Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Huenda wewe sio baba kwenye hiyo familia 😅
Kwa ninavyojua baba huwa wamwisho kuanza kula ila ni wakwanza kushiba ili watoto wale washibe. Wanaume huwa tunashiba njiani, ukifika home ni kugusa tu kiushahidi.
Kwa ninavyojua baba huwa wamwisho kuanza kula ila ni wakwanza kushiba ili watoto wale washibe. Wanaume huwa tunashiba njiani, ukifika home ni kugusa tu kiushahidi.