mdada halafu akatumia neno "dear" katika kuchat na mimi siku 3 za mwanzo, huwa nam-delete fasta

Akianza kutumia neno dear ndani ya siku tatu tangu uchukue namba ujue siku ya nne simu yake itapasuka kioo...

Gharama za ufundi sio lazima nikuelekeze zitakuwa kwa nani
Nakazia hapa , yamenikuta haya ...
 
Naona neno hilo linampagawisha any way endelea kuwadelate upunguze kujibu kesi kwa bi nkubwa
 
Tena ndugu babu ayubu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…