Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Nimekueleza kuwa funga yetu ummah wa Mtume muhammad ni tofauti na funga walizofaradhishiwa Mitume ya wana wa Israel. Mfano ni hiyo funga ya Mtume Daud a.ssiku = masaa 24
Kabiiiiiiiiiisa
Pole sanaMchana wanakunja sura na kujionyesha wamefunga, usiku wanakula kama fukusi
Haiwezekani saa 12 jioni mtu anafakamia mihogo, tende, uji viazi, mayai, tambi na kadhalika
Saa 2 usiku unamkuta anagonga msosi , saa nne anakula
Halafu anaamka usiku anakula msosi sahani nzima
Sasa huku kufunga au kubadili ratiba??? [emoji23][emoji23]
Huna hoja yoyote ni chuki tu huna hoja hata moja!!! Na Ramadhani hua inawauma sana dunia hua inasimamaHakuna mchungaji feki wala OG huwa anajishughulisha na uislam,uislam mimi nausoma kila siku,na kadili ninavyoujua ndio nazidi kujua ni jinsi gani ulitokana na nabii feki.
Hata mtu kama mike tyson ni muislam wa kubadili,unawezasema alikuwa anaambiwa hivi na vile kuhusu uislam kumne mwenzako alibadili kama fasheni au kama anavyobadili demu mpya[emoji16][emoji16].
Ndio maana unaona bado anaendelea na upandaji na uvunaji wa bangi.
Ndio sababu nikakwambia nyinyi ni wazuri sana katika kufuata uislam na waislam ila kuhusu kumjua Mungu ni weupe tu kama watoto.
Mngekuwa mnamjua Mungu mngekuwa jamii bora sana kuishi nayo maana imeiva ktk pendo na kujikana,ila waaaapi.
kuna kichwa kingine kama hukijui kinaitwa andrew tate,nacho ni muendelezk wa wale waislam kisasa ambao fahari kwa waislam kama wewe.
Sina chuki na uislam,na inawezekana naujua kukuzidi ila tofauti yangu na yako ni kwamba unaamini Muhammad ni mtume wa Mungu.
Kwamba dunia huwa inasimama😁😁😁Huna hoja yoyote ni chuki tu huna hoja hata moja!!! Na Ramadhani hua inawauma sana dunia hua inasimama
Kufunga si mashindano ya kidini.Mtoa mada naona roho inakuuma sana funga ya Ramadhani inavyoheshimiwa duniani, pole sana umeongea upuuzi upuuzi tu wala hauna maana yoyote.
Sisi ndo tunaishi na Wakristo mitaani tunawajua,katika wakristo 20 anaefunga kweli unakuta 1 tu mi nna washkaji zangu wakaribu 9 na hakuna hata mmoja anaefunga. Kwaresma imefeli na Ramadhani imefaulu kiimani
Huwezi elewa sababu siku kujibu weweUnaongea nini mkuu
Shida ya wanafiki ndo hiyo kujidai kujua mpka nafsi za watu... Mi nakwambia wapo wengi sana wanafunga mpka 7 kavu, unanibishia. Watu wanafunga na kuheshimu mfungo sana na wakifunga hawasimami kwenye panda za njia kujisemesha wamefunga wala kupausha na kunuka midomo kwa swaum..... Na ni Dunia gani unayoisemea labda ya uarabuni maana niliko hata sherehe za kiislamu hazitambuliki sembuse mfungo?? 😂😂😂Acha kudanganya watu, na sikukuu za kikristo zimeboldiwa kwa kaenda na zinaheshimika sana hata maduka hufungwa.Acha kujidanganya duniani hapa kila kitu kipo wazi wakristo hamna utaratibubwa kufunga duniani kote especially hiyo kwaresma ndio hamna mtu mwenye kuiheshimu , hata hao waliowaletea dini hawafungi kwaresma nimezunguka pande zote za dunia , hata hao wazungu wenu wanaiheshimu na kuijua ramadhani na hawaifahamu kabisa kwaresma
Holidays sawa zinajulikana nje kwa sababu ndio waliozitunga ila swala la kuheshimu dini kama kufunga kwaresma hakuna mzungu au hata muafrika anayefunga hata kuitilia maanani dunia nzima ipo hivyo acha ubishi usiyokuwa na kichwa wala miguu,Shida ya wanafiki ndo hiyo kujidai kujua mpka nafsi za watu... Mi nakwambia wapo wengi sana wanafunga mpka 7 kavu, unanibishia. Watu wanafunga na kuheshimu mfungo sana na wakifunga hawasimami kwenye panda za njia kujisemesha wamefunga wala kupausha na kunuka midomo kwa swaum..... Na ni Dunia gani unayoisemea labda ya uarabuni maana niliko hata sherehe za kiislamu hazitambuliki sembuse mfungo?? 😂😂😂Acha kudanganya watu, na sikukuu za kikristo zimeboldiwa kwa kaenda na zinaheshimika sana hata maduka hufungwa.
Hayo maandiko Wala hayawahusu wakristoKwahiyo wewe ni mwarabu?kisa unafata utamaduni wa kiarabu
Naona u mwepesi sana kujudge watu hongera wewe msomi usiyekuwa na akili😂,, na unabisha vitu usivovijua. Hzo sherehe zenu hazisherehekewi ulaya wala hazipo wanazijua ndgu zenu tu wao hawana habari,,, lkn sikushangai mana ndo kawaida yenu kudanganyana kwenye vijiweni vyenu vya kusubiria futari. Holidays sawa zinajulikana nje kwa sababu ndio waliozitunga ila swala la kuheshimu dini kama kufunga kwaresma hakuna mzungu au hata muafrika anayefunga hata kuitilia maanani dunia nzima ipo hivyo acha ubishi usiyokuwa na kichwa wala miguu,
Na unavyoonyesa hata shule hujaenda hujui kwanini mtu akifunga ananuka mdomo soma hapo chini scientific reason ya kwa nini mtu akifunga mdomo unatoa harufu, na hii inadhihirisha huwa hufungi
Haya pokea na salamu za ramadhani kutoka kwa bi
Jifunze kiswahili.Yuko wapi Execute Citizen B Championship Maghayo na wengine ambao walikuwa na kazi Moja tu kukashifu Uislamu sasa wapo wapi ? halafu Wagalatia mtindo huo wamechukulia kama fasheni ya kutaka umaarufu hapa Jf.
Ramadhani si kufunga tu ,na kama unaona ni rahisi basi karibu nawe uanze japo hizi siku 4 zilizobaki kisha utarejea hapa kuwaambia wenzio utakachokutana nacho.tujadiliane sio conclusive statement, Well kwangu navyoona and i am open to be criticised / kuelimishwa ni kwamba :
Huwa nashangaa sana nikiona baadhi (sio wote) waliofunga ramadan wakilalamika swaumu imetaiti (njaa), nina uhakika hawa wanaolalamika (baadhi) hawawezi kutoboa mfungo wa kikristo.
Funga ya mkristo akila saa moja jioni ni mpaka kesho tena saa moja jioni hakuna kunywa maji wala kula, na hata mle hadharani wala hapagawi au kulalamika mnamuingiza tamaa, yani mtu hajala tangu jana lakini haonyeshi dalili yoyote ya kulegea, ndio maana inakuwa ngumu sana kujua kafunga.
Upande wa pili kufungua saa moja jioni, kabla ya kulala mida ya saa nne flani hivi unatupia tena, haijaishia hapo alarm inategwa saa kumi alfajiri kuwahi kuamka kula daku, ni kama vile ratiba ya lunch inahamia alfajiri na ratiba ya chai kabla ya kulala, cha kushangaza baadhi yao hata wakiona mtu anakula hadharani tayari kuna roho ya kutamani inaingia utasikia wakilalamika "huoni aibu kula hadharani", "unahtuharibia swaumu", n.k. Zanzibar wameenda mbali zaidi ukikutwa unashushiwa kipigo.